DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,152
Afisa habari na mawasilino wa Simba Sc Ahmed Ally kupitia ukurasa wake wa Instagram amewaomba wanasimba kufika katika uwanja wa KMC kuaagana.
"Jumapili tukutane KMC tukaagane,tumekua na Msimu mzuri sana"
Ikumbukwe kuwa Klabu ya Simba Bado haijathibitisha kucheza mchezo wa tarehe 25 June dhidi ya Yanga,
"Jumapili tukutane KMC tukaagane,tumekua na Msimu mzuri sana"
Ikumbukwe kuwa Klabu ya Simba Bado haijathibitisha kucheza mchezo wa tarehe 25 June dhidi ya Yanga,