Inashangaza: Rais Samia mwezi Juni 2021 alisema akiba ya fedha za kigeni ni Dola bilioni 4,765

Behaviourist

JF-Expert Member
Apr 8, 2016
39,901
95,404
Ndugu zangu haya mambo yanashangaza sana.Katika kipande cha video hapo chini Rais Samia Suluhu Hasan akiwa Mwanza mwezi juni 2021 alidai kuwa akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za kimarekani bilioni 4765.

Ndugu zangu Mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya fedha za kigeni dola bilioni 4765. Mwezi Disemba ikapanda na tukaambiwa akiba yetu imefika Dola za kimarekani bilioni 6253. Mwezi Juni 2021 mbona taarifa ya ufafanuzi kuwa Serikali imekosea haikutoka?

Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya mambo yanapangwa kimkakati na kwa makusudi kwani siyo rahisi Rais akosee mara mbili.

Huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.Ni vyema tukajua ukweli uko wapi kwani hii nchi ni yetu sote.

Kwa mtu mwenye akili zake ukiunganisha doti ya hizi hotuba mbili ni lazima upate harufu ya kitu ambacho siyo kizuri.

Kitendo cha Rais kukosea mara mbili kinaibua tena maswali kadha ambayo ndani yake yanatupa taarifa kuwa huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.

1.Inawezekana Rais amekosea mara mbili?

2.Mbona mwezi juni 2021 hatukupata ufafanuzi kuwa Serikali imekosea?

3.Kama Rais anakosea kirahisi hivi,ni mangapi anakosea?
 

Attachments

  • 205952.mp4
    1.1 MB
Kwangu mimi namuona Samia ni mtu ambae hana uwezo wa kuchangua mambo! Ye yupoyupo kila kitu anataka aletewe mezan
Haupo sahihi kwa sababu hata akiletewa hutoba mezani anapaswa aipitie kwanza na ajiridhishe na figures ndipo apande hewani.

Kwa mtu wa kawaida ambae siyo hata Rais ukiona figure inasema kuwa akiba ya fedha za kigeni ni dola billioni 4765 lazima ushtuke,sembuse Rais?

Ukweli ni kwamba kuna kitu hakipo sawa nchini na huenda tunaongozwa na Serikali ya kipropaganda.

Kudai kuwa Rais anakosea kwa sababu anaandaliwa hotuba ni non-sense kwa sababu Rais anapaswa apitie hotuba yake na ajiridhishe nayo kabla hajapanda hewani.
 
Najaribu kukusoma mahala sikuelewi, unasema mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya dola 4765, then mwezi Dec 2021 tukaambiwa tena tuna akiba ya dola 6253, unapouliza mbona taarifa ya mwezi Juni 2021 hatukupewa unakuwa na maana gani?
 
Haupo sahihi kwa sababu hata akiletewa hutoba mezani anapaswa aipitie kwanza na ajiridhishe na figures ndipo apande hewani.

Kwa mtu wa kawaida ambae siyo hata Rais ukiona figure inasema kuwa akiba ya fedha za kigeni ni dola billioni 4765 lazima ushtuke,sembuse Rais?

Ukweli ni kwamba kuna kitu hakipo sawa nchini na huenda tunaongozwa na Serikali ya kipropaganda.

Kudai kuwa Rais anakossea kwa sababu anaandaliwa hotuba ni non-sense.
Sidhan! Mbona hayati Magufuli hakuwai kutaja amount ila aliishia kusema tuna akiba ya kigeni ya kuweza kulisha taifa letu kwa zaidi ya miezi 6 atakama tusipozalisha?
 
Hata wakisema tr maadam hatuzioni wala huoni statements sawa tu

Nchi isiyokuwa na uhuru wa habari
Freedom of Information Act

Siku tukiwa na hiyo basi tutahoji kila kitu
Au liwekwe kwenye katiba pia kwa lazima ili tukitaka kujua takwimu zozote zinawekwa hadharani

Watu hata idadi yetu hatujui kweli tutajua yaliyomo gizani?
 
Ndugu zangu haya mambo yanashangaza sana.Katika kipande cha video hapo chini Rais Samia Suluhu Hasan akiwa Mwanza mwezi juni 2021 alidai kuwa akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za kimarekani bilioni 4765.

