ajira mpya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Kwimba nao walalamikia kutolipwa posho za kujikimu kwa ajira mpya

    Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, Ngudu mkoani Mwanza, wafanyakazi wa ajira mpya 2026 bado hatujalipwa posho za kujikimu. Tunaomba mamlaka husika zishughulikie suala hili, na tunawaomba mtusaidie kupaza sauti yetu.
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Waajiriwa wapya wa Wilaya ya Ileje, tumelipwa fedha kidogo sana za kujikimu kuliko tunachostahili

    Waajiriwa wapya wa Wilaya ya Ileje, mkoani Songwe, tunaomba Wizara na viongozi husika kutusaidia ili tulipwe fedha zetu za kujikimu na nauli kwa kiwango kinachostahili. Tumelipwa kiasi kidogo sana ambacho hakilingani na kiwango kinachotarajiwa, na pia ni tofauti na malipo yaliyotolewa kwa...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu wa ajira mpya Januari 2026 tumebaguliwa na kutothaminiwa na TAMISEMI kuhusu malipo ya fedha za kujikimu

    Sisi walimu wa ajira mpya wa mwaka wa fedha 2025/2026, tulioajiriwa katika kipindi cha siku 100 za Mheshimiwa Rais, tunaomba mamlaka husika, hususan Ofisi ya Rais - TAMISEMI, isikilize na kutatua changamoto ya kutolipwa fedha zetu za kujikimu. Hadi sasa, walimu wengi katika halmashauri...
  4. H

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu ajira mpya Bariadi Vijijini hatujalipwa fedha za kujikimu tangu tuajiriwe mwaka 2025

    Habari za muda huu, JF. Mimi ni mwalimu wa ajira mpya na ninawakilisha walimu wenzangu wa ajira mpya katika Halmashauri ya Bariadi Vijijini. Tunaomba msaada wako katika kufikisha kero yetu kuhusu kutolipwa fedha zetu za kujikimu tangu tulipoajiriwa mwaka 2025. Tumejaribu kufuatilia suala hili...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira mpya Momba DC kada ya afya wa Januari 2026, bado hatujalipwa fedha zetu za kujikimu

    Habari za majukumu, JF. Sisi watumishi wa ajira mpya wa Januari 2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Momba (Momba DC) bado hatujapokea fedha zetu za kujikimu hadi leo, wakati watumishi wa halmashauri nyingine tayari wamelipwa. Jambo linalotusikitisha zaidi ni kwamba tunapofuatilia stahiki zetu...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi wa ajira mpya katika Idara ya Elimu ya Sekondari, Wilaya ya Iramba nao hawajalipwa fedha za kujikimu

    Watumishi wa ajira mpya katika Idara ya Elimu ya Sekondari, Wilaya ya Iramba, Mkoa wa Singida, bado hawajalipwa fedha zao za kujikimu hadi sasa. Kinachotia wasiwasi zaidi ni kwamba wanapofuatilia na kuulizia malipo yao, hupokelewa kwa majibu makali badala ya kupewa ufafanuzi wa kina kuhusu lini...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi wa Halmashauri ya Tanganyika hatujalipwa fedha za kujikimu wala kupewa taarifa yoyote

    Tunaomba tulipwe fedha zetu za kujikimu. Mtumishi anapaswa kulipwa fedha za kujikimu kwa wakati ili aweze kukabiliana na mazingira mapya ya kazi. Hata hivyo, sisi watumishi wa Halmashauri ya Tanganyika hadi leo hatujalipwa, wala hatujapewa taarifa yoyote kuhusu malipo hayo. Tunaomba wahusika...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira mpya Hospitali ya KCMC hatujapata fedha za kujikimu

    Kwanza, napenda kuwashukuru kwa kazi kubwa mnayoifanya ya kuwapa wananchi nafasi ya kutoa maoni, changamoto na kero zao kupitia jukwaa hili. Ninaomba kupaza sauti kuhusu suala la malipo ya hela ya kujikimu kwa baadhi yetu tuliokuwa tumeajiriwa katika Hospitali ya KCMC kwa mkataba na baadaye...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wilaya ya Momba Mkoa Songwe, ajira mpya hatujalipwa hela ya kujikimu

    Watumishi wa ajira mpya katika Wilaya ya Momba, Mkoa wa Songwe, tunaomba msaada kuhusu malipo ya fedha za kujikimu ambazo hadi sasa hatujapokea. Tulielezwa kuwa fedha hizo tayari zilikuwa zimewasili, lakini hadi sasa mwezi unaelekea kuisha bila kupokea malipo wala kupewa taarifa yoyote rasmi...
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wilaya ya Uyui haitaki kulipa Ajira Mpya pesa zao za kujikimu

