ahmed ally

Iajuddin Ahmed (1 February 1931 – 10 December 2012) was the President of Bangladesh, serving from 6 September 2002 until 12 February 2009. From late October 2006 to January 2007, he also served as Chief Advisor of the caretaker government. From October 2006 to early 2008, his responsibilities as president included the Defense Ministry of the caretaker government.
With a doctorate in soil science, Ahmed became a full professor at the University of Dhaka and chairman of the department. Beginning in 1991, he started accepting appointments to public positions, as chairman of the Public Service Commission (1991 to 1993) and of the University Grants Commission (1995 to 1999). In 2002 he won election as president. In 2004 he helped establish the private university, Atish Dipankar University of Science and Technology (ADUST).

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Ahmed Ally: Sowah tulimuondoa kambini Dodoma, tukamrejesha Dar

    Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally, amezungumzia sakata la mshambuliaji wa klabu hiyo, Jonathan Sowah, na kuthibitisha kuwa walimuondoa kambini Dodoma na kumrejesha Dar es Salaam mara baada ya mchezo dhidi ya Tanzania Prisons. Ahmed amesema Sowah kwa sasa yupo nje ya...
  2. M

    Ahmed Ally: Kuna timu kazi yake ni kugawa utamu tu kwenye kundi lake nyie chunguzeni

    Nimemnukuu msemaji wa simba ambaye uwa namuweka kwenye kundi la comedian aliwai kusema Kuna katimu kazi yake ni kugawa utamu tu kwenye kundi lake! Maneno hayo alikuwa anailenga yanga kabla michuano ya kimataifa aijaanza sasa naona simba ndio imekuwa inagawa vizuri utamu kotekote iwe nyumbani...
  3. Its Tesha

    Ahmed Ally: Ninachotamani wote watolewe, tubaki peke yetu

    Mwamba kabisa Semaji la Simba linatamani timu zote zitolewe isipokuwa Simba kwenye michuano ya kimataifa halafu wabaki Simba Peke yao, Timu anazotamani zitolewe ni Yanga, Azam na Singida Black Stars. Neno moja Kwa semaji.
  4. ngara23

    Haji Manara kurejea Simba, na Ahmed Ally kupandishwa cheo

    Habari za uhakika ni kuwa Haji Manara amekubali kurejea Simba, Baada ya Rais wa Club hiyo Mo Dewji kumuomba msamaha sana ili arejee Haji Manara ilikuwa aonekane Leo kwenye uzinduzi wa jersey za Simba, lakini kutoka na malipo yake kutoka Kwa Mo Dewji kucheleweshwa, Sasa ni dhahiri tutamwona...
  5. kavulata

    Timu ya Taifa ipate kocha mwingine, Hamad Ally awe saidia kocha

    Uwezo wa Morocco na wenzake akina Julio umeishia pale. Morocco anateua wachezaji kwa kubalance badala ya uwezo wa wachezaji. Anaacha nje wachezaji wenye uwezo na kuingiza ndani wachezaji kwa kuzingatia Simba, Yanga, Azam na Zanzibar. Mfano, unamuacha Chikola nje na kumuingiza Shehani ni sawa...
  6. GENTAMYCINE

    Msemaji wa Simba SC yangu Ahmed Ally tafadhali popote pale ulipo nakuomba unijibu haya Maswali yangu....

    1. Nani aliyekuambia kuwa Simba SC ikitangaza Kufungwa Mechi zake za Pre Season huko Misri ni vibaya kwa Mashabiki? 2. Kama umesema Watu wa Kitengo cha Habari Simba SC mmekubaliana msitoe Taarifa yoyote ya Matokeo ya Mechi za Pre Season huko Misri katika Page ya Simba SC ili kutowashtua...
  7. K

    Natafuta kazi ya udereva. Nina uzoefu kusafiri masafa marefu zaidi ya miaka mitano

    Ndgu wapendwa Ninaombi kwenu la kazi ya udereva katika kampuni,mtu binafsi, taasisi. Nina uzoefu wa zaidi ya miaka (05) katika kazi ya udereva, nikiwa na leseni daraja [A, B, C1, na D], na ujuzi mzuri wa kuendesha magari aina mbalimbali pamoja uzoefu wa kusafiri masafa malefu katika mikoa mingi...
  8. Waufukweni

    Ahmed Ally: Kibu Denis, Che Malone na Edwin Balua wapo Sokoni

    Afisa Habari wa Simba SC, Ahmed Ally amesema kuna uwezekano wa klabu kuwauza nyota wake watatu, Kibu Denis, Che Malone na Edwin Balua. "Mambo yasipoenda sawasawa watarudi kuja kuitumikia mikataba yao," ameomgeza.
  9. Metronidazole 400mg

    Ukitaka kujua SIMBA SC kuna tatizo uko kwenye uongozi,, Ahmed ally anakupa majibu

    Nimethibitisha ni wazi kuna tatizo kubwa sana huko ndani kwenye uongozi wa simba. Sijajua exactly kama ni hela hakuna??, Viongozi wamejigawa??, au kingine chochote ila nakuhakikishia kuna tatizo kubwa sana. Facial expression ya msemaji wetu Ahmed ally haipo sawa kabisa,, anajitahidi tu kwa...
  10. aka2030

    je ahmed ally ana gundu?

    Toka awe msemaji wa simba hamna kikombe walichowahi kubeba ji ni ngundu?
  11. Frank Wanjiru

    Farhan Kihamu na Ahmed Ally wajibizana kuhusu kusajili wanachama wapya Simba.

    Baada ya Mchambuzi Farhan Kihamu kuandika kuhusu Simba inavyopoteza mapato mengi kwa kushindwa kusajili Wanachama wapya jambo ambalo linasababisha ukata na kukwamisha maendeleo kwenye klabu hiyo Meneja wa habari na mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally amekuja kwenye komenti ya post ya Farhan na...
  12. Frank Wanjiru

    Ahmed Ally: Simba hatujitaji kutumia nguvu nyongi kwenye huu usajili,tuna kikosi bora cha kwanza kutupeleka fainali Club Bingwa

    "Msimu huu hatuna kazi kubwa sana kwa sababu hatutengenezi timu tena, sasa hivi tumeshatengeneza misingi imara. Tukisema Simba tusisajili hata mchezaji mmoja, tunacho kikosi cha kwanza cha kuipeleka Simba fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Tunayo timu ya kuipeleka Simba kwenye kuwania...
  13. Waufukweni

    Ahmed Ally: Usajili utakaofanywa na Simba utakuwa na umakini wa ICU

    Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema kuwa usajili utakaofanywa na Simba safari hii utakuwa na umakini wa kiwango cha ICU (Intensive Care). "Taarifa tu ni kwamba usajili wetu safari hii unafanyika kwa umakini wa ICU, na wachezaji waliopendekezwa na mwalimu...
  14. R

    Mangungu na Ahmed Ally watupishe Simba

    M/kiti wa Simba na meneja wa habari na mawasiliano Ahmed Ally wanapaswa kuachia ngazi kwani hao wanaihujumu simba kwa kufanya propaganda za kuisifu simba kwamba ni Bora ili ionekana ni timu Moja imara yenye wachezaji wazuri kumbe wanaifanyia propaganda ya kutufunga macho. Bila ya Hawa kuondoka...
  15. M

    Mashabiki wa Simba hawakumwelewa Ahmed Ally alipowaambia kesho ni mechi ya mwisho Simba kucheza nyumbani na Kagera Sugar, alimaanisha hivi

    Washabiki wa soka nchini ni mtihani mkubwa sana, wana uelewa mdogo sana wa mambo, juzi Ahmed Ally amewaambia washabiki wajazane na familia zao kuwaaga wachezaji kwa sababu itakuwa mechi ya mwisho kwao kucheza nyumbani, wengi wametafsiri kauli hii kuwa Simba inamaliza mechi kesho.La hasha...
  16. DuaZaMama

    Ahmed Ally: Jumapili tukune KMC tukaagane wanasimba

    Afisa habari na mawasilino wa Simba Sc Ahmed Ally kupitia ukurasa wake wa Instagram amewaomba wanasimba kufika katika uwanja wa KMC kuaagana. "Jumapili tukutane KMC tukaagane,tumekua na Msimu mzuri sana" Ikumbukwe kuwa Klabu ya Simba Bado haijathibitisha kucheza mchezo wa tarehe 25 June dhidi...
  17. Twinawe

    Leo nimekumbuka Ahmed Ally akiwa mtangazaji pale radio Free Afrika

    Kwa wakati ule nilikua sihifahamu hata sura yake . Jamaa kwa uwezo wake sidhani kama alistahili kuingia katika siasa za simba na yanga nilitamani kumuona Ikulu . Alinifanya nipende kusikiliza habari za magazeti na michezo asubuhi bila kumsahaua Ivona kamuntu pamoja na ben Mwanantala.
  18. DuaZaMama

    Ahmed Ally: Mpango wa Yanga kushinikiza Viongozi kujiuzulu ni mpango wa makusudi

    Wakuu! Imebaki siku moja kabla ya dabi ya kariakoo hakun tiketi zilizouzwa mashabiki wanaingiaje kwa mkapa? === "Mpango wa Nyuma Mwiko kushinikiza Katibu Mkuu wa TFF na Mtendaji wa Bodi ya Ligi wajiuzulu ni mpango wa makusudi wa kutaka kuweka watendaji wapya katika taasisi hizo watakaolinda...
  19. Pdidy

    Tujikumbushe; aliyoongea Ahmed Ally baada ya mechi ya Yanga na Mamelod, Mungu fundi anajibu, unalaumuje wenye mpira wao CAF

    MUNGU fundi MUNGU Mwamba MUNGU ANAJIBU maombi Haya ndipoo manenoo aliyoongea Ahmed ally BAADA ya YANGA kupeleka malalamiko ya kunyimwa goli MECHI ya YANGA vs mamelody Nisimalixie fungua uchekeee
  20. C

    Ahmed Ally ana gundu? Simba hawajabeba kombe tangu ajiunge nao

    Huyu bwana anaweza kuwa na mkosi. Anabwabwaja sana lkn timu yake haipati makombe ktk kipindi hiki. Watu wa Simba amkeni, pengine mmeingiliwa na migundu
Back
Top Bottom