anayejua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Natafuta fundi anayejua vizuri Auto electrical au aliyesomea hii kozi ngazi ya cheti au diploma

    Habari wakuu! Nina shida na fundi mzuri wa auto electrical mwenye cheti kwa ngazi ya diploma sio lazima awe vizuri kwa upande wa practical, uzoefu ataupata kazini!! Kama unamjua mtu wa namna hiyo au ni wewe mwenyewe unaweza Kuja dm au comment namba ya simu, nitakupigia
  2. Malaika wa Misukosuko

    Nasumbuliwa na tatizo la "Sinus Tachycardia" anayejua tiba yake aniambie nimechoka kuteseka

    Habari zenu, kwa mwaka sasa nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la Sinus tachycardia, nimetumia propranolol miezi kibao ila zimenisaidia kupunguza maumivu tu ila sijapona. Mwenye tiba ya huu ugonjwa anipe suluhishi maana doctor aliniambia hiyo hali ukitumia dawa itatoweka ila hakuna kilichosaidia...
  3. Xiao qui shui

    Anayejua laptops vizuri anielekeze hili

    Wakuuu asalam asifiweee Moja kwa moja to the point, nimekuwa natumia windows 10 pro, imekuwa ikinidai kuactivate windows mara kwa mara Mara ya kwanza nilitoa hela kusaidiwa kuactivate sasa jamaaa akaweka external yake akafanya anavovijua chap chaoa huku akinificha akawa anatumia commands...
  4. amarina

    Naomba anayejua hotel ya nyota 10 Dar msaada

    Nina mgeni wangu ataingia jijini mwezi ujao msaada wenu hotel ya hadhi ya 10 star
  5. Hismastersvoice

    Kama yupo anayejua sababu kwanini bado upo umuhimu wa kuwepo TAKUKURU aziweke hapa

    Hali ya kisiasa miaka hii ni ya utata sana, matumizi ya pesa kutoka kwa viongozi ni kufuru, siku hizi tunapewa majiko ya gesi bure bila kuomba, tunapewa matukutuku bure, mabaisikeli bure bila kuomba! Na maokoto bure japo tunaitwa chawa wakati sisi si wachafu huku wansotubeba ndio wachafu! Yote...
  6. Kyambamasimbi

    Wakuu nahitaji remote control ya Projector Epson anayejua chimbo tafadhali p

    Habari wanajf. Kichwa Cha habari kinajieleza.
  7. U

    ANAYEJUA HAYA YAFUATAYO NINAOMBA UFAFANUZI!!!

    Namna ya kufungua na kumiliki akaunti benki kuu ya Tanzania ,namna ya kununua na kumiliki bondi ,faida zake nakadhalika!Nimeuliza hivi kwa sababu ninataka nimshauri kaka yangu afanye nini hasa akijiandaa kustaafu kazi ndani ya miaka 5 ijayo
  8. GENTAMYCINE

    Huu ukweli mtupu ungesemwa nasi Wakristo tungeambiwa hatuwapendi, nashukuru Mungu kausema Mwenzao anayejua vyema Uislamu

    Kudadadeki.....
  9. bob_fundi

    Anayejua kwa undani bachelor of plumbing and services engineering

    Habari wana jf nimeona kozi mpya chuo cha maji pale ubungo. Wameanza kutoa bachelor in plumbing and service engineer naombeni msaada kwa anayeijua vizuri fursa zake au changamoto zake
  10. R

    Nchi ya laana: why? Mbunge anayejua kusoma na kuandika 17,000,000/month, Tabibu (CO) laki 7! Mwalimu laki 4..............hala

    Nchi ya laana
  11. R

    Msaada kwa anayejua duka la jumla la simu na vifaa confine vya electronics anitaarifu ninashida

    Msaada tafadhal
  12. Foxhunters

    Msaada kwa anayejua utaratibu wa kujiunga na Vyuo vya Uvuvi kama Mbegani-Bagamoyo na Nyegezi-Mwanza

    Kuna mdogo wangu anataka kujiunga na vyuo vya uvuvi kwa ngazi ya diploma . Matokeo yake yanaruhusu nimejalibu kufuatiria website ya feta hakuna taarifa wizara ya mifugo na uvuvi pia sijaona chochote naomba kwa mwenye ufahamu anaipe ualewa zaidi.
  13. Genius Man

    Huu mfumo wa raisi akifa mtu ajitwalie madaraka ya aliye fariki kirahisi tu unaweza kuingiza mtu anayejua kusoma na kuandika tu

    Huu mfumo wa raisi akifa mtu ajitwalie madaraka ya aliye fariki kirahisi tu unaweza kuingiza mtu anayejua kusoma na kuandika tu. Huu mfumo wa kuiba kura na kuwa na tume isiyohuru unaweza kutuingizia watu wanaojua kusoma na kuandika tu. Kwahiyo kwa misingi hii mtegemee nini ? utaona mtu anauza...
  14. kiredio Jr

    Ndoto ya usiku wa leo imenitisha, msaada kwa anayejua tafsiri au maana

    Usiku wa leo nimeota ndoto ya ajabu sana, nimeota kuna mtu ninaye mfahamu ananikimbiza na kutaka kunidhuru. Nikaanza kumkemea kwa maombi huku namnyooshea kidole, ghafla nikaanza kupaa angani mpaka nikafika kilele cha juu mawinguni, chini nikawa naona mazingira tofauti kabisa ambayo sijawahi...
  15. Allen Kilewella

    Hakuna mtu anayejua kifanyike nini ili Mashariki ya Kati kutulie?

    Nimejaribu kusoma na kufuatilia habari mbali mbali za Mashariki ya Kati naona kama ulimwengu mzima upo gizani bila ya kujua nini hasa kifanyike ili Mashariki ya Kati kutulie. Jee Dunia nzima hatujui nini kifanyike ili watu wa Mashariki ya kati waishi kwa amani?
  16. Setfree

    Anayejua idadi kamili ya nywele zake aniambie nimpe zawadi !!

    Ni ajabu sana mpaka leo, wanasayansi hawajaweza kujua idadi kamili ya nywele za mtu. Wana-estimate tu. Scientists and researchers estimate the average number of hairs based on hair type and color. On average: Blondes: ~150,000 hairs Brunettes: ~110,000 hairs Black hair: ~100,000 hairs Redheads...
  17. U

    Lesotho yashangazwa na Trump aliyesema hakuna anayejua kuhusu nchi hiyo

    Funzo; Kama nchi, ni bora kupambana ili kujitegemea kuliko kutegemea misaada mana kuna muda nchi tajiri zinapata marais watata kama Trump. Leo kaanza na Lesotho, kesho nani? Trump anajiamini kupitiliza kwa sababu ya utajiri wake na ni bebari wa kiwango cha juu mpaka Ukrain kasalimu amri. Habari...
  18. realMamy

    Sasa nimpe nani anayejua thamani

    Sikiliza kibao kizuri cha isha mashauzi.
  19. M

    Anayejua dawa za asili kutibu tatizo la kukosa usingizi (insomnia) anisaidie nateseka

    Habari watanzania wenzangu naombeni njia mbadala za kupona hii changamoto ninayoipitia ya kukosa usingizi
  20. OMOYOGWANE

    Anayejua maendeleo yaliyofanywa na Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema atujuze

    Salaam wakuu, Kuna usemi kwamba siasa za Afrika zinafanana. Hakainde Hichilema Namfananisha na mpinzani flani wa nchi flani ya waliolala. Je, kuna mambo makubwa yapi amefanya mpaka sasa kuliko maraisi waliopita hapo Zambia?
Back
Top Bottom