Wakatoliki wote wanakemea uovu unaondelea kwenye nchi yetu..
Walutheri na sisi hatujabaki nyuma, kukemea japo huko juu viongozi wetu hawalushi makemeo wazi wazi, lakini waumini wote tunapewa neno la kutufungua fikra zaidi.
Mchungaji wangu leo kanisani kafundisha Mambo mengi kwa ufupi.
1...