Traditionalist theology (Arabic: الأثرية—al-Athariyyah) is an Islamic scholarly movement, originating in the late 8th century CE, who reject philosophical and extreme rationalistic Islamic theology (kalam) in favor of strict textualism in interpreting the Quran and hadith like early generations of Muslim. The name derives from "tradition" in its technical sense as a translation of the Arabic word hadith. It is also sometimes referred to by several other names. The four imams of Sunni Islam (Abu Hanifah, Malik, ash-Shafi'i, and Ahmad) are considered to have been followers of traditionalist theology.Adherents of traditionalist theology believe the zahir (literal, apparent) meaning of the Qur'an and the hadith along with understanding of early generations of Muslim are the sole authorities in matters of belief and law; and that the use of rational disputation is forbidden. They mostly engage in a literal reading of the Qur'an using classical interpretation of Sahaba, Tabi'in, Tabi'ut Tabi'in and Imam Madhhab, as opposed to one engaged in personal ‘metaphorical interpretation’ (ta'wil). They do not attempt to conceptualize the meanings of the Qur'an rationally, and believe that realities should be consigned to God alone (tafwid). In essence, the text of the Qur'an and Hadith is accepted without asking "how" (i.e. "Bi-la kayfa").
Traditionalist theology emerged among hadith scholars around the time of Malik ibn Anas (b. 711–d. 795) and coalesced into a movement called ahl al-hadith under the leadership of Ahmad ibn Hanbal (b. 780–d. 855). In matters of faith, they were pitted against Mu'tazilites and other theological currents, condemning many points of their doctrine as well as the rationalistic methods they used in defending them. In the tenth century al-Ash'ari and al-Maturidi found a middle ground between Mu'tazilite rationalism and Hanbalite literalism, using the rationalistic methods championed by Mu'tazilites to defend most tenets of the traditionalist doctrine. Although the mainly Hanbali scholars who rejected this synthesis were in the minority, their emotive, narrative-based approach to faith remained influential among the urban masses in some areas, particularly in Abbasid Baghdad.While Ash'arism and Maturidism are often called the Sunni "orthodoxy", traditionalist theology has thrived alongside it, laying rival claims to be the orthodox Sunni faith. In the modern era it has had a disproportionate impact on Islamic theology, having been appropriated by Wahhabi and other traditionalist Salafi currents and spread well beyond the confines of the Hanbali school of law.
Bado Tanzania kama nchi imeshindwa kuheshimu Professionalism katika soka. AFCON ni sio sehemu ya siasa wala vituko. Hapo ni sehemu ambayo Wataalamu wanatakiwa kupewa nafasi kutoa mafunzo yao na kufanya Wachezaji wawe focused muda wote. Tazama namna watu kama Mwijaku na Babalevo wanavyopewa...
Wakati Mikoa kadhaa ikiripotiwa kuwa na mlipuko wa Kipindupindu na Magonjwa ya Tumbo ikiwemo Mwanza, Shinyanga na Simiyu, upande wa Mitaa mbalimbali ya Jijini Dar es Salaam ina changamoto ya kukosekana mfumo mzuri wa utunzaji na uzoaji kutoka kwenye makazi ya Watu na sehemu za biashara.
Baadhi...
Katika historia ya binadamu, vita vya kidini vimekuwa ni mojawapo ya matukio yenye athari kubwa kijamii, kiuchumi, na kisiasa. Vita ya Israel na Palestina imedhihirisha wazi udini miongoni mwa watanzania wengi. Mara nyingi, mizozo hii inachochewa na tofauti za imani na itikadi za kidini, ikileta...
Kwa sasa kila mtu anatambua kuwa kadiri siku zinavyokwenda mbele ndio viwango vya joto duniani vinaendelea kuongezeka, dhana ambayo watu wengi walianza kuwa nayo akilini mwao miongo kadhaa iliyopita.
Tukitupia macho mwaka huu wa 2023 ambao ndio unaelekea ukingoni, tumeshuhudia kwa macho yetu...
MBUNGE WA HANANG, ENG. HAYUMA AILILIA SERIKALI, ATHARI ZA MAFURIKO YA HANANG
Mbunge wa Jimbo la Hanang, mkoani Manyara, Eng. Samwel Hayuma ameingukia serikali akiiomba kuwatazama kwa jicho la pili wafanyabiashara ambao wamepoteza mali zao kutokana na mafuriko ya maporomoko ya tope yaliyotokea...
Unapokwenda kwenye Usaili wa Kazi, Mwonekano wako wa mwanzoni tu, unaweza kuwa na athari kubwa wakati wa mahojiano. Na hiyo ni kwasababu tafiti mbalimbali zinaonesha baadhi ya Waajiri hufanya maamuzi kuhusu ajira ndani ya sekunde 30 za kwanza wanapokutana na mwombaji kazi.
Hata kama Usaili si...
Mwanamke! Kiumbe wa kipekee ambaye wanaume wengi hawajamfahamu kiusahihi!
Mwanamke, kiumbe "dhaifu" lakini mwenye nguvu ajabu!
