kazuri kakid
Member
- Oct 6, 2021
- 15
- 118
Nawasalim kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mimi nimezaliwa familia ya kawaida tu, baba yangu alikuwa mwalimu ila aliacha kazi bila sababu za msingi.
Nina dada zangu ila wote hawajafanikiwa kimaisha. Huyu baba tukimuulizaga kwanini hakujiwekeza ujanani na wakati alikuwa na uwezo huo anajibu kuwa eti hakutaka utajiri. KamalizaKamaliza form four 1972.
Hivi huku ni kurogwa? Alikataa Uhakimu, alitakiwa kusoma urubani pia baba yake akakataa, na ualimu wenyewe aliacha, yaani simuelewi, sasa kwanini aangaike uzeeni?
Alitusomesha, na alitimiza wajibu wake kama baba, ila kwanini hakutaka utajiri wakati alikuwa na uezo huo? Marafiki zake wengi ni wakurugenzi na watu wenye hadhi zao.
Huwa anasema hataki utajiri, hata nyumba ya cement alikuwa hataki tumemlazimisha sisi watoto tukamjengea, hivi huyu baba anafikria nini? Mbona anatudhalilisha watoto hasa si wa kike?
Na anasema kabisa kuwa eti angetaka utajiri basi angekuwa trilionea ila hakutaka. Na anaridhika kabisa na maisha aliyopitia, hajutii kupoteza nafasi ujanani.
Watu wa saikoloji nishaurini kabla sijaanza kutafuta ukweli kama ni baba yangu mzazi. Naumia mno
Mimi nimezaliwa familia ya kawaida tu, baba yangu alikuwa mwalimu ila aliacha kazi bila sababu za msingi.
Nina dada zangu ila wote hawajafanikiwa kimaisha. Huyu baba tukimuulizaga kwanini hakujiwekeza ujanani na wakati alikuwa na uwezo huo anajibu kuwa eti hakutaka utajiri. KamalizaKamaliza form four 1972.
Hivi huku ni kurogwa? Alikataa Uhakimu, alitakiwa kusoma urubani pia baba yake akakataa, na ualimu wenyewe aliacha, yaani simuelewi, sasa kwanini aangaike uzeeni?
Alitusomesha, na alitimiza wajibu wake kama baba, ila kwanini hakutaka utajiri wakati alikuwa na uezo huo? Marafiki zake wengi ni wakurugenzi na watu wenye hadhi zao.
Huwa anasema hataki utajiri, hata nyumba ya cement alikuwa hataki tumemlazimisha sisi watoto tukamjengea, hivi huyu baba anafikria nini? Mbona anatudhalilisha watoto hasa si wa kike?
Na anasema kabisa kuwa eti angetaka utajiri basi angekuwa trilionea ila hakutaka. Na anaridhika kabisa na maisha aliyopitia, hajutii kupoteza nafasi ujanani.
Watu wa saikoloji nishaurini kabla sijaanza kutafuta ukweli kama ni baba yangu mzazi. Naumia mno