afcon

The CAF Africa Cup of Nations, officially CAN (French: Coupe d'Afrique des Nations), also referred to as AFCON, or Total Africa Cup of Nations after its headline sponsor, is the main international men's association football competition in Africa. It is sanctioned by the Confederation of African Football (CAF) and was first held in 1957. Since 1968 it has been held every two years, switching to odd-numbered years in 2013.
In the first edition in 1957 there were only three participating nations: Egypt, Sudan and Ethiopia. South Africa was originally scheduled to compete, but was disqualified due to the apartheid policies of the government then in power. Since then the tournament has grown greatly, making it necessary to hold a qualifying tournament. The number of participants in the final tournament reached 16 in 1998 (16 teams were to compete in 1996 but Nigeria withdrew, reducing the field to 15, and the same happened with Togo's withdrawal in 2010), and until 2017, the format had been unchanged, with the sixteen teams being drawn into four groups of four teams each, with the top two teams of each group advancing to a "knock-out" stage. On 20 July 2017, the Africa Cup of Nations was moved from January to June and expanded from 16 to 24 teams.Egypt is the most successful nation in the cup's history, winning the tournament a record of seven times (including when Egypt was known as the United Arab Republic between 1958 and 1961). Three different trophies have been awarded during the tournament's history, with Ghana and Cameroon winning the first two versions to keep after each of them won a tournament three times. The current trophy was first awarded in 2002 and with Egypt winning it indefinitely after winning their unprecedented third consecutive title in 2010.
In 2013, the tournament format was switched to being held in odd-numbered years so as not to clash with the FIFA World Cup.

View More On Wikipedia.org
  1. W

    JamiiForums Tanzania Wamorocco wanunua tiketi zote kwenye mechi dhidi ya Morocco na Nigeria AFCON

    Mashabiki wengi wa timu ya Taifa ya Nigeria wanahofu ya kukosa nafasi ya kuingia uwanjani kuiunga mkono timu yao hii leo , kwa sababu mashabiki wa Morocco wamenunua tiketi zote. Hii sio mara ya kwanza kwa Morocco kufanya hivyo, walifanya hivyo mwaka jana wakati wa fainali ya timu ya wanawake...
  2. Chakaza

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli, kwa siasa za huyu waziri AFCON 2027 itafanikiwa au tusubiri aibu?

    Tumeona maandalizi na utekelezaji wa mashindano makubwa ya AFCON kule Ivory Coast na ya Sasa Morocco yenye ufanisi mkubwa. Sasa mwaka ufuatao nasi ni waandaaji pamoja na Kenya pia Uganda. Jee kwa kupewa uwaziri wa michezo Bwana Makonda wizara ambayo itaongoza na zingine katika kuratibu...
  3. Akilindogosana

    JamiiForums Tanzania Mashindano yote ya CAF kama Afcon yachezeshwe na marefa toka Ulaya. Afcon should use European referees

    Ili kuwepo na usawa na haki kwenye mpira wa Afrika. Mashindano yote ya CAF (Afcon, Chan, Caf Champions league, Caf Confederation league)yachezeshwe na marefa toka Ulaya kama Uingereza, Italia, Ujerumani. In order to improve African football, All Caf competition (Afcon, Chan, Caf Champions...
  4. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Siri imefichuka Marefa wetu kutochezesha mechi za CAF.

    Udhaifu wa kutokujua lugha zaidi ya Moja hasa kifaransa na kiingereza ndiyo chanzo kikubwa cha marefarii wetu kutokupangwa kuchezesha mechi zinazoandaliwa na CAF. Itakuwa ni aibu tuandae mashindano ya AFCON halafu marefarii wetu wasiwe sehemu ya marefarii watakaokuwa wanachezesha mashindano hayo.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Wachezaji wawili wa Guinea wafungiwa kushiriki AFCON kwa kumtukana mwamuzi

    Wachezaji wawili wa Equatorial Guinea wamefungiwa kwa kuwatusi waamuzi katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), huku nahodha wa Burkina Faso, Bertrand Traore, akitozwa faini kutokana na kauli zake baada ya mechi, mashirikisho ya soka ya nchi husika yalisema Jumatano. Nahodha wa...
  6. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Sijapenda kabisa Tanzania kufuzu 16 bora Afcon hapo sifa zote watapewa wauaji

    Kwakweli sijapenda.. Sijafurahishwa kabisa.. Tumeshaanza kuona Samuya akipewa sifa zote.. Tayari utasikia mama this mama that.. Huyo Bashite ndio balaa atajisifu kama nini. Kifupi CCM wanachukua point tena sijapenda kabisa.. Hiyo tarehe 4 ifike haraka Morocco amalize hizi kelele..
  7. Elvis Legacy

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania imefuzu 16 bora AFCON kama best looser?

    Nauliza waungwana kati ya Angola na Tanzania ipi itafuzu kama best looser? Tanzania imefugwa magoli 4 na kushinda 3, wakati Angola imefungwa magoli 3 na kushinda 2. Wote tuna points 2. Ikumbukwe Ureno ilishawahi kufuzu kama best looser kwenye michuano ya Euro na kuwa bingwa.
  8. ngara23

    JamiiForums Tanzania INEC fanyeni jambo Taifa stars tushinde AFCON dhidi ya Tunisia

    Leo saa 1:00 usiku tuna mechi ngumu dhidi ya Tunisia aliyetoka kufungwa na Nigeria, hii ndo game iliyoshika hatima yetu ya kufuzu 16 Bora Japo ushindi wa Leo unaweza kutufanikisha katika best losers iNEC kama wataalam wa kufanikisha ushindi ni hazina Kwa Taifa fanyeni jambo pale Morocco
  9. H

    JamiiForums Tanzania Michuano ya AFCON kwa kiasi chake ina ladha ya soka la Ulaya

    Ukitizama michuano ya AFCON unapata ladha ya soka la Ulaya kwa kiasi kikubwa kutokana na aina ya wachezaji na team wanazochezea Ulaya. Mfano kikosi cha timu ya Taifa ya Congo chote kinacheza soka la Ulaya kasoro Mayele pekee.
  10. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Uganda wametuibia Nafasi yetu kwenye AFCON 2025 Group C!

    Sio haki.
  11. funaku

    JamiiForums Tanzania AFCON Group C: Uganda vs Tanzania, Desemba 27, 2025

    Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" ipo uwanjani ikikipiga na Uganda katika mchezo wa Kombe la Afrika (AFCON) hadi mapumziko mchezo huo hakuna mbabe. Matokeo bado ni 0-0. Vijana wetu wanaendelea kupambania kombe la Ubingwa barani Africa. Kila la kheri kwao
  12. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Nawaombea sana moja kati ya timu za kiarabu ichukue AFCON, kila la kheri kwenu

    Nawaombea sana ndugu zangu waislamu wa Afrika ya kaskazini mmoja aibuke na ushindi/kombe. Morocco Algeria Egypt Tunisia Sudan Senegal Especially hao wa juu mmoja aibuke mshindi na wawakate midomo haters, maana kuna watu weusi hawawapendