ajira

  1. JamiiForums Tanzania Revenue Growth Manager at Coca Cola

    Position: Revenue Growth Manager Reference Number: CCB230816-2 Job Category: Commercial - Sales and Marketing Job Type: Permanent Location: Dar es Salaam, Tanzania Key Duties & Responsibilities The role will contribute to Coca-Cola Kwanza vision by maximizing revenue growth through the...
  2. JamiiForums Tanzania Ajira ya kujitolea dawasa

    Wakuu Habari, Zenu nilibahatika kuhitimu course ya water supply and sanitation engineering pale chuo cha maji ubungo kwa ngazi ya NTA 4. Changamoto ambayo nakutana nayo katika hivi vituo vya dawasa Ata nafasi ya kupatia uzoefu nakosa namaanisha kujitolea ngumu ila wapo form 4 leavers dawasa...
  3. JamiiForums Tanzania Senior Specialist; Productivity & Efficiency at CRDB Bank

    Position: Senior Specialist; Productivity & Efficiency Line Manager: Senior Manager: Results Management Location: HQ Department: Business Transformation Key responsibilities: Conduct an organization-wide scan of the lost opportunities, that can support the bank to improve income and contain...
  4. JamiiForums Tanzania Yameanza kwa TRA yatafata kwengine, TRA kusimamia wenyewe ajira badala ya utumishi tunarudi kule kule kwenye ajira za ukoo na kujuana

    Mke: Mume wangu, mdogo wangu kile kipindi utumishi wanasimamia ajira hakupata kabisa. Mme: Ni kweli utumishi walikuwa pasua kichwa, walituharibia sana, mambo ya connection yalipigwa panga. Mke: Sasa Mama karuhusu Mashirika mjisimamie msaidie basi mdogo wangu. Mme: Ondoa shaka, mdogo wako...
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

    Haiingii akilini NSSF wamepata wapi huu ujeuri wa kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote ili kuajiri wateule wao tu waliopewa nafasi kinyemela ya mikataba na kwa gia ya "kujitolea". Lazima nyuma yake kuna vigogo vinasukuma hii agenda nyuma ya pazia! Haishangazi yalishaanza...
  6. JamiiForums Tanzania Nakosa Imani na nguvu ya kuomba Ajira za TAMISEMI

    Kila ninaposikia kuhusu suala la kutangazwa kwa ajira za TAMISEMI hususani katika kada yangu ya ualimu napata furaha, lakini mchakato unapoanza hadi kukamilika na matokeo yanapotolewa najikuta mtu mwenye huzuni kubwa sana kwa kukosa hiyo nafasi nimeomba ajira zaidi ya mara 4 tena kwa shauku...
  7. JamiiForums Tanzania Wasomi wa Degree tuna changamoto kwenye ajira

    Nilihitimu elimu ya juu kiwango cha shahada ya kwanza (Sheria). Ajira zinazotangazwa sana na serikali ni za wenye cheti, na diploma haswa utendaji wa Mtaa ambapo kwa sasa wanahitaji Certificate NTA level 5. Sasa shida inakuja kwamba, mfano, ikiwa kwenye kada ya Mtendaji Mtaa/Kijiji wanahitaji...
  8. JamiiForums Tanzania Simbachawene: Muda wowote kutoka sasa Serikali itatangaza nafasi za kazi kwenye utumishi wa umma

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema serikali imepanga kutangaza ajira mpya zaidi ya 47,000 ili kupunguza uhaba wa watumishi. Waziri Simbachawene ametoa taarita hiyo wakati akizungumuza na watumishi wa umma wilayani Chato...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Haya hapa majina ya ajira Mpya za Afya Septemba 2023

    Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali za kada za afya waliowasilisha maombi katika kipindi cha mwezi wa April, 2023 kuwa mchakato wa kuwapangia vituo vya kazi umekamilika kwa awamu ya tatu. Awamu hii ni kwa...
  10. JamiiForums Tanzania Watu wengi wanaoponda ajira ni umasikini / utumwa mara nyingi wazazi au ndugu zao wana ajira za chini sana

