bakwata

The National Muslim Council of Tanzania is an Islamic organisation based in Tanzania. It is well known by its Swahili acronym BAKWATA.
BAKWATA is a well-established faith-based Islamic organisation registered since 1968. The Council has branch offices all over Tanzania with a network from the national to grassroots level with 22 regional and 169 district offices served by over 3000 sheikhs.Around 10,800 mosques run under its co-ordination. It owns around 40 acres of land in
each of its 22 regions and it has 32 secondary schools, two teachers’ colleges, 30
theological colleges, and a radio station and support numerous madras schools.

From the
late 1990s, BAKWATA has organised and facilitated training for its Muslim scholars on
environmental issues.
Ongoing work on environmental issues includes: environmental education for madras
pupils in 10 coastal districts, environmental education and management clubs in 10
secondary schools owned by BAKWATA and spreading the use of environmental
theological materials in religious ceremonies and sermons on Friday prayers for more
than 80 imams and sheikhs throughout Tanzania.
from 2016 BAKWATA is Offering free education under Mufti Office. this special knowledge is offered to Islamic Imams and Qur an Teacher In Several Centers in different region
the course is aimed to empower them in computer and information Technology and conflict arbitration

the headquarter of BAKWATA is in Kinondoni shamba area, Kinondoni district, Dar es salaam Region

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mufti Abubakar Zubeir: BAKWATA si vibaraka wa serikali

    Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir amesema Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) litaendelea kusimamia maslahi ya Taifa, huku akiwataka Watanzania kuendeleza uzalendo na kulinda amani ya nchi. Mufti Zubeir ametoa kauli hiyo leo Oktoba 10, 2025 wakati wa ziara yake ya kikazi...
  2. Waufukweni

    GE2025 BAKWATA yampatia Rais Samia tuzo maalum ya Mufti Tanzania

    Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limeipa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan tuzo maalum ya Mufti Tanzania, ambayo iliwasilishwa na kupokelewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa niaba ya Rais, tarehe 20 Septemba 2025. Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania amkabidhi tuzo hii Samia, akitambua...
  3. U

    Uteuzi: Katibu mkuu bakwata ateua kamati kuandaa maadhimisho miaka kumi ya Mufti Shehe mkuu Abubakar Bin Zubeir

    KATIBU MKUU BAKWATA ATEUA KAMATI KUANDAA MAADHIMISHO YA MIAKA KUMI YA YA UONGOZI MAKINI NA IMARA WA MHES MUFTI........... Mh. Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) Alhaj Nuhu Jabir Mruma Ashighatiiniy Almwangawiy ameteua kamati maalum kuandaa maadhimisho ya miaka kumi...
  4. U

    BAKWATA: Maulid Kitaifa yatasomwa siku ya Alhamis 04/09/2025 Korogwe Mjini. Mgeni rasmi ni Rais Samia

    Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania, (BAKWATA), limewatangazia Waislamu na wananchi wote kwa ujumla kwamba Maulid Kitaifa yatasomwa siku ya Alhamis tarehe 04/09/2025 usiku katika uwanja wa Shule ya Msingi Mazoezi Manund, Korogwe Mjini mkoani Tanga. Baraza la Maulid litafanyika siku ya Ijumaa...
  5. figganigga

    Waislamu washinda kesi dhidi ya serikali na BAKWATA leo 27/06/2025

    KAMATI YA KUTETEA HAKI ZA WAISLAMU TANZANIA WAISLAMU WASHINDA KESI DHIDI YA SERIKALI NA BAKWATA LEO 27/06/2025. “Natupilia mbali mapingamizi yote kwa sababu hayana mashiko”. Hayo ni maneno ya (mmoja wa majaji kati ya majaji watatu), jaji Mbagwa wakati akisoma hukumu ya mapingamizi leo...
  6. and 998 others

    BAKWATA toeni tamko kulaani mauaji Iran

    Tunawasihi Baraza Kuu BAKWATA litoe tamko yanayoendelea Iran na nn kifanyike baada ndugu zetu wanauawa kama kuku.
  7. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mjumbe wa BAKWATA: Tushiriki uchaguzi 2025 kwa amani, tusiige mataifa mengine

    Watanzania wamehimizwa kuhakikisha wanashiriki uchaguzi Mkuu ujao ifikapo mwaka 2025 Oktoba huku wakiaswa kushiriki uchaguzi huo kwa amani na kutoiga mataifa mengine ambayo yanaingia kwenye vurugu kipindi cha uchaguzi. Hayo yamesemwa na Mjumbe wa Halmashauri Baraza la Waislamu Tanzania...
  8. sanalii

    Malasusa hawakilishi wakristo wote, vilevile BAKWATA haiwakilishi waislam wote. Wakristo mnaoshambilia waislam acheni mara moja, mtaharibu NRNE

    Kuna kundi la wakristo wakisema waislam sio wapenda haki na kua wanatetea Samia, mara waseme tatiso ni elimu, hii yote ni kutokana na matamko ya BAKWATA, mkiendelea na utaratibu hii mtaifitinisha NO REFORMS NO ELECTION pakubwa sana. Acheni kejeli kuniona nyie mmesoma na kuona wengine hawana...
  9. Waufukweni

    PreGE2025 Katibu Mkuu BAKWATA: Tuepuke mahubiri ya siasa kwenye nyumba za ibada

    "Tunaendelea kuwasihi viongozi wetu wa dini kutumia vizuri majukwaa ya nyumba za ibada kueneza mafunzo mazuri ya dini yetu yanayotokana na maandiko muhimu ya vitabu vyetu vitukufu, na kuepuka mahubiri ya siasa katika nyumba zetu za ibada, kwani tunaweza kuwagawanya waumini ambao wana itikadi zao...
  10. Waufukweni

