bakwata

The National Muslim Council of Tanzania is an Islamic organisation based in Tanzania. It is well known by its Swahili acronym BAKWATA.
BAKWATA is a well-established faith-based Islamic organisation registered since 1968. The Council has branch offices all over Tanzania with a network from the national to grassroots level with 22 regional and 169 district offices served by over 3000 sheikhs.Around 10,800 mosques run under its co-ordination. It owns around 40 acres of land in
each of its 22 regions and it has 32 secondary schools, two teachers’ colleges, 30
theological colleges, and a radio station and support numerous madras schools.

From the
late 1990s, BAKWATA has organised and facilitated training for its Muslim scholars on
environmental issues.
Ongoing work on environmental issues includes: environmental education for madras
pupils in 10 coastal districts, environmental education and management clubs in 10
secondary schools owned by BAKWATA and spreading the use of environmental
theological materials in religious ceremonies and sermons on Friday prayers for more
than 80 imams and sheikhs throughout Tanzania.
from 2016 BAKWATA is Offering free education under Mufti Office. this special knowledge is offered to Islamic Imams and Qur an Teacher In Several Centers in different region
the course is aimed to empower them in computer and information Technology and conflict arbitration

the headquarter of BAKWATA is in Kinondoni shamba area, Kinondoni district, Dar es salaam Region

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Bakwata wanataka Haki na Amani au Wali?

    Na MMM UISLAM ni dini yenye misingi imara ya kuongoza jamii kuelekea katika HAKI, USAWA na kupinga kila aina ya DHULUMA, inayokataa UKANDAMIZAJI kama inavyobainishwa katika Qur’an (57:25, 28:4, na 7:103-105). UISLAM ni DINI nzuri. UISLAM siyo dini ya wahuni. BAKWATA ndiyo wanaichoresha na...
  2. Waufukweni

    BAKWATA: Kila mmoja anapaswa kupata funzo kwa kilichotokea Oktoba 29, 2025

    Salamu za BAKWATA katika baraza la Eid El Fitr zilizotolewa na Katibu Mkuu wa BAKWATA, Alhaj Nuhu Jabir Mruma
  3. technically

    BAKWATA ilianzishwa na nani na ni kwa maslahi ya nani?

    Hawa BAKWATA Ni nani na walianzishwa na Nani na kwa maslahi ya Nani? Rwanda wanaonaje mwezi kabla ya Zanzibar? Uganda, Kenya na Burudi na Kongo Leo ni Idd Lakini wao wanasema mpaka kesho Kalenda ya nchi Leo inanyesha ni idd wao wanasema kesho. Nauliza wapo kwa maslahi ya Nani Nani...
  4. W

    Sheikh Ponda: Mtu akikusanya matrilioni alafu akajenga banda la kuku huyo ni fisadi, BAKWATA wamekusanya matrilioni yako wapi?

    Sheikh Issa Ponda ambaye ni miongoni mwa Waislamu 12 waliofungua kesi dhidi ya Serikali (RITA, Msajili wa Jumuiya za Kijamii kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali) na BAKWATA leo Machi 12, 2026 amewavaa vikali BAKWATA juu ya matrilioni ya fedha wanayoyapata lakini...
  5. W

    Sheikh Ponda: Hatujashinda shauri kwa rushwa wala hatukupewa fedha yoyote na taasisi yoyote

    Sheikh Issa Ponda akijibu maswali ya Wanahabari hii leo Machi 12, 2026 katika uzinduzi wa Kitabu chenye tafsiri ya hukumu ya shauri namba 27603/2024 kati ya Waislamu 12 dhidi ya Serikali (RITA, Msajili wa Jumuiya za Kijamii kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali)...
  6. M

    Roman Catholic inajitahidi kwenye nidhamu ya fedha na usimamizi wa miradi. Kwingine kuanzia BAKWATA, Wasabato, KKKT, walokole, n.k. kunanuka ufisadi

    Imekuwa kawaida sana kusikia migogoro, ubadhilifu wa fedha na matumizi mabaya ya madaraka ndani ya taasisi za kidini. Lakini ukweli ambao wengi wanaogopa kuusema hadharani ni kwamba baadhi ya taasisi hizi zimegeuka kuwa vijiwe vya kunufaisha wachache chini ya mwavuli wa imani. Kwa upande wa...
  7. ngara23

    Nawapongeza mashehe na waislam (sio BAKWATA) Kwa kupinga upuuzi wa Ramadan Cup

    Mashehe wenye ilimu na Imani ya kweli wasio wanafiki walitoka hadharani kupinga upuuzi wa Ramadan Cup Mashehe hao waliona sio sawa matukio ya kiheshima kama mwezi mtukufu kuwa kama platform ya kisiasa, Haya ndo mambo sisi wakatoliki tunapenda na hakika msimamo huu wa mashehe unaenda kurudisha...
  8. Kipenzi Changu

    Mohamedi Saidi azungumzia mchakato wa kuivunja E.A Muslim Society na kuanzisha BAKWATA ya CCM

    https://www.youtube.com/watch?v=Vb7IeyvxrtE Mzee wetu Mohamed Said ameeleza historia ya chimbuko la BAKWATA. Amesimulia kwa kina mchakato wa kuivunja East African Muslim Society na kuanzisha BAKWATA chini ya Mwl Nyerere. Amesema ndicho chanzo cha chuki ya Nyerere dhidi ya Bibi Titi. Ameenda...
  9. Mohamed Said

    Chokochoko zilianza halmashauri kuu ya TANU 1963

    https://youtu.be/Vb7IeyvxrtE
  10. ERTUGRUL BEY

    Kwa suala hili BAKWATA hamjatenda haki

    Utangulizi: Uislamu unasema hivi "ukiona uovu basi kwanza uondoe kwa mikono yako,ukishindwa kwa kauli na ukishindwa kabisa basi kwa kuchukia moyoni mwako,na huu ndio udhaifu wa imani" kwa maana yule anayechukia jambo moyoni mwake ni mdhaifu wa imani,kwasababu option ya kwanza na ya pili ndio...
  11. Carlos The Jackal

    Hivi Mnajua Mahakama Rasimi imeitambua BAKWATA kama kikundi Cha Wahuni tu, ambacho hakiwakilishi Waislam?

