sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,012
- 8,360
Nina mengi ya kuelezea mpaka ninapofikia uamuzi huu wa kumkana Baba yangu mzazi Yaani Mzee Leo ila itoshe kusema nimeshawishiwa baada ya kuona mzazi amemkataaa Mwanae kupitia kwenye vyombo vya habari na mimi kama mwana JF ninayo haki yangu ya msingi kumkataa Baba yangu kama ifatavyo
" Mimi Sifi Leo nikiwa na akili zangu timamu, pasipo kushurutishwa na mtu yoyote kuanzia leo nautangazia umma yakuwa wewe Mzee Leo sio baba yangu na wanangu sio ndugu zako, hautoruhusiwa kuhusika na Mali zangu Wala ndugu wanao Toka kiunoni mmwangu Mimi na wake zangu"
"Pia stohusika na madai yoyote yanayo kuhusu wewe Mzee Leo na hata ukifa sitokuja na nikifa usidiriki kuja kwenye Msiba wangu na ukilazimisha kuja wanangu wachukue hatua yoyote dhidi Yako".
Mwisho mwenye jambo lolote awasiliane na wakili wangu anae julikana Kwa jina la
Kiboko ya wazazi wasio tunza watoto wakiwa wadogo Advocat
S L P. Manyonvu kyaibumba.
" Mimi Sifi Leo nikiwa na akili zangu timamu, pasipo kushurutishwa na mtu yoyote kuanzia leo nautangazia umma yakuwa wewe Mzee Leo sio baba yangu na wanangu sio ndugu zako, hautoruhusiwa kuhusika na Mali zangu Wala ndugu wanao Toka kiunoni mmwangu Mimi na wake zangu"
"Pia stohusika na madai yoyote yanayo kuhusu wewe Mzee Leo na hata ukifa sitokuja na nikifa usidiriki kuja kwenye Msiba wangu na ukilazimisha kuja wanangu wachukue hatua yoyote dhidi Yako".
Mwisho mwenye jambo lolote awasiliane na wakili wangu anae julikana Kwa jina la
Kiboko ya wazazi wasio tunza watoto wakiwa wadogo Advocat
S L P. Manyonvu kyaibumba.