anahitajika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Keagan Paul

    JamiiForums Tanzania Accountant mwenye CPA Anahitajika

    Wakuu bado tunahitaji Accountant mwenye CPA, Mawasiliano yetu ni hrfbde@gmail.com
  2. Keagan Paul

    JamiiForums Tanzania Accountant mwenye CPA, Aliyepo Dar anahitajika

    Habari zenu Wakuu, Accountant mwenye CPA anahitajika, Usahili ni Jumatatu tar 11 August 2025. Tuma CV yako hrfbde@gmail.com
  3. Keagan Paul

    JamiiForums Tanzania HR aliyepo Dodoma anahitajika

    Habari zenu Wakuu. Anahitajika HR aliyepo dodoma, mwenye uzoefu wa kufanya kazi Kiwandani. Tuma CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com
  4. V

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mhudumu wa huduma za uwakala

    Habari wanajamvi anahitajika mhudumu mwenye uzoefu wa huduma za uwakala wa simu na benki sharti awe na mdhamini na anaishi dar es salaam maeneo ya kibamba Mwenye kukidhi vigezo aje pm
  5. Bexb

    JamiiForums Tanzania Anahitajika muhudumu wa ofisi mwanamke

    Habari ya jioni wakuu. Natoa tangazo hili kwa niaba ya kampuni inayomilikiwa na wageni wa kutoka China, inayojihusisha na huduma za utengenezaji magari iliyo na ofisi zake Mikocheni, industrial road jirani na TPDC. Anahitajika muhudumu wa ofisi kwa ajili ya kufanya majukumu yafuatayo: 1...
  6. Abtali Mwerevu

    JamiiForums Tanzania (Re-advertised) Anahitajika Mwalimu

    Shule: Prime MIkocheni. Idadi: Walimu Watatu. Sifa: Degree ya Elimu mfano (Bachelor of arts with Education). Awe amehitimu kati ya mwaka 2024 na 2025. Awe mkazi wa Dar es Salaam. Namna ya Kutuma: Andika jina lako, mwaka wa kuhitimu chuo, jinsia yako, mahali ulipozaliwa, na mahali unapoishi kwa...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kinyozi anahitajika

    Habari. Nahitaji vijana wawili wanaojua kunyoa vizuri kwa ajili ya kazi eneo: Kigamboni. Kazi ni ya hesabu kwa wiki
  8. James 25th

    JamiiForums Tanzania Dada wakazi anahitajika

    Habari wapendwa. Anahitajika Dada wa Kazi (nyumbani). Location: sinza. Mshahara : 70elf Kukaa kwa Boss Kama upo Dsm Nipigie 0627776134
  9. D

    JamiiForums Tanzania Anahitajika Secretary (Karani) haraka

    AJIRA AJIRA AJIRA Aslaam Aleyku 🙏 Anahitajika Secretary (karani) Mwenye Sifa zifuatazo. Umri: Usizidi miaka 35 Ujuzi:Awe amesomea u secretary(u karani)Mwenye ujuzi wa computer vizuri. Jinsia: Mwanamke. Anapoishi Dar es salaam kwa maana Ofisi zipo Toangoma Dar es salaam hivyo awe karibu na...
  10. Isaack Newton

    JamiiForums Tanzania Mpiga picha nzuri anahitajika

    Habari, nahitaji mpiga picha mzuri aje ofisini kwetu kuwapiga picha staff wakiwa kwenye uniform .Hizo picha zinahitajika na ofisi zitumike kwenye marketing. Idadi ya picha ni nne tu Tupo mikocheni 0679464974
  11. S

    JamiiForums Tanzania law graduate

    Anahitajika kijana aliyemaliza degree ya SHERIA. Umri usiwe zaidi ya miaka 30 awe mkazi wa Arusha.
  12. D

    JamiiForums Tanzania Muuguzi (RN) anahitajika

    Anahitajika muuguzi (Registered Nurse). Eneo la kazi ni Dar es Salaam, Kiluvya Madukani (Madukani Dispensary). Maombi tuma kwa E-mail. jndasika3@gmail.com AU Whatsapp 07589181
  13. Think2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchumba wa kike anahitajika

    Sifa zifuatazo Asiwe mfupi Umri kuanzia miaka 20-25 Dini awe Muislam Elimu angalau awe na D mbili kwenye cheti chake cha shule Kabila lolote
  14. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Mtendaji - mke anahitajika

    Rejea kichwa cha habari hapo juu. Mkurugenzi Mtendaji (mke na sio mwanamke) anahitajika. KITUO CHA KAZI: MBEYA MJINI Sifa za muombaji: 1. Awe na nia ya kazi anayoiomba sio kujaribu. 2. Umri miaka 25 hadi 33. 3. Asiwe na mtoto 4. Matured enough 5. Mwenye hofu ya Mungu 6. Aanzie elimu ya...
  15. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Habari! Mimi pia nina changamoto ya hii.hivyo nimekuja hapa serious kama kuna mwanaume anauhakika anapito hili ambalo kiuhalisia linaumiza sana. lakini binafsi kisaikolojia nimepona nahitaji mwenza.nina miaka 41, nina degree.mume awe mcha Mungu,kiuchumi vizuri,.ndugu zangu ukiwa na changamoto...
  16. MKWANO

    JamiiForums Tanzania Anahitajika wakala wa pos/eftpos terminal

    Mwenye kujua alipo wakala wa kutoa hela iliyoko mtandaoni ( E MONEY CARD) tuwasiliane inbox au nipe location,awe mwanza,Arusha au Dar es Salam
  17. C

    JamiiForums Tanzania Msaada anaejua namna ya Kuandaa ndizi kwajili ya Export kwenda nje ya Nchi Nimuajiri anahitajika hata saivi

    Habari Ndugu Nina ndugu zangu waarabu wamepata tenda uko kwao ya kupeleka ndizi kwa maana ya export kwenda nje ya nchi za uarabuni na wamenieka mimi kuwa mtu kati yao niwasaidie na tunagawana percent ila sina ninachojua kwenye uandaaji na packaging ili zifike salama ninachojua ni ndizi...
  18. C

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi mlinzi anahitajika wa kike au kiume

    Anahitajika mfanyakazi kazi ya ulinzi awe wa kike au wa kiume. Eneo la kazi ni Iringa mjini , mshahara 150.000. Shift ni usiku. Mawasiliano 0699626644
  19. Mwafrika mmoja

    JamiiForums Tanzania Mtu wa IT anahitajika haraka

    Habari zenu wadau. Kuna nafasi mbili za watu wa IT wanahitajika haraka. Sifa: Wenye Bachelor au Diploma ya IT na uzoefu angalau mwaka mmoja. Nicheki WhatsApp namba: 0683535699
  20. U

    JamiiForums Tanzania Anahitajika dada wa kufanya kazi saloon Dodoma

    Anahitajika dada au mkaka wa saloon anaejua kusuka mitindo yote vizuri, kufanya Makeup, kushonea weavings, kubond n.k Kama Yupo tafadhali anichecki: Inbox Eneo la kazi ni Makulu. NB: Salon ni mpya hivyo anahitajika mtu ambae ana uzoefu na asiwe anakaa mbali sana.
Back
Top Bottom