akiba

Tadatoshi Akiba (秋葉 忠利, Akiba Tadatoshi, born November 3, 1942 in Arakawa, Tokyo) is a Japanese mathematician and politician and served as the mayor of the city of Hiroshima, Japan from 1999 to 2011.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Shehe Kishk: Kiongozi anapaswa kuwe ni mtu wa Amani, mwenye Afya njema na akiba ya Chakula!

    Shehe Kushk wa Jumuiya ya Temeke amesema kwa mujibu wa Qur'an tukufu Kiongozi wa kutawala duniani anapaswa kuwa na sifa kuu tatu, ambazo ni: 1.Mtu wa Amani 2. Mtu mwenye Afya njema 3. Mtu mwenye akiba ya Chakula Kiongozi wa ngazi yoyote anapaswa kuwa na sifa kuu hizo tatu ili aweze...
  2. SheriaE

    Hoja ipi kati ya zifuatazo ina ukweli ndani yake

    Habari za uzima ndugu zangu. Naomba mkipata muda mtaniambia ni hoja ipi kati ya zifuatazo inaukweli ndani yake : 1.Inasemekana wanawake wengi wamepewa uwezo mkubwa na Mungu wa kutunza fedha kuliko wanaume , 2.Hali ngumu za kimaisha zimewafanya watu wengi wasiabudu 3.Inasemekana kwamba...
  3. kavulata

    Kuna maisha baada ya uchaguzi kupita, tuwekeni akiba ya maneno na vitendo

    Hata iweje maisha yataendelea baada uchaguzi kumalizika na bila kujali matokeo ya Uchaguzi yatakuwaje. Wadau wote wa uchaguzi, yaani Wanasiasa, wagombea, ofisi ya msajili, Tume ya Uchaguzi, Askari, wasimamizi wa uchaguzi, wahesabu kura, mawakala na wapigakura tukumbuke muda wote kuweka akiba ya...
  4. DocJayGroup

    Naomba kujuzwa utaratibu wa kupata SMS za mtu kupitia watoa huduma (mitandao) na kama polisi Tanzania wanafanya polygraph test

    Nimeona sio mbaya kuingia kwa JF kupata information zaidi sababu kuna watu wana knowledge nyingi sana na mbalimbali hapa. Katika saiti yangu moja ya kazi, kuna nyumba za wafanyakazi. Kijana mmoja mwangalizi mkuu wa saiti hio, amekuwa akitunza hela kwenye ndoo sababu wazazi wake walipitia tatizo...
  5. M

    Serikali iwajali bana jeshi la akiba

  6. Magonjwa Mtambuka

    Lissu haelewi maana ya ‘Jeshi la Akiba’?

  7. IAfrika

    Benki Kuu ya Sudan Kusini yasema Akiba ya Fedha za Kigeni imekwisha

    Sudan Kusini imeishiwa na akiba ya fedha za kigeni na haiwezi tena kumaliza kushuka kwa thamani ya Pauni ya Sudan Kusini, afisa mkuu wa benki kuu alisema Jumatano. Daniel Kech Pouch, gavana wa pili wa benki hiyo, aliambia mkutano wa habari kwamba mapato ya mafuta ya nchi yamepungua, ikigonga...
  8. U

    Karibuni tuelekezane jinsi ya kuweka akiba

    Habari wanaJF, Hali ya uchumi imekuwa ngumu kwa watanzania wengi. Naamini ili kupata maendeleo njia mojawapo n kujenga tabia ya kuweka akiba. Hivyo nakaribisha mawazo tuweze kupata elimu/njia mbalimbali ambazo zinaweza kusaidia tufundisha namna ya kuweka akiba kwa matumizi ya baadae.
  9. Victor Mlaki

    Maisha ya mtu ya baadaye huendeshwa na akiba

    Ukiufahamu vizuri wakati ujao utaelewa namna ya kuutumia wakati wako wa sasa kwa sababu wakati hupita kupisha wakati mwingine huku ukiacha alama. Maisha yako ya baadae kwa zaidi ya asilimia 80% yatandeshwa na kile ulichohifadhi baada ya kutumia na siyo kile ulichopata katika wakati ukiwa na...
  10. Cannabis

    Jeshi la Polisi: Hakuna ushahidi kuwa Freeman Mbowe alishambuliwa. Alikuwa ametoka kwa Joyce Mukya. Alikuwa amelewa chakari

    USHAHIDI wa awali wa Jeshi la Polisi nchini kuhusu madai ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe umeonesh kuwa siku hiyo ya tukio Mbowe alikuwa amelewa chakali na alizunguka kwenye kumbi mbalimbali za...
  11. GENTAMYCINE

    Tunaolisifia ' Embe ' la Mtwara kuwa ' Gumu ' leo kwa ' Jiwe ' la Geita tuwekeni akiba ya maneno pale nalo likiamua kukubali ' Kumenyeka ' Kiulaini tu

    Ni ukweli usiopingika kabisa kuwa kama kuna Matunda matamu lakini ni Magumu kuyala kama usipokuwa Imara ni ' Maembe ' ya kutoka Mkoani Mtwara. Ila pia hakuna Mkoa ambao una Mawe magumu na hatari tena yaliyo na Ncha Kali ambayo inaweza Kufanya Embe la Mtwara ' limenyeke ' lenyewe Kiulaini kama...
  12. technically

    Tuna akiba ya pesa dollar bilion 5.3

    Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza. Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,* Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million. Kumbe...
  13. M

    Kuvuka million kama Akiba ni changamoto sana

    Nipo katika mazingira ya kupata hela kila siku ili mradi natoka kufanya kazi zangu za kila siku, kipato changu kwa siku hakipungui 30000 ikiwa na maana hapo nishakula na mahitaji yangu ya lazima ya siku kama vocha/soft drinks/ nk. Ila kuweka akiba imekuwa ni shida sana kwani naweza kujibana...
  14. Suley2019

    Kiongozi wa chama wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kupanda kwa bei ya mahindi ni kwa sababu serikali hainunui chakula cha akiba

    Zitto alisema Rais John Magufuli ameongelea bei ya unga kupanda yupo sahihi kwa wakulima wanapaswa kupata bei nzuri ya mazao na serikali haipaswi kuingilia. “Amejifunza makosa ya korosho? Lakini sababu za bei kwa walaji kupanda ni serikali kutonunua chakula cha akiba Zitto aliandika ujumbe huo...
  15. T

    Tunaosifu tukumbuke kuweka akiba yajayo yanafurahisha

    Nikiwa mmoja wa watu navutiwa na kazi ya Rais naomba wale wote tuna mapenzi mema na taifa basi tusisifu sana tukasahau kuweka akiba ya maneno. Taifa letu ni muhimu sana na umoja wetu kuliko yale yote yanaendelea. Kama Watanzania tujivike ujasiri kumsifu Rais na kumkosoa ila sio kwa lugha...
  16. beth

    Njia rahisi ya kupata mtaji

    Changamoto kubwa ya watu wengi katika kuanzisha biashara ni mtaji. Kuanza biashara kuna mambo mengi sana, kuna kufanikiwa na kushindwa hivyo kuchukua mkopo banki wakati ndio unaanza biashara sio busara hii ni kwa sababu unashauriwa kuwa kabla haujaweka fedha zako kwenye biashara yeyote ile ni...
Back
Top Bottom