Akili (Persian: اكيلي, also Romanized as Āḵīlī) is a village in Emamzadeh Seyyed Mahmud Rural District, Sardasht District, Dezful County, Khuzestan Province, Iran. At the 2006 census, its existence was noted, but its population was not reported.
Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me.
One of my ex is a single mother. She has one lovely boy! From what i see her go through, my admiration and respect for her goes higher each day.
Single...
akili
hofu
kijana
malezi ya single mother
mashaka
mbaya
msomi
mtoto
mungu
mwanaume
pongezi kwa single mothers
quran
single
single mother
single mothers
wengi
wenye
Mheshimiwa Waziri Mkuu Mstaafu Majaliwa ni kiongozi ndani ya CCM, pia lazima Watanzania wafahamu kuwa katika watu ambao hufanyiwa vetting kubwa kuliko watu wote Tanzania ni Waziri Mkuu kabla hajapitishwa na Rais.
Wengi tunasema kuwa ni rahisi Rais wa Tanzania kupatikana kwa bahati lakini Waziri...
Uvumi wa kifo cha Netanyahu ulipoanza, Israel waliona taarifa hizo zinaweza kutumika kwenye vita. hawakupoteza muda, waligeuza uvumi huo kuwa silaha, kama msemo wa Wazungu unavyosema “ukipewa malimao, tengeneza juice ya lemonade.” Kwa ustadi wa hali ya juu, walitumia taarifa hizo kama chambo na...
Ukimsikiliza rais wa Marekani Donald Trump kwa makini na bila upendeleo, unagundua ni mtu mwenye changamoto ya akili. Ni muotaji ndoto wa mchana, muongo, mjinga, na mpumbavu.
Anaongopa hata bila kuona aibu wala kupepesa macho na bado kuna watu wanamuamini. Napata shida sana kumuelewa na...
Akili nyingi ni kufanya kitu ambacho wengine wote wameshindwa kufanya, ila wewe ukaweza kufanya na kikaonekana. Iwe ni kwenye teknolojia, biashara, maamuzi magumu n.k Je, wewe una akili nyingi?
GT
Sijui mentor wa maCCM ni nani? Mnazidiwa akili na chadema yenye rasilimali watu wachache
Chadema walijua kabisa mkiwazua kufanya Tamasha lao ndo watapata airtime zaidi huko duniani na mtego huo mmeshindwa kunasua.
Kama mgepiga kimya wakajifanyia Tamasha lao hakuna mtu angekaa kufuatilia...
Lengo lao ilikuwa wakirusha zile penseli na vipepeo kama walivyokuwa wanafanya basi majirani nao wangejibu mapigo na hivyo kupelekea Mashariki ya Kati nzima kuingia vitani.
Au wameishiwa penseli na vipepeo? Eti wataalamu tuambieni.
https://www.instagram.com/p/DVk55PWlhR8/?igsh=dmVlcHh3aXQ0dGxj
Salaam Wakuu,
Nahisi baadhi ya watu wasiokunywa au kuonja pombe hawana akili timamu.
Wana maongezi ya kindezi ndezi.. Hawana madili hata tone...
Wanachojua ni Umalaya, Uasherati, Uzinzi, Umbeya, Wizi, na roho mbaya.
Nahisi watu wasio kunywa pombe hawana akili timamu.
Watu wanaobaka na...
Mmoja anatumia nguvu mia akili kisoda mwingine anatumia nguvu kisoda akili mia
Israel na Marekani anatumia akili kubwa na nguvu kidogo matokeo makubwa.
Mpaka sasa vifo vingi ni Iran lakini mashambulizi mengi ni Iran pia ni kama anajipiga mwenyewe hivi yaani anaua mbu kwa nyundo kubwa kidoleni...
CCM mtandao ni wajinga na hawana akili za kuweza kuwadanganya Watanganyika.
Walidhani Jesca Magufuli atakuwa bait ili wakubalike kwa Watanganyika.
Yuko wapi Humphrey Polepole?
Ni ushauri wa Bure Kwa mwanaume anayetaka kubaki kwenye nafasi yake ya uanaume.
Ambao mmeamua kuleft siwashangai Wala kuwadharau uanaume ni kazi ngumu sana
Huwezi kuambiwa jikaze kimwanamke , jikaze kiume ndo NENO liko Hadi kwenye maandiko
Hizi ni ajali ambazo hadi leo zimeniachia simanzi na kumbukumbu mbaya kichwani mwangu. Sikupoteza ndugu wala mtu yeyote wa karibu ila ziliniumiza mno.
1. Ajali ya moto kwenye bweni la wasichana Shauritanga sec, Rombo
Hii ajali ilitokea usiku wa tarehe 18 June 1994. Bweni lilishika moto na...
Mwaka 1961, mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Yale, Stanley Milgram, alifanya jaribio ambalo lilionyesha jinsi ubongo wa binadamu unavyofanya maamuzi unapokua chini ya mamlaka fulani na kuibua swali zito kuhusu utii wa binadamu kwa mamlaka.
Katika jaribio hilo linalojulikana kama Milgram...
Hakuna serikali ya kijinga namna hiyo.
Mange Kimambi anazusha Mafwele kabakwa halafu anasema serikali ikanushe na Mafwele ajitokeze.
Kigogo 2014 anazusha Rais kafa, mnafurahi na kujifariji. Mkiona kimya anatokea Lema na Maria Sarungi mjaa laana wanasema serikali iseme Rais yuko wapi.
Anatokea...
Law Society of Kenya na Amnesty International Kenya wametoa taarifa kuhusu kuokolewa kwa mwanaharakati wa Tanzania, Mshabaha Mshabaha Hamza, aliyedaiwa kutekwa nchini Kenya.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Hamza aliokolewa Februari 22, 2026 baada ya polisi kuingilia kati. Watu watatu walikamatwa...
Hili tukio la yule jamaa katili sana kutekwa na wabeba mawe kwenye mabegi ni la kulichukulia kwa tahadhari na akili kubwa.
Huenda la kweli au uzushi.
Wanaosambaza uvumi huu wote hawaweki ushahidi bali wanasema tuwaamini.
Kila anayesambaza anaanza au kumalizia maelezo yake kwa furaha kwa...
Polisi hamuaminiki.
Mmeteka watu maelfu mnasema hamihusiki, at the end of the day inafahamika pasi shaka kuwa you are the CULPRITS.
Soka yuko wapi wakati aliripoti Chang'ombe na mkasema hamuhusiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.