ajira

  1. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Lead, Financial Policy And Climate at FSDT May, 2024

    Position: Lead, Financial Policy And Climate at FSDT May, 2024 About the Role FSDT is seeking applications for the position of Lead, Financial Policy and Climate Action to lead its efforts in advancing climate change adaptation and mitigation strategies within the financial sector. The...
  2. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Driver at Médecins Sans Frontières (MSF) May, 2024

    Position: Driver Location: Dar es Salaam Médecins Sans Frontières (MSF) is an international, independent, medical humanitarian organisation that delivers emergency aid to people affected by armed conflict, epidemics, natural disasters and exclusion from healthcare. MSF offers assistance to...
  3. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Consultancy (Re-Advertised) at Action Against Hunger May, 2024

    TERMS OF REFERENCE FOR REVIEW OF THE 2018 INTEGRATED MANAGEMENT OF ACUTE MALNUTRITION NATIONAL GUIDELINES Project and evaluation summary table Project Name Accelerating National Wasting Treatment Reform in Tanzania Sector Nutrition Implementing Partners (if applicable) Ministry of Health...
  4. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Invitation For Bids (IFB) at Aga Khan Foundation May, 2024

    Invitation For Bids (IFB) Bid No. AKFT/04/2024/001 Procurement Of Goods To Support Climate Action Areas The Aga Khan Foundation (AKFT) is an agency of the Aga Khan Development Network (AKDN), AKF seeks sustainable solutions to long-term problems of poverty, hunger, illiteracy, and ill-health...
  5. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Various Posts at The Planning Commission (PC) May, 2024

    PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT VACANCY ANNOUNCEMENT 1.0 BACKGROUND INFORMATION On behalf of The Planning Commission (PC), Public Service Recruitment Secretariat (PSRS), Invites talented, results-oriented dynamic, innovative, experienced, and suitable qualified Tanzanians to fill (11)...
  6. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Client Service and Administrative Assistant at Sanlam April, 2024

    Position: Client Service and Administrative Assistant Location: Dar es Salaam Reports to: The Country Representative, Senior Portfolio Manager, The successful candidate will have the following responsibilities. Key Responsibilities · Responsible for welcoming and responding to clients and...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Chief Finance Officer at United Bank for Africa (UBA) April, 2024

    Position: Chief Finance Officer Location: Head Office JOB OBJECTIVE(S) To oversee all activities relating to financial management and financial reporting in the subsidiary. ROLE AND RESPONSIBILITIES • Implement financial policies, processes and internal control to increase organizational...
  8. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Security and Consular clerk at Embassy of Japan April, 2024

    The Embassy of Japan in Tanzania has a vacancy for a Security and Consular clerk. GENERAL INFORMATION 1. Position title Security and Consular clerk (There is only one post available.) 2. Job Description (1) Security Officer at the Embassy of Japan in Tanzania. (2) Collection of information on...
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Invitation To Submit Proposal at STAMICO April, 2024

    Invitation Re: Invitation To Submit Proposal For Purchasing The Colonial Gold Tailings Located At Buhemba, Mara Region The State Mining Corporation (STAMICO) is a state-owned entity under the Ministry of Minerals established in 1972 under the Public Corporation Act, 1969 through the State...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Kupata kibali cha Katibu Mkuu Utumishi baada ya kupata barua ya ajira toka sekretariet ya ajira

    Habari wadau! Naomba kujua mchakato wa kupata kibali cha uhamisho kwa Mtumishi aliyepata Barua ya Ajira kwenda Taasisi au wizara Nyingine kupitia Sekretariet ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS). NB: Mtumishi huyu alifuata taratibu zote zinazotakiwa wakati wakati wote wa kuomba nafasi hiyo...
  11. X_INTELLIGENCE

    JamiiForums Tanzania Ajira za Madereva TAESA

    kuna hii fursa imejitomeza huko TAESA, nimeona nisiwe mchoyo ni waletee humu ili MADEREVA wenye vigezo mkajaribu bahati yenu hii fursa bwana ni mkataba wa mwaka mmoja. kama upo Dar es salaam hakikisha unaenda kwenye ofisi za TAESA wanazo ajira za udereva wanahitajika madereva wengi sana. Uwe...
  12. ngara23