Mwanamke ni kiwanda kinachoishi!
Mpe mchele, atakurudishia ukiwa umegeuzwa na kupewa jina jingine, wali!
Mhuzunishe, naye atakufanya "ulie" bila kupigwa!
Mwanamke...
TANESCO imesema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika ukanda wa Pwani na ukanda wa Ziwa Victoria, mtiririko wa maji yake hauelekei viliko vyanzo vya uzalishaji wa umeme vya Mtera, Kihanzi na Kidatu.
Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga amesema...
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa onyo kali kwa umma kuhusu madhara mabaya ya hali ya hewa ya El Niño inayoendelea.
Kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2023 kinatarajiwa kuleta matukio ya vifo, magonjwa ya kuambukiza, na uharibifu wa miundombinu kutokana na mvua kubwa zilizoathiriwa na...
Habari wakuu,
Kama wanadamu tuna kasoro na mapungufu mengi ambayo katika hali ya kawaida ni kama tumeumbwa navyo yani huyo ndo wewe huwezi kumbadilisha.
Katika hali hii wengi wanapata shida kuishi na watu ata wenza wao wanajikuta wanakuwa kero kwa watu wanaowazunguka.
Wakati mwingine inatesa...
Rushwa, inapojitokeza katika mfumo wa elimu, inaweza kuchukua sura nyingi, lakini moja ya matatizo makubwa ni ile inayohusiana na tathmini za wanafunzi. Katika muktadha huu, rushwa inaweza kujitokeza katika njia mbalimbali, ikiwa ni pamoja na walimu kupokea rushwa ili kuongeza alama za wanafunzi...
Je, umekua na shauku ya kutaka kujua Fedha haramu ni zipi na kwa nini zinataroshwa?
Karibu ujiunge nasi katika Mjadala na Wataalamu wa Uchumi utakaofanyika Alhamisi ya Oktoba 19, 2023 kuanzia Saa 12 Jioni hadi Saa 2 Usiku kupitia Xspaces ya JamiiForums
Katika Mjadala huu tutaangazia nini Maana...
Hakuna Haja ya Salaam Maana naona kama hili swala halijakaa sawa sana..
Kila nikifungua TV au Redio nasikia nakuona Serikali ikieleza Athari za Mvua ya Elnino na Athari zote zikielekezwa kwa Wananchi..
Na serkali ikifika mpaka kutishia wananchi wanaoishi Bondeni kwamba hakutakuwa na Malipo wala...
Taifa letu limekuwa kwenye changamoto ya kutokuwa na umeme wa uwakika toka enzi na enzi. Serikali imefanya jitihada kubwa kusambaza umeme mijini na vijijini. Tuwapongeze viongozi kwa hilo.
Kutokana na maendeleo ya teknolojia, uchumi, rasilimali tulizonazo, maendeleo haya hayaendani na ukubwa na...
WANANCHI WATAHADHARISHWA ATHARI ZA MAFURIKO
Serikali imewatahadharisha wananchi kuacha kujenga na kufanya shughuli za kijamii kwenye maeneo ya bondeni ili kuepukana na athari za mafuriko zinazoweza kutokea na kuwasababishia madhara.
Tahadhari hiyo imetolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa...
Rais wa Kenya William Ruto amesema Mabadiliko ya Tabianchi yanatafuna maendeleo ya kiuchumi ya Afrika na ni wakati wa kuwa na mazungumzo ya kimataifa kuhusu kodi itakayotozwa wachafuzi wa mazingira.
Kwa mujibu wa rais Ruto, bara linalokua kwa kasi la Afrika lenye wakazi bilioni 1.3 linapoteza...
Huko nyuma walianza kuonekana kama waganga njaa ambao wanatumia siasa kujinufaisha.
Ndio maana wakiitwa Ikulu wanakimbia kula pilau na juice.
Leo hii wamekomaa na Sakata la Bandari. Wamechambua na kueleza namna huu mkataba haufai. Wananchi wanawaamini kama Wapinga ufisadi
Wamerejesha imani...
El Nino ni mfumo wa Hali ya Hewa unaosababishwa ongezeko kubwa la Joto la Bahari katika eneo la kati la Kitropiki kwenye Bahari ya Pasifiki. Hali hii huambatana na Vipindi vya Mvua kubwa vinavyoweza kusababisha mafuriko.
El Niño inaweza kusababisha mabadiliko ya Hali Mbaya ya Hewa, ikiwemo...
Uhusiano kati ya dini na siasa ni suala ambalo limekuwa na athari kubwa katika historia ya binadamu. Dini na siasa zinaweza kuwa na uhusiano wa karibu au wa mbali, na athari za uhusiano huu zinaweza kutofautiana kulingana na muktadha wa kihistoria, kitamaduni, na kijamii. Hapa kuna baadhi ya...
Wadau naomba msaada kwenye hii picha hapa. Mbona simuoni Bibi & Bwana?
Pia soma > UTATA: Ni muda gani na wapi Rais anatumia Nembo ya Taifa, au Nembo ya Rais, kwenye mimbari?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.