    Ndugu zangu Habari !! Bado tunaendelea na Mapambano ya kuhakikisha Hawa Wauaji walotuua hawatutawali. Hatupo kimya, Ni Mbinu tu tumebadilisha Je Mnajua kwann Chawa wa CCM wanajifanya suala hili liloamuriwa na Mahakama ni kama hawalioni?? Hawalipi Uzito?. Miaka yote , CCM na magengen Yao...
  12. W

    BAKWATA yafafanua kesi dhidi yake, yadai kuna Upotoshaji

    Mwanasheria Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Hassan Athuman, amesema kuna upotoshaji mkubwa unaoendelea kuhusu tafsiri ya hukumu ya Mahakama Kuu ya Tanzania iliyotolewa Desemba 24, 2025, akisisitiza kuwa mahakama haikuitupilia mbali BAKWATA wala kuikuta imekiuka Katiba...
  13. Mhaya

    Sheikh: BAKWATA sio ya Waislamu wote ni ya Wasunni tu

    Sheikh ponda atoa maelezo kuwa Bakwata sio kwa ajili ya kila Muislamu bali ni ya Wasunni tu https://www.instagram.com/reel/DSpOXVaAhne/?igsh=NHZkYzNjcG5wcm5z
  14. ngara23

    Mahakama: BAKWATA si Chombo cha Waislam wote

    Leo waislam wameshinda kesi waliofungua dhidi ya BAKWATA kujipa mamlaka ya kuwaongelea waislam na kukwamisha miradi Kwa ukiritimba ati wao ndo watoe vibali Kwa taasisi zingine za kiislam Shehe Ponda amesema mahakama katika hukumu hiyo, mahakama imeitamka kuwa BAKWATA sio taasisi inayosimamia...
  15. ngara23

    BAKWATA mbona mnachelewa kumjibu msomi, jaji na Waziri mkuu staafu, Mzee Warioba

    Assalam Alyekum! Mashehe wa BAKWATA hatujawazoea hivo Mnashindwa Nini kutoka kumjibu na kimtishia kumkata kichwa Mzee Warioba. Mashehe wetu Bakwata nyie ndo wapenda amani, mlipigania uhuru Njoo mpe majibu huyu Mzee Au hamjapewa ubwabwa na pakiti ya tende
  16. Yoda

    Kwanini masheikh wa BAKWATA hawasapoti demokrasia, utawala bora na haki nchini?

    Demokrasia na haki ni kinyume na mafundisho ya dini ya Uislamu? Kwa nini masheikh wa BAKWATA na taasisi zao marafiki kama umoja wa wahadhiri hawajihusishi kudai uwepo wa Demokrasia, utawala bora kudumishwa kwa haki sambamba na kupinga matendo maovu ya utekaji, ukandamizaji na uporaji wa haki...
  17. Carlos The Jackal

    Tutarajie Masheikh katika kiwango Chao Cha juu Cha Ujinga kuanza kumshambulia The Genius Mjumbe Wa Mungu Padre Kitima

    Yaan Muue watu, Muendelee Kudanganya. Muendelee KUTEKA. Muendelee Kuua . Hamtaki kutupa Miili yetu tuzike Kwa heshima. Muendelee kushikilia watu kwa kesi za Uongo. Hiii inaitwa Tunakupiga Kila Kona !!. Dec 9 Maandamano yako palepale !!.
  18. Hance Mtanashati

    BAKWATA ifanyiwe pia reform. Asilimia kubwa ya Watanzania tangu enzi na enzi hatukubaliani na uongozi wao.

    Kiukweli bakwata imeoza, hivyo hakuna budi kupaza sauti nayo ifanyiwe reform kwenye uteuzi /uchaguzi wa viongozi au kama vipi ifutwe tu tujue moja. Yani viongozi wa bakwata asilimia kubwa ya matamko yao wanafanya kwa niaba yao , hawafanyi kwa niaba ya waislamu wote wa TZ kwa ujumla . Asilimia...
  19. Yoda

    BAKWATA na wahadhiri wake wamewahi kufanya nini kuchangia kupata Tanzania bora iliyo jumuishi kwa watu wote?

    Hawapingi kuna utekaji, watu kupotezwa na kuuwawa kiholela, wanachodai eti mbona hayo mambo mbona yapo tu tangu zamani! Hivi kweli hii ni hoja ya msingi?! Hawapingi haki za kidemokrasia zimepokonywa kabisa kwa wapinzani, wanachosema eti mbona tangu zamani watu wamekuwa wakinyimwa haki zao...
  20. Mshana Jr

    PostGE2025 BAKWATA: Project ya mamlaka inayotumika vibaya?

    Tofauti na TEC na CCT ambao wote kwa nyakati zote wanapokuwa na jambo la jumuiya huzungumzia 'WANANCHI' Tafsiri ya watu wote Wa imani zote Wa Kaliba zote Wa mutazamo yote Wa jinsia zote nk Kwa upande wa BAKWATA hali ni tofauti kabisa! Mara nyingi kama sio zote hupenda sana kufanya mgawanyo...
Back
Top Bottom