    PreGE2025 BAKWATA yahimiza amani nchini na Siasa safi mwaka wa Uchaguzi

    Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Alhaj Nuru Mruma, amesema baraza hilo linawahimiza Waislamu na Watanzania kwa ujumla kulinda amani iliyopo nchini, kwani bila uwepo wa amani shughuli za kimaendeleo katika jamii haziwezi kufanyika, na hata ibada pia hazitafanyika...
  11. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 UVCCM Dodoma wataka BAKWATA na TEC kuwachukulia hatua Viongozi wa Dini wanaoeneza propaganda za kisiasa

    Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dodoma umetoa wito kwa Taasisi za dini ikiwemo BAKWATA, Baraza la Maskofu Tanzania kuwachukulia hatua baadhi ya Viongozi wa dini ambao wamekuwa wakitumia Majukwaa ya kidini kueneza propaganda za kisiasa . Wito huo umetolewa leo...
  12. M

    PreGE2025 Sheikh Jabir ameuawa Zanzibar BAKWATA kimya! Mnasubiri Maaskofu wakemee mje kuwazodoa?

    Masheikh wa BAKWATA wamekuwa hawajali kwa kina maslahi ya waislamu nchini. Wao wamekuwa kama rear guards wa kulinda mfumo, kutetea serikali, kuwalaza waislamu usingizi pindi joto la haki nchini likipanda. Hivi karibuni Maaskofu wamekuwa msitari wa mbele kulaani matendo ya kitekaji na uuaji...
  13. M

    Kesi ya Kikatiba ya Waislamu dhidi ya BAKWATA kusikilizwa na Jopo la Majaji Watatu kufuatia Mabadiliko ya Sheria

    Kufuatia mbadiliko katika sheria ya utekelezaji wa haki za msingi za binadamu The Basic Rights and Duties Enforcement Act, Cap 3 RE 2019, yaliyofanyika mwezi machi mwaka huu, yamepelekea shauri la Kikatiba lililofunguliwa na Waislamu dhidi ya Msajili wa Vyama Wizara ya Mambo ya Ndani, RITA na...
  14. lost files

    Historia ya kuanzishwa BAKWATA: Taasisi ya Kiislamu au Chombo Cha Usalama wa Taifa??

    BAKWATA ilianzishwa mwaka 1968 kama chombo Cha kuleta mshikamano kwa Waislamu na uislam,Lakini Tukiangaza historia kwa umakini Utagundua kua Bakwata Ni chombo kilichoundwa na usalama wa Taifa,sio kwa ajili ya waislamu,kwajili ya serikali.. Swali:Bakwata ilianzishwa kwa kusudi gani?? Mapinduzi...
  15. R

    Huu mvutano wa TEC, Bakwata na mamlaka, ndio utakaovunja ule mwiko tuliouzoea

    Hellow! Yanayoendelea SI ya bahati mbaya, ni matokeo ya ushindi Katika ule ulimwengu wa Roho, kilichobaki ni udhihirisho tu Katika ulimwengu wa mwili. Tulipoonyeshwa juu ya ajaye, tuliangalia utaratibu uliopo wa kupokkezana Bakwata na catolicano kutoa kiongozi Mkuu, tukaona hili ni ngumu...
  16. Sifi Leo

    Shekhe mkuu na Bakwata mnaamini FAZA kitima alikuwa analewa? Aibu iwe juu yenu

    Nina imani shekhe mkuu wa mkoa wa Dsm angekuwa yule aliyen'golewa hasingekaa Kaa kimnya mpaka Leo hasijitokeze kukemea kitendo alicho fanyiwa FAZA Kitima. Swali je Shekhe mkuu Wa Tanzania na Bakwata mpoooo?
  17. Mkalukungone Mwamba

    BAKWATA yalaani vikali tukio kushambuliwa Katibu wa TEC Padri Charles Kitima

    Katibu Mkuu BAKWATA Alhaj Nuhu Jabir Mruma amesema Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA), linalaani vikali tukio lililotokea jana la kushambuliwa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC). Kwa mujibu wa taarifa maalum aliyoitoa leo Alhamisi jioni Alhaj Mruma amevitaka vyombo...
  18. ngara23

    BAKWATA tokeni hadharani kukomea dhuluma za watawala

    BAKWATA ni Moja kati ya taasisi kubwa ya kidini hapa nchini Sijui jukumu lake ni kuangalia mwandam wa mwezi na kutangaza sikukuu ya Eid tu au kuchinja ngamia pale uwanja wa Biafra Kinondoni Kuna dhulumu za watawala wanatenda Kwa wapinzani ikiwemo kubambikizia kesi watu za uhaini, kunyima...
  19. Knock life

    Naomba kujua Bakwata wao hawakutoa waraka wao siku ya baraza la Eid.?

    Naomba kujua Bakwata wao hawakutoa waraka wao siku ya baraza la Eid.?
  20. C

    Dua ya kuombea (Wagombea) Uchaguzi Mkuu??

    BAKWATA wameandaa dua ya kuombea unaoitwa Uchaguzi Mkuu. Maajabu ni kwamba Wageni rasmi ni Wagombea waliopitishwa na Chama chao kugombea Oktoba 2025 (CCM)
Back
Top Bottom