Akili zimeanza kuwarudi japo wamechelewa.

Akili zimeanza kuwarudi japo wamechelewa.

Hii vita ukiegemea upande mmoja lazma ukaze fuvu kuelewa
 
Awamu hii kila jirani ameanza na plan b,hakuna boya...
 
Hapo ambacho hakieleweki ni nini?! Au hisia zako za Kimanzichana Baptist church ndizo umeziweka mbele.Kulikuwa na mazungumzo kati ya Iran na Saudi Arabia jana na wamekubaliana Iran asishambulie Mataifa ya Ghuba na Saudi Arabia ikiwa hamna tishio lolote maana kambi zote zimechakazwa na askari wa kinarekani waliokuwwpo wanazururazurura tu mitaani hawajui hatma yao
 
Back
Top Bottom