Wakuu mmebarikiwa sana sana.
Moja kwa moja kwny hoja, kwny familia yetu mimi ni first born bahati mbaya mimi na wadogo zng hatukulelewa na mama mzazi maana inasemekana mzee na mama waliachana tukiwa bdo wadogo so mzee alioa mke mwngne.
Mwaka nliomaliza kdato cha 4 ndo ilikuwa mara yng ya...