askofu gwajima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Askofu Gwajima ndiye aliyempeleka Lowassa Chadema 2015 na 2020 Sauti ikalia nyikani kwa Shujaa “ Nileteeni Gwajima “

    Cha ajabu zaidi Gwajima alikuwa anahudhuria vikao vya Kamati kuu ya Chadema huku akiwa mwanaccm Cha kushangaza mno Askofu Gwajima ana Kanisa Korea Kusini Je, Chaumma watampokea Askofu Gwajima kwa ajili ya kugombea Ubunge kama akina John Mrema? Mlale unono 😁🇹🇿
  2. The Palm Beach

    PreGE2025 Askofu Gwajima: Kwa sasa wanakushangalia kwa sababu upo madarakani, lakini inakuja siku utakuwa wa kawaida kama sisi

    Haya ndiyo majibu ya Askofu Josephat Gwajima kwa Mwenyekiti wake CCM na Rais Bi Samia Suluhu Hassan baada ya kumtangazia vita.. Soma Pia: Rais Samia: Tusi-gwajimanize chama chetu, Magwajima tuyaache huko nje. Ukicheza ngoma si yako lazima utaharibu Msikilize tu kwa dakika 3 tu na kumaliza kila...
  3. L

    Hizi ni sababu nzito za kwanini Askofu Gwajima anatakiwa kufukuzwa na kufutwa uanachama wa CCM haraka sana

    Ndugu zangu Watanzania, Kitendo alichokifanya Askofu Gwajima ni kitendo ambacho kilimuumiza ,kumkwaza,kumsononesha na kumchukiza kila mwana CCM. Ni kitendo ambacho kiliacha na kimeacha hasira ,chuki na maumivu makubwa sana katika vifua vya wana CCM wote ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Wana...
  4. Juma Wage

    PreGE2025 Ahadi za Gwajima Kujenga Ofisi za CCM Ghorofa Zazaa Magofu Kawe

    Katika vitabu vya historia ya siasa, kuna sura ambazo huandikwa kwa wino wa aibu na masikitiko. Hii ni moja ya hizo. Ni simulizi ya mwanasiasa aliyejivika joho la mkombozi, akawaahidi wanachama wa CCM Kawe “miujiza” ya maendeleo, lakini akawatelekeza katikati ya ahadi hizo. Josephat Gwajima...
  5. Peter Mwaihola

    Hoja 10 za Askofu Gwajima zinazosubiri kujibiwa kwa hoja

    Hizi ni hoja kumi alizozitoa Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima akihoji na kushauri. 1.Kuna wimbi la utekaji, na uvamizi wa kikatili wa raia pasipo hatia wala utaratibu wa kueleweka. 2.Vyombo vya ulinzi nchini havijaeleza kushindwa kushughulikia matukio ya utekaji wa raia kwanini hatua hazichukuliwi...
  6. BLUE DOG

    Asiye kuwa na uchungu na mtoto wake au jamaa au Watanzania wenzake au Binadamu mwenzake awe wakwanza kumrushia Askofu Gwajima Jiwe

    Salaam wandugu. Waungwana husema , Uchungu wa mwana aujua mzazi Sasa alichokisema Askofu Ngwajima amekisema kwa moyo wa dhati kabisa na kwa uchungu mkubwa kuonyesha jinsi gani mtoto alivyo wa thamani kwa aliye naye Na kila mzazi yuko radhi kupigania uhai wa mwanae kwa gharama yoyote...
  7. Mudawote

    PreGE2025 Hivi itakuwaje iwapo Rais Samia Kufanyia kazi mapendekezo ya Askofu Gwajima?

    GTs, Swali la kizushi. Hivi itakuwaje in case Rais Dkt Samia akiamua kuona kuna umuhimu wa reconciliation ya haya mambo yaliyotajwa na Askofu Gwajima na kuyafanyia kazi kwa kuchukua hatua kama vile kumuondoa IGP Wambura kwenye nafasi yake, kuwawajibisha wale wale wote waliohusika na kuua na...
  8. R

    Alianza Nyerere, Sokoine, Tundu Lisu, Mwabukusi, Kisha Askofu Gwajima

    Salaam! Nchi hii wamewahi kutokea viongozi majasiri ambao Katika kusimamia hoja huwa hawageuki nyuma, Sasa huyu ndugu Gwajima kwa hoja zile alizotia kwa Press, Ujasiri wa kuingia bungeni kuwakabilli kautoa wapi kama hana Roho ya Simba? Kwa tulipofikia, Huyu ndiye kiongozi pekee ndani ya...
  9. TJF1990

    PreGE2025 Tafakuri ya kisiasa na kijasusi; Majibu ya kitoto kwa hoja nzito za Askofu Gwajima

    Na: Mwananchi Mzalendo Tarehe: 27 Mei 2025 Siku ya Jumamosi ya wiki iliyopita (24 May 2025), Askofu Josephat Gwajima—Mbunge wa Kawe na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM—alizungumza na waandishi wa habari na kutoa kauli nzito juu ya matukio ya utekaji yanayoendelea kushamiri nchini. Kwa maudhui...
  10. Waufukweni

    PreGE2025 Furaha Dominick: Askofu Gwajima ameniomba nimuachie jimbo. Njoo kwenye game hakuna kuachiwa bure sasa hivi

    Mwenyekiti wa Furaha Media na Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Furaha Dominick amedai kuwa Askofu Gwajima ameniomba amuachie Jimbo
  11. Waufukweni

    PreGE2025 Vijana wa CCM Kawe: Tunamsema Askofu Gwajima kwasababu aligusa familia za viongozi wetu

    Vijana wa Chama cha Mapinduzi Mbunge wa Jimbo la Kawe, wamvaa Askofu Josephat Gwajima kwa kauli zake za kulaani vikali vitendo vya utekaji vinavyoripotiwa kuendelea nchini Tanzania, na kuhusu viongozi wa Serikali na Chama.
  12. Waufukweni

    PreGE2025 Furaha Dominick amlipukia Askofu Gwajima: Hana uhalali wa kuongelea Utekaji, ni muongo na muhuni

    Mmiliki/Mkurugenzi wa Furaha Media na mwanasiasa Furaha Dominick, amemjia juu Askofu Josephat Gwajima kutokana na mkutano wake alioufanya na waandishi wa habari hivi karibuni huku akiongelea masuala mbalimbali yanayoendelea nchini ikiwamo sakata la utekaji Pia, Soma: Askofu Gwajima: Wakuu wa...
  13. Nehemia Kilave

    Ukitoa Askofu Gwajima ni wanasiasa au watu wapi maarufu hawajabadilika kimitazamo tangu Hayati Magufuli mpaka sasa ?

    Habari wanaJF , Ni siku nyingine tena Mwenyenzi Mungu anatupa nafasi ya kuendelea kupambana na katafuta Maisha . Binafsi namuona Askofu Gwajima ni yule yule alichoamini jana ndicho anachoamini leo . https://youtu.be/8meTag4tsR4?si=_cIUS_w1pGQCI6Z9...
  14. Just Pray

    PreGE2025 The Chanzo yaondoa Maudhui ya Askofu Gwajima YouTube Kufuatia wito wa TCRA

    Leo Mei 27, 2025, The Chanzo imepokea wito kutoka kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuhusu maudhui ya video tuliyochapisha katika chaneli yetu ya Youtube, ambayo ni mkutano na waandishi wa habari mazungumzo aliyoyafanya Askofu Josephat Gwajima, Mbunge wa Kawe (Chama cha Mapinduzi -...
  15. W

    PreGE2025 POTOSHI Gwajima amjibu Jerry Muro na Msukuma

    Wakuu nimekutana na hii sauti inadaiwa kuwa ni ya Gwajima akimjibu Msukuma na Muro.
  16. L

    PreGE2025 Kuna uwezekano Askofu Gwajima anamchafua Rais Samia kuelekea Uchaguzi na akitumika na wale watu waliotaka asiwe Rais

    Ndugu zangu Watanzania, Ningependa Kuwaambieni na kuwakumbusheni Ya Kuwa Pamoja na Katiba yetu kuwa wazi na kunyooka kabisa juu ya nini kinapaswa kufanyika pale Rais aliyepo madarakani anapofariki Dunia, Yaani Makamu wa Rais Kuapishwa na kuchukua Madaraka ya Urais kuongoza Nchi. Lakini ni...
  17. W

    PreGE2025 Kawaida amshukia Askofu Gwajima: Hukushinda kura za maoni ila chama kikakuamini ila unashindwa kurudisha imani ya chama

    Kupitia ukurasa wake wa instagram, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohamed Kawaida ameandika "Umeahidi wananchi umeshindwa kutekeleza, licha ya kuwa kura za maoni hukuongoza Chama kikaamuwa kukuamini ila leo umeshindwa kurudisha imani ya Chama na Wananchi na zikiwa zimebaki siku chache kwenda kwenye...
  18. Kipenzi Changu

    PreGE2025 Askofu Gwajima: Utajisikiaje kama Baba Yako anashushwa kwenye gari, halafu kesho unasikia amekufa

    "Mfano huyu kibao, Unajisikiaje kama baba yako anashushwa kwenye gari halafu anakutwa amekufa" "Kuna huyu Mdude, kama mume wako anakuja kuchukuliwa nyumbani halafu mpaka leo haonekani, unajisikiaje" Hizi ni nukuu ya baadhi ya maneno ya Askofu Gwajima. Niwaulize wote mnaopinga alichokisema...
  19. PendoLyimo

    Ahadi zilizoshindwa kutekelezwa na Askofu Gwajima

  20. Determinantor

    Masaa 72 , hakuna Mwana CCM aliyeweza kujibu japo nukta ya Hoja ya UTEKAJI ya Gwajima

    Ni almost 72hrs now, hakuna hata hoja yoyote ile imejibiwa genuinely na CHAWA yoyote Yule wa CCM, leave alone police. Usalama wote wamekenua meno kisirisiri kwa kupata msemaji wao, kawasemea kwa ufasaha. Kila aliyejaribu kumjibu Gwajima ameishia kumshambulia personally na sio hoja zake Hadi...
Back
Top Bottom