    HWilaya ya Uyui haijalipa posho za kujikimu kwa ajira mpya huku viongozi wakitoa sababu zisizo na msingi. Mara pesa haijaletwa na serikali, ilivyoletwa wakatumiwa barua ya TAMISEMI wanajibu tu "Asante kwa taarifa" na Serikali iliamuru tulipwe kabla ya tar 15 June 2026 ila mpaka sasa wana kazi...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Ajira Mpya Kada ya Afya Halmashauri ya Mkalama Wamepewa Fedha za kujikimu Wakati Walimu ajira mpya hatujapewa hata Mia. Inaumaaa

    Watumishi wa ajira mpya wa kada ya afya katika Halmashauri ya Mkalama wamepewa fedha za kujikimu, lakini sisi walimu wa ajira mpya hadi sasa hatujapokea hata shilingi moja. Hali hii inakatisha tamaa na inazua maswali kuhusu usawa katika kuwahudumia watumishi wa umma. Tunaomba mamlaka husika...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi wa Ajira Mpya wa Kada ya Afya, Wilaya ya Ikungi, (Singida) hatujapatiwa fedha za kujikimu

    Tunaomba msaada wa kutupazia sauti sisi Watumishi wa Ajira Mpya wa Januari 2026 wa Kada ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Mkoa wa Singida, ambao hadi sasa hatujapatiwa fedha za kujikimu licha ya taarifa kuwa fedha hizo zimeshawasilishwa kutoka Hazina kwenda Halmashauri. Kwa muda...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Ajira Mpya Manispaa ya Singida Mjini tumepokea fedha za kujikimu, asanteni kwa kutupambania

    Wiki chache zilizopita kupitia Fichua Uovu hapa JF tuliwasilisha hoja kuwa sisi Watumishi wa Ajira Mpya Kada ya Afya katika Manispaa ya Singida Mjini Mkoani Singida tiilipewa nusu ya malipo ya Fedha za Kujikimu. Tunashukuru Uongozi umesikia kilio chetu na tumepokea hela ya kujikimu, asanteni JF...
  14. John Sin

    JamiiForums Tanzania Hivi aliewaambia ajira mpya lazma wawatetee mbogamboga ni nani?

    Ukikuta uzi kuna mada nzuri inajadiliwa utakuta kijana wa ajira mpya anajipa mamlaka ya kutetea hata kama anatetea upumbavu Hii mindset kawaambia nani? Nani kasema lazma mtetee ujinga? Kwani huo mshahara ni hisani? Nihitimishe kusema Tanzania watu tunaojielewa ni 0.23% tu katika wasomi wote...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya Kakonko DC tuliambiwa Fedha za Kujikimu inazingatia Salary Scale, sasa wanasema inazingatia kituo

    Ajira mpya katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko tunaomba kufikisha kilio chetu kuhusu utata uliojitokeza katika malipo ya fedha za kujikimu baada ya kuripoti kazini. Tulipokuwa tunaripoti, tuliagizwa kuandika barua za kuomba fedha za kujikimu, maelekezo tuliyopewa, tuliambiwa kiwango cha...
  16. N

    JamiiForums Tanzania Ucheleweshaji Ajira Shirika la Posta

    Hivi mashirika ya umma yanatumia muda gani kuita watu kazini?
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu wa Ajira Mpya 2026 tunahitaji Haki sawa ya Malipo ya Fedha za Kujikimu

    Sisi walimu wa ajira mpya 2026 tunaonyesha masikitiko yetu kutokana na kutopatiwa fedha za kujikimu, ilhali watumishi wa ajira mpya wa kada ya afya tayari wamepata stahiki hizo kupitia TAMISEMI. Tunaiomba Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI kutoa ufafanuzi kuhusu tofauti hii ya utoaji wa stahiki...
  18. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna upigaji mkubwa unaendelea wa posho za kujikimu ajira mpya Halmashauri ya wilaya ya Sikonge

    Kuna upigaji mkubwa unaendelea wa posho za kujikimu ajira mpya halmashauri ya wilaya ya Sikonge. 1. Katibu mkuu aliwandikia barua halmashauri zote zenye maelekezo maalumu kwa ajili ya fedha za kujikimu na barua hiyo ilielekeza bayana kuwa watumishi wa ajira mpya kwanzia Januari 2025 hadi Aprili...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko yangu kuhusu Kampuni ya Ulinzi ya Rampart iliyopo Nyakato, Mwanza juu ya kazi, mishahara na mazingira

    Ninafanya kazi katika kampuni hii kwa zaidi ya miaka mitatu, lakini hadi sasa bado ninadai mishahara ya kipindi kilichopita ambayo sijalipwa. Mbali na kucheleweshwa kwa mishahara, hivi karibuni uongozi wa kampuni ulifanya kikao na kutangaza kuwa wafanyakazi waliokuwa wakilipwa mshahara wa...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya Tandahimba: Hatujapata Fedha za kujikimu

    Halmashauri ya Wilaya Tandahimba Ajira Mpya wengi wetu hatujapewa fedha zetu za kujikimu tangu tu report kazini Mwezi January 2026. Tunapouliza jibu huwa ni moja kuwa “Tunalishughulikia” bila matokeo yeyote.
Back
Top Bottom