    Oh, Ajira ni utumwa Oh, kuajiriwa ni manyanyaso Huwa hawanaga utofauti sana na wale waliokulia maisha ya kimasikini ambao ni rahisi sana kuwajua siku hizi, ukisikia mtu anatumia sana msemo maarufu " Tafuta pesa" ni kwamba huyo kuna uwezekano mkubwa sana kakulia maisha ya kimasikini sana. Basi...
  11. JamiiForums Tanzania Chief of Party (COP) at THPS

    Position: Chief of Party (COP) Reports to: THPS Director of Programs (DoP) Position Location: Dar es Salaam, Tanzania Overall Job Function The Chief of Party (COP) will serve as the primary technical and managerial lead for the USAID Police and Prisons Activity program in Tanzania which...
  12. JamiiForums Tanzania Senior Data Manager at THPS

    Position: Senior Data Manager Reports to: VACS Project Director Position Location: Dar es Salaam, Tanzania Overall Job Function Reporting to the VACS Project Director, the VACS senior data manager will ensure quality data of high standard are collected, analyzed and reported. The VACS senior...
  13. JamiiForums Tanzania VACS ICT Data Manager at THPS

    Position: VACS ICT Data Manager Reports to: Senior Data Manager Position Location: Dar es Salaam, Tanzania Overall Job Function The VACS ICT Data Manager is responsible to ensure good storage and maintenance of tablets in the entire duration of the survey. S/he will be expected to...
  14. JamiiForums Tanzania Internal Auditor at ABA Alliance

    Position: Internal Auditor ABA Alliance, on behalf of our esteemed Client and Business Partner in the Manufacturing Industry, we are looking for eligible and qualified candidate to fill the vacancy of Internal Auditor Key Responsibilities: Risk Assessment and Planning Financial Auditing...
  15. JamiiForums Tanzania Assistant Accountant at ABA Alliance

    Position: Assistant Accountant ABA Alliance, on behalf of our esteemed Client and Business Partner in the Manufacturing Industry, we are looking for eligible and qualified candidate to fill the vacancy of Assistant Accountant. Key Responsibilities: Financial Data Entry and Record Keeping...
  16. JamiiForums Tanzania Accountant at ABA Alliance

    Position: Accountant ABA Alliance, on behalf of our esteemed Client and Business Partner in the Manufacturing Industry, we are looking for eligible and qualified candidate to fill the vacancy of Accountant. Key Responsibilities: Financial Reporting Budgeting and Forecasting General Ledger...
  17. JamiiForums Tanzania Request For Proposal (RFP) at Compassion

    1. INTRODUCTION Compassion International Tanzania (CIT) is a Chris an non-governmental organization dedicated to child development and advocacy and takes a holistic approach to address development issues affecting community’s most vulnerable and poorest children. CIT is Based in Arusha and is...
  18. JamiiForums Tanzania Assistant Team Lead at School of St Jude

    Position: Assistant Team Lead About Us The School of St Jude is a pioneering leader in charitable education within Africa. Every year we give 1,800 students with free, quality education, 100’s of graduates with access to higher education and provide more than 20,000 government school students...
  19. JamiiForums Tanzania Programme Specialist, Ending Violence Against Women and Girls (EVAWG) at UN Women

    Position: Programme Specialist, Ending Violence Against Women and Girls (EVAWG) Location: Zanzibar, TANZANIA Type of Contract: FTA Local Post Level: NO-D Language Required: Englinsh Duration of Initial Contract: One year Expected Duration of Assignment: One year Duties and Responsibilities...
  20. JamiiForums Tanzania Risk and Quality Assurance Manager at Mkulazi Holding Co. Ltd (MHCL)

    Position: Risk and Quality Assurance Manager Job Descriptions and Responsibilities: Provide inputs in the formulation of risks framework and develop procedures to identify and address risks in the organisation; Conduct risk assessment which involves analyzing risks as well as identifying...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…