Ndugu zangu Mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya fedha za kigeni dola bilioni 4765. Mwezi Disemba ikapanda na tukaambiwa akiba yetu imefika Dola za kimarekani bilioni 6253. Mwezi Juni 2021 mbona taarifa ya ufafanuzi haikutoka?

Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya mambo yanapangwa kimkakati na kwa makusudi kwani siyo rahisi Rais akosee mara mbili.

Huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.Ni vyema tukajua ukweli uko wapi kwani hii nchi ni yetu sote.

Kwa mtu mwenye akili zake ukiunganisha doti ya hizi hotuba mbili ni lazima upate harufu ya kitu ambacho siyo kizuri.

Kitendo cha Rais kukosea mara mbili kinaibua tena maswali kadha ambayo ndani yake yanatupa taarifa kuwa huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.

1.Inawezekana Rais amekosea mara mbili?

2.Mbona mwezi juni 2021 hatukupata ufafanuzi?

3.Kama Rais anakosea kirahisi hivi,ni mangapi anakosea?
View attachment 2066406
Mimi binafsi ninaogopa sana. Kwa maneno mengine mafupi sana kama nchi hatuko salama. Usiponielewa achana nalo hili jambo.
 
Sidhan! Mbona hayati Magufuli hakuwai kutaja amount ila aliishia kusema tuna akiba ya kigeni ya kuweza kulisha taifa letu kwa zaidi ya miezi 6 atakama tusipozalisha?
Sijakuelewa unamaanisha nini hapa.
 
Maana yangu ni kwamba kipindi hiki si wametoa taarifa kuwa wamekosea,mbona mwezi juni 2021 kama walikosea hawakutoa taarifa kuwa wamekosea?
Ok, hapa nimekupata; simply hizi taarifa zinatolewa kisiasa kuonesha hali yetu kiuchumi sio mbaya, kwasababu mwezi Juni watu hawakuhoji wakaona na mwezi Dec watudanganye tena ila ndio wakashtukiwa.
 
Huyo mwandishi wake Anaonekana hana uelewa......!!
Haupo sahihi hata kidogo kwa sababu hata akiletewa hutoba mezani anapaswa aipitie kwanza na ajiridhishe na figures ndipo apande hewani.

Kwa mtu wa kawaida ambae siyo hata Rais ukiona figure inasema kuwa akiba ya fedha za kigeni ni dola billioni 4765 lazima ushtuke,sembuse Rais?

Ukweli ni kwamba kuna kitu hakipo sawa nchini na huenda tunaongozwa na Serikali ya kipropaganda.

Kudai kuwa Rais anakosea kwa sababu anaandaliwa hotuba ni non-sense kwa sababu Rais anapaswa apitie hotuba yake na ajiridhishe nayo kwanza kabla hajapanda hewani.
 
Tukiambiwa upinzani hatuna hoja tunakaidi. Sasa mpiga kura wa nakapanya huko mkienda kumwambia Rais alisema tuna akiba ya Dola Bilioni 4700 badala ya 4.7 atawaelewa kiasi awape kura kweli?
 
Ok, hapa nimekupata; simply hizi taarifa zinatolewa kisiasa kuonesha hali yetu kiuchumi sio mbaya, kwasababu mwezi Juni watu hawakuhoji wakaona na mwezi Dec watudanganye tena ila ndio wakashtukiwa.
💯💯💯
 
Haupo sahihi hata kidogo kwa sababu hata akiletewa hutoba mezani anapaswa aipitie kwanza na ajiridhishe na figures ndipo apande hewani.

Kwa mtu wa kawaida ambae siyo hata Rais ukiona figure inasema kuwa akiba ya fedha za kigeni ni dola billioni 4765 lazima ushtuke,sembuse Rais?

Ukweli ni kwamba kuna kitu hakipo sawa nchini na huenda tunaongozwa na Serikali ya kipropaganda.

Kudai kuwa Rais anakosea kwa sababu anaandaliwa hotuba ni non-sense kwa sababu Rais anapaswa apitie hotuba yake na ajiridhishe nayo kwanza kabla hajapanda hewani.
Point yako nini kwani?
 
Back
Top Bottom