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa ajira za Serikali umejaa Ruswa

    Siku hizi ni kawaida kama zitatangazwa ajira zozote za serikali vijana kuhangaika kutafuta watu wa kuwabeba maana kwenye vigezo watumishi wa serikali hawazingatii Vijana wengi wamekata tamaa ku apply ajira zinazktangazwa na kuziona kama kiini macho tu kwa umma maaana kiukweli serikali wana watu...
  13. hp4510

    JamiiForums Tanzania Vijana ambao mnatafuta Ajira Ogopeni Sana hizi namba za simu

    Vijana ambao mko kwenye michakato ya kutafuta Ajira Ogopeni Sana hizi namba za simu ambazo naziweka hapa Hao jamaa sio watu wazuri, sijui wanatumia njia gani kujua kama umeomba kazi sehemu flan Mdogo wangu juzi kalizwa laki 8 Walimpigia simu na walimwambia wanatokea sehemu ambayo ni kweli...
  14. PAZIA 3

    JamiiForums Tanzania Hizi ni baadhi ya fursa za ajira upande wa Soka ukiachana na uwezo wa kucheza mpira

    Habari za uzima, Tukiwa kama wadau wa michezo, naomba tuoneshe fursa mbalimbali ambazo zipo zinazoweza kuwasaidia Vijana kupata ajira au kutengeneza pesa kupitia michezo. Moja ya changamoto wanazozipitia Vijana wengi ni uchaguzi wa nini wafanye katika khari ya kujikwamua ki maisha, pamoja na...
  15. Maleven

    JamiiForums Tanzania Vijana wenzetu wenye ajira na mishahara mizuri, how it feels up there?

    Naomba kujua hapo juu maisha yakoje ukiwa na Ajira ya uhakika na msharaha mzuri kwa vijana wenzangu? Wengine tumejiajiri si ni yes no yes no. I wish to feel the experience of that place even from narration
  16. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya kupelekwa kwenye zahanati zenye uhaba wa watumishi

    Naibu Waziri Ofisi ya Rais - TAMISEMI anayeshughulikia Afya Mhe. Dkt. Festo Dugange amesema Serikali inatarajia kutoa kipaumbele katika zahanati zilizo na mtumishi mmoja kwa kuongeza idadi ya watumishi katika ajira mpya zitakazotangazwa ili waweze kutoa huduma bora kwa wananchi. Dkt. Dugange...
  17. The Sheriff

    JamiiForums Tanzania Kunambi: Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe Wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira

    Akichangia katika mjadala wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na uwekezaji, Mbunge wa jimbo la Mlinga, Godwin Kunambi amependekeza Wakurugenzi wa halmashauri wasiwe wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira. Kunambi, ambaye pia amewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, amesema “nchi...
  18. Leak

    JamiiForums Tanzania Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma

    Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma! Na fikira zikanijia kuwa kuna uwezekano mkubwa wana Jf nao wamenufaika lakini nimefanikiwa kumjua mwana Jf mmoja tuu hapo ! Vijana hizi fursa hamkuziona? Au hamkutangaziwa?
  19. Siachi hela

    JamiiForums Tanzania Ajira Utendaji wa Kata

    Waziri wa tamisemi juzi alitangaza kuwa wako katika hatua za mwisho kuajiri watendaji wa kata zaidi ya 500. Naomba Kwa anaefahamu mchakato wa kuwapata hao watumishi ukoje? Maana sikuwahi kuona nafasi hizi zikitangazwa kama AJIRA zingine. Nishauri kama kijana ninaetamani, nami sikumoja...
  20. Suley2019

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI yatangaza ajira 3865 za Watendaji wa Kata, Vijiji na Mtaa

    Waziri Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Seriali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amesema ofisi yake inakamilisha taratibu za kuajiri watendaji wa kata 525, watendaji wa vijiji 1,986, watendaji wa mitaa 1,333 na maofisa tarafa 21. Amesema hayo leo Jumanne, Aprili 16, 2024 wakati...
Back
Top Bottom