Iajuddin Ahmed (1 February 1931 – 10 December 2012) was the President of Bangladesh, serving from 6 September 2002 until 12 February 2009. From late October 2006 to January 2007, he also served as Chief Advisor of the caretaker government. From October 2006 to early 2008, his responsibilities as president included the Defense Ministry of the caretaker government.
With a doctorate in soil science, Ahmed became a full professor at the University of Dhaka and chairman of the department. Beginning in 1991, he started accepting appointments to public positions, as chairman of the Public Service Commission (1991 to 1993) and of the University Grants Commission (1995 to 1999). In 2002 he won election as president. In 2004 he helped establish the private university, Atish Dipankar University of Science and Technology (ADUST).
"Ukitaka kujua kuwa Yanga SC ilifika Fainali ya CAFCC kwa kupita katika Migongo ya Maiti kazitafute zile Timu zote alizocheza nazo kisha njoo uniambie kama hata kwa sasa zinafanya vizuri katika Ligi Kuu za Kwao au hata zimeweza tena kuwepo CAFCC kwa Msimu huu. Simba SC tuna haki ya Kujivunia...
“Wapo watu wanasubiri tufeli waanze kutukebehi sasa tutumie kila tulichonacho kwenda nusu fainali. Na tukimuangalia mwarabu tunayecheza naye huyu ni wa kawaida kabisa. Katika waarabu tumewahi kukutana nao huyu tunamuweza kabisa na hii tunaweza kufuzu.”
“Sifa ya Simba, sifa ya Mwanasimba sio...
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amesema kuwa Simba ni miongoni mwa timu zinazotoa vipigo vikubwa barani Afrika huku akisisitiza kuwa tayari wamewahi kuwadhalilisha wapinzani wengi, ikiwa ni pamoja na Horoya AC.
Hata hivyo, anasema hawajawahi kufanya hivyo kwa timu kutoka...
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Mtanda awataka vijana wasikae vijiweni washiriki kwenye makongamano kusikiliza fursa mbalimbali,
Mtanda ameoa wito huo kwenye Konga la wazi la Fursa za kiuchumi kuhusu mgao wa 30% za Rais Samia kupitia NeST.
"Kikosi kitaondoka nchini alfajiri ya tarehe 28 kuelekea Misri kwa kutumia ndege ya Egypt Air. Wachezaji wetu waliokuwa Taifa Stars wataungana na timu nchini Misri. Camara na Mukwala tayari wamewasili nchini kujiunga na wachezaji wenzao kwa ajili ya maandalizi ya safari."
"Kila Mwanasimba...
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally anazungumzia maoni yake kuhusu zoezi la Uandikishaji wa Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura:
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa...
Habari zenu wadau wa michezo.
Kwa ukweli nimeghadhibika na kauli ya afisa habari wa timu yangu ya SIMBA sc kwa kupost katika mtandao wa Instagram juu ya hii kadhia iliyotokea jana na anaonekana kuchukulia poa tu suala hili bil ya kujali gharama ambazo mashabiki tumezitumia kusafiri kuja Dar...
Meneja wa Habari wa Simba SC, Ahmed Ally, amewasilisha ujumbe wa pole kwa mashabiki wa klabu hiyo kufuatia kuahirishwa kwa mechi yao leo.
Kupitia taarifa yake, Ahmed Ally ameomba radhi kwa mashabiki wote wa Simba, hususan wale waliotoka mikoa mbalimbali kwa ajili ya kushuhudia mchezo huo...
Wakati wa pre-match press conference, na kwa wale wataalamu wa saikolojia mtakubaliana nami kwamba Msemaji wa Simba na semaji la CAF Bwana Ahmed Ally alionesha ishara zote za Leo timu yake kutokuingia uwanjani.
Hii ni baada ya kua na muonekano usio changamfu, na hata baada ya kuulizwa swali na...
Wakuu
Kama kweli adhabu ndio hizi una mtazamo gani?
Kuna kitu kitapungua kwenye Soka la Bongo?
Ikumbukwe, Mameneja hao wa Habari na Mawasiliano wa vilabu vya Simba Sc na Yanga Sc, Ahmed Ally na Ally Kamwe wote waliitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF)...
ahmedally
ali kamwe
ally kamwe
derby march 8
derby ya kariakoo
habari
jumamosi
kamwe
kamwe afungiwa
kufungiwa
kutaka
simba na yanga
soka la bongo
ujinga
Rasmi leo ndio umekua mtu mzima wa kimpira, ingekua kimaumbile tungesema umebaleghe hii leo
Matusi, kejeli, na dhihaka zote utakazopokea leo ni ukaribisho kwenye ukubwa wako, yasikutishe tamaa na wala yasikuvunje moyo, KARIBU UKUBWANI
Umeumiza mioyoo ya Wana Simba, lakini wewe sio wa kwanza...
Msemaji wa Simba SC, Ahmed Ally, amemjibu Msemaji wa Yanga SC, Ally Kamwe, kufuatia tuhuma alizozitoa za Simba kubebwa na waamuzi katika Ligi Kuu.
Kupitia ujumbe wake, Ahmed;
Soma: Malalamiko ya Yanga kuhusu refa Kayomba ni ya kijinga
Msemaji wa Yanga SC, Ally Kamwe, alitoa tuhuma kali...
Imekuaje tena Semaji anatoa siri za Chama 😂
Juzi tu hapa tumesemwa na Prof. Tibaijuka eti asema ukiwa na miaka 30, unasema bado nini?
Sikiliza majibu ya Msemaji wa Simba Ahmed Ally kuhusu kufunga ndoa pia amejibu watu ambao wanauliza huyu atakuwa mke wa ngapi kwake kumuoa.
Msemaji wa Yanga, Ali Kamwe
"Ahmed Ally anaomba usiku na mchana kocha wetu afukuzwe. Tangu jana nimemuona akifanya Media Tour kwenye vyombo mbalimbali vya habari, lakini yeye ndiye anayetakiwa afukuzwe kwenye mpira wetu."
"Mmesahau miaka miwili iliyopita aliwahi kupost kwenye ukurasa wake wa...
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC Ahmed Ally leo January 20,2025 ameamua kulipamba gari lake msimamo wa Kundi A alilotoka Yanga
SC Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na lengo la kuwakera.
Ahmed Ally amesema ameamua kufanya hivyo ili kuwakumbusha Watu akisema sababu ni kwamba hapa...
Vaibu la mashabiki wa Simba Mwembeyanga, Ahmed Ally achizika wakimkanda CS Constantine bao 2-0 na kuongoza kundi A kwa kufikisha alama 13.
Soma, Pia: FT: CAFCC: Simba SC 2-0 CS Constantine | Estadio Benjamin Mkapa | 19.01.2025
Ameandika Afisa Habari wa timu ya Simba @ahmedally_ [emoji116]
"Dodoma Jiji jana kafungwa magoli mawili ya Uwongo, Moja la Offside na pili Penati ya uongo lakini Kocha wao hajalalamika kuonewa wala kudhulumiwa zaidi amesema AMESTAHILI KUFUNGWA
Rejea mechi ya Dodoma Jiji Vs Simba, baada ya sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.