Salama wakuu,
Habari za jioni wakuu? Naomba niende straight kwenye point,
Nimemnunulia mtoto wangu tablet aina ya Atouch ambayo inatumia android version 13. Sasa bwana hii tablet changamoto kubwa ni kufanya installation ya apps. Ukiingia kwenye play store ukachagua app ya kudownload, inafanya...