Askofu Gwajima kwa ujasiri mkubwa kabisa amekuja hadharani na kupasua jipu kwa watanzania kuhusu kitendawili cha matukio ya utekaji hapa Tanzania. Gwajima amejenga hoja katika mambo mawili.
1. Kwanini kuna muendelezo wa matukio ya utekaji hapa Tanzania licha ya kuwepo vyombo vya dola vyenye...
Mwanasiasa Jerry Muro amezungumzia ujumbe uliotolewa na Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima kwa kusema “Sijui unatafuta nini baba yangu, kuna kitu fulani naona una kitu, kuna kitu unakitafuta, lakini hakuna kitu kimefanyika Rais Samia hajawahi kutolea maelekezo.”
Soma Pia: Askofu...
Wakuu,
Kwenye press yake leo, Jerry Muro amesema kuwa Gwajima aache kutengeneza "drama" na kwamba anapaswa kutambua kuwa kwa sasa wako kwenye kipindi cha Uchaguzi.
"Ningependa kukwambia kuwa huu sio wakati wa kuanza kutengeneza drama za kutuondoa kwenye Uchaguzi Mkuu. Huu ni wakati taifa...
Sio jambo la kawaida kwa sasa mwanachama wa CCM kutoka hadharani na kuja kuongea bila uoga kuhusu masuala ambayo bunge letu limetupilia mbali mjadala husika.
Nani anampa kiburi mzee wa Kawe?
Hakika leo umenifurahisha sana mtumishi wa Mungu askofu Gwajima. Hii ndio asili Yako ya kutetea haki, utu, uzalendo, taifa. bila shaka watanzania wote wamefurahishwa sana na hiki ulichokifanya jana, hata Mungu amefurahi.
Pia soma...
TAFAKURI YA KIJASUSI YA KAULI YA ASKOFU GWAJIMA MEI 24, 2025
Na: Steven Mmbogo
Mei 24, 2025
(Soma kwa umakini mkubwa)
1. Utangulizi wa Kiintelijensia (Intelligence Framing)
Kauli ya Askofu Josephat Gwajima inapobebwa kwa darubini ya kijasusi, haipaswi kutazamwa tu kama maoni ya mtu binafsi...
Askofu Gwajima kaweka wazi kabisa
1. Kuna kikundi kidogo kinachotumwa na Rais kwa manufaa yake mwenyewe ya kisiasa , kinachopelekea watu kuteswa , kuumizwa vibaya sana au hata kuuawa na kupotezwa kabisa
2. Jeshi la polisi na usalama wa taifa kwa ujumla hawahusiki na utekaji , isipokuwa...
Wakuu habari zenu.....
Gwajima jana tar 24 ameitisha pree na kuongea mambo kadha wa kadha.
Katika mengi aliyoyaongea Gwajima jambo moja juu ni hili.
Gwajima amekuja kutuonyesha kwamba sisi WATANZANIA tunataka ukombozi lakini tunatumia njia ambayo siyo sahihi kuitafuta ukombozi huo.
Gwajima...
IGP, DGSI, CDF wanaogopa kutenda maana mamlaka yao ya uteuzi ndiyo inatowatuma wanaoua na kuteka watu!
Gwajima amefanya yote, amerahisisha kazi ya wavivu wa kufikiri au wanafiki.
He raised and attended both FACTUM PROBANDUM AND FACTUM PROBANS
HARD TAKE HOME MESSAGE YA GWAJIMA NI KUWA anasema...
Jamani wakuu, hivi kuna mtu anayemwelewa huyu mbaba? Maana kila hali ya mambo yake inapodorora, mara moja huibuka na maneno mengi na vioja visivyo na kichwa wala miguu. Jimboni kwake Kawe hakuna lolote la maana alilowahi kufanya, na sasa uchaguzi unakaribia — ghafla ameanza tena na maigizo ya...
Nimeisikiliza hotuba ya Askofu Gwajima "akilihutubia" taifa! Ni hotuba nzuri iliyoweka mbele maslahi ya taifa! Si bure Watanzania wote wenye akili wanaifurahia!
Lakini imezoeleka kuwa kila anapoongea mtu mwenye uzalendo juu ya nchi ya Tanganyika huibuka wanaojiita "machawa" kumjibu kwa lengo la...
Kila mmoja anamjua gwajima kwa kuwa mtu mwenye msimamo wa hoja zake bila kujali kitu ?
Je, ni wabunge au mpinzani wake makonda watamjibu gwaji boy kwa hoja zake au watakaa kimya kuogopa kusemwa kanisani ?
Kama heading inavyoeleza, huu ndio unaweza kuwa ni uhalisia wa mambo na ndio maana Gwajima katumia nguvu kubwa kuwatetea wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Ni lazima ujiulize ni kwanini Gwajima amekwepa kabisa kiwatuhumu wakuu wa vyombo vya dola na badala yake amelenga mamlaka ya uteuzi...
Juzi niliona Clip ya Sheikh Mmoja anasema Kwa nini Viongozi wa Kikristo Wanamuandama Mama Samia tofuati na Marais waliopita ambao walikuwa wakristo.... nikacheka tu kwa namna alivyokuwa anatengeneza hoja kitoto sana, kama mtu hasiyekuwa na Elimu. Askofu Gwajima katoa hoja bila kuegemea upande wa...
Nimependa Press Conference ya Askofu Gwajima ni fupi na inojitosheleza.
Kaongelea masuala makuu matatu.
1. Uteuzi wa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kwamba ni lazima wathibitishwe na kamati ya bunge ya Ulinzi na Usalama. lakini "crucially", ni kwamba ni lazima utenguzi wao pia ni lazima...
Salaam!
Yaani hivi sasa masuala ya utekaji yanapingwa huko huko ndani ya chama hadharani.
Hivi sasa CHADEMA itapumua, maana reforms zinaongelewa kule kulle ndani.
Ni kwema mbeleni!
Mungu ibariki nchi YANGU nzuri niipendayo Tanzania 🇹🇿.
Umuofia Kwenu wana JF,
Nimejaribu kupitia link karibu tatu zilizorusha Stream ya Askofu Gwajima ,Zote zimefutwa.
Pia soma: Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya mwanasiasa aliyewaweka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.