anahitajika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Anahitajika Secretary (Karani) haraka

    AJIRA AJIRA AJIRA Aslaam Aleyku 🙏 Anahitajika Secretary (karani) Mwenye Sifa zifuatazo. Umri: Usizidi miaka 35 Ujuzi:Awe amesomea u secretary(u karani)Mwenye ujuzi wa computer vizuri. Jinsia: Mwanamke. Anapoishi Dar es salaam kwa maana Ofisi zipo Toangoma Dar es salaam hivyo awe karibu na...
  2. Isaack Newton

    Mpiga picha nzuri anahitajika

    Habari, nahitaji mpiga picha mzuri aje ofisini kwetu kuwapiga picha staff wakiwa kwenye uniform .Hizo picha zinahitajika na ofisi zitumike kwenye marketing. Idadi ya picha ni nne tu Tupo mikocheni 0679464974
  3. S

    law graduate

    Anahitajika kijana aliyemaliza degree ya SHERIA. Umri usiwe zaidi ya miaka 30 awe mkazi wa Arusha.
  4. D

    Muuguzi (RN) anahitajika

    Anahitajika muuguzi (Registered Nurse). Eneo la kazi ni Dar es Salaam, Kiluvya Madukani (Madukani Dispensary). Maombi tuma kwa E-mail. jndasika3@gmail.com AU Whatsapp 07589181
  5. Think2

    Mchumba wa kike anahitajika

    Sifa zifuatazo Asiwe mfupi Umri kuanzia miaka 20-25 Dini awe Muislam Elimu angalau awe na D mbili kwenye cheti chake cha shule Kabila lolote
  6. F

    Mkurugenzi Mtendaji - mke anahitajika

    Rejea kichwa cha habari hapo juu. Mkurugenzi Mtendaji (mke na sio mwanamke) anahitajika. KITUO CHA KAZI: MBEYA MJINI Sifa za muombaji: 1. Awe na nia ya kazi anayoiomba sio kujaribu. 2. Umri miaka 25 hadi 33. 3. Asiwe na mtoto 4. Matured enough 5. Mwenye hofu ya Mungu 6. Aanzie elimu ya...
  7. S

    Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Habari! Mimi pia nina changamoto ya hii.hivyo nimekuja hapa serious kama kuna mwanaume anauhakika anapito hili ambalo kiuhalisia linaumiza sana. lakini binafsi kisaikolojia nimepona nahitaji mwenza.nina miaka 41, nina degree.mume awe mcha Mungu,kiuchumi vizuri,.ndugu zangu ukiwa na changamoto...
  8. MKWANO

    Anahitajika wakala wa pos/eftpos terminal

    Mwenye kujua alipo wakala wa kutoa hela iliyoko mtandaoni ( E MONEY CARD) tuwasiliane inbox au nipe location,awe mwanza,Arusha au Dar es Salam
  9. C

    Msaada anaejua namna ya Kuandaa ndizi kwajili ya Export kwenda nje ya Nchi Nimuajiri anahitajika hata saivi

    Habari Ndugu Nina ndugu zangu waarabu wamepata tenda uko kwao ya kupeleka ndizi kwa maana ya export kwenda nje ya nchi za uarabuni na wamenieka mimi kuwa mtu kati yao niwasaidie na tunagawana percent ila sina ninachojua kwenye uandaaji na packaging ili zifike salama ninachojua ni ndizi...
  10. C

    Mfanyakazi mlinzi anahitajika wa kike au kiume

    Anahitajika mfanyakazi kazi ya ulinzi awe wa kike au wa kiume. Eneo la kazi ni Iringa mjini , mshahara 150.000. Shift ni usiku. Mawasiliano 0699626644
  11. Mwafrika mmoja

    Mtu wa IT anahitajika haraka

    Habari zenu wadau. Kuna nafasi mbili za watu wa IT wanahitajika haraka. Sifa: Wenye Bachelor au Diploma ya IT na uzoefu angalau mwaka mmoja. Nicheki WhatsApp namba: 0683535699
  12. U

    Anahitajika dada wa kufanya kazi saloon Dodoma

    Anahitajika dada au mkaka wa saloon anaejua kusuka mitindo yote vizuri, kufanya Makeup, kushonea weavings, kubond n.k Kama Yupo tafadhali anichecki: Inbox Eneo la kazi ni Makulu. NB: Salon ni mpya hivyo anahitajika mtu ambae ana uzoefu na asiwe anakaa mbali sana.
  13. Tony Yeyo

    Anahitajika mtaalam wa kuchambua siasa za kimataifa

    Wakuu habar zenu Nahitaji mtalamu wa kuchambua siasa na habari za kimataifa ili tufanye kazi katika Chaneli ya youtube , malipo ni makubaliano Sharti awe mkoa wa mbeya
  14. Koschei

    Natafuta mke wakuoa kwa ambae yupo tayari tafadhari tuwasiliane

    Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 35. Nina mtoto mmoja na nimfanya biashara wa mitumba. Napatikana Mwanza Ilemela, natafuta mke wakuoa kwa ambae yupo tayari tafadhari tuwasiliane DM ipo wazi. Umri wowote unaruhusiwa mradi uweserious
  15. J

    Mwanamke Mgumba anayejielewa anahitajika awe na sifa hizi

    Habari wanaJF Kichwa kimejieleza hapo juu ni jambo serious kwa huyu ndugu yetu kwani siku zote ukweli humweka mtu huru na amethubutu kuniweka wazi. Ni mjomba wa miaka 36 lakini amejikuta anapitia changamoto nzito sana katika mahusiano yake kisa matatizo yake ya uzazi(ugumba). Mimi sio...
  16. Betason

    Anahitajika kijana wa kupaka kucha rangi

    Eneo la kazi ni kijichi mbagala kuu, malipo ni kwa siku baada ya makubaliano..kama upo tayari nichek pm kwa maelekezo zaidi
  17. A

    Mke anahitajika

    Wakuu hodi humu, Nimekuja na nia ya dhati kabisa kutaka Binti mmoja tu awe nami, sijali kuhusu elimu yake. Awe tu katulia, life is too short kumanga manga. Kama nia yako imenyooka karibu PM Iko wazi tuanzie hapo. Nawasilisha
  18. Mung Chris

    Dating Website designer anahitajika

    Ninaye rafiki yangu ame download dating website templates sio app, sasa anahitaji mtu wa kumsadia kufanya installation maana tayari amesha sajili domain name na hosting ameshalipia. Just installing templates na kuweka majina. Pls njoo dm kama unaweza kazi hiyo uje na bei yako. Usije bila bei.
  19. BENEDICT ISEME

    Anahitajika Bachelor Pharmacist

    Anahitajika Bachelor Pharmacist mwenye leseni kusimamia Phamarcy Location: Dar es Salaam NOTE : SIO LAZIMA YEYE KUWEPO PHYSICALLY SALARY : NJOO NA DAU LAKO Mawasiliano: 0767810030
  20. BENEDICT ISEME

    Anahitajika Bachelor Pharmacist

    Anahitajika Bachelor Pharmacist mwenye leseni kusimamia Phamarcy Location: Dar es Salaam NOTE : SIO LAZIMA YEYE KUWEPO PHYSICALLY SALARY : NJOO NA DAU LAKO Mawasiliano: 0767810030
Back
Top Bottom