ahmed ally

Ahmed Ally ni Meneja wa Habari na Mawasiliano (Spokesperson/Media & Communication Manager) wa Simba Sports Club.Anachojulikana kwa:
  • Ni msemaji rasmi wa Simba SC na huwa anazungumza na vyombo vya habari baada ya mechi, wakati wa matangazo na mikakati ya klabu.
  • Ana akaunti maarufu ya Instagram (@ahmedally_) yenye wafuasi wengi, ambapo yeye hutoa taarifa, maoni na majibu kuhusu Simba.
  • Yeye ni mmoja wa watu wanaozungumza kwa ukali na kujiamini wakati wa derbi dhidi ya Yanga na mechi kubwa.
  • Pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Medali Motors.
  1. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Ahmed Ally alamba hundi kwa utendaji uliotukuka Simba Sc

    Mzee wa kipaza cha sumu ya panya,mende hongera sana
  2. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Kwani tukimpongeza Ahmed Ally tunapungukiwa nini?

    Yeye na timu yake kina Mwakitalima mnastahili pongezi. Kwanza umeunganisha matawi ya Simba na umeacha kujiona boss. Pia umewafanya wanazi wa Simba kina Mwakitalima, Mzee wa Pass milioni, Aggy na wengine rundo wajione unazi wao unatambuliwa na Club. Semaji la Robo Fainali soon litakuwa semaji la...
  3. kavulata

    JamiiForums Tanzania Ukubwa wa Manara dhidi ya Ahmed Ally waonekana bayana

    Mechi ya Simba dhidi ya Asec Mimosas Simba walipewa nafasi ya watu 35,000 kuingia uwanja wa Mkapa kuangalia mechi lakini waliingia mashabiki 20,0000 TU. Mechi Yao dhidi ya RS Berkane wamepewa tena idadi ya mashabiki 35000 kwenda uwanjani. Hii ya Sasa inamtesa Ahmed Ally msemaji wao...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Asanteni Ahmed Ally, Suleiman Matola na Barbara Gonzalez kwa kutuandaa mapema Kisaikolojia wana Simba SC juu ya Kipigo cha Keshokutwa Berkane

    Ikitokea Simba SC yangu ikashinda au hata tu kutoka Sare / Suluhu na RS Berkane Keshokutwa ( Jumamosi ) nitakuwa ni mwenye Furaha Kubwa kwani Lengo letu Kuu litakuwa limetimia hasa kwa Mechi za Ugenini ( Away ) Hata hivyo nisiwe Mnafiki au Muongo kwa wale Wabobezi wa Communication Psychology na...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini nikimsikiliza Ahmed Ally wa Simba SC naelimika zaidi, ila nikiwasikiliza Haji Manara na Hassan Bumbuli wa Yanga SC nalewa?

    Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ni Msemaji (Mzungumzaji) mzuri, ametulia, hana papara, anajua nini cha Kuongea na wakati gani, ana PR nzuri, Mtanashati kuanzia katika Mavazi, Akili na Mvuto hivyo Simba SC imempata Competent Club Spokesman / Spokesperson kikubwa imuamini, imtunze na imsikilize pia...
Back
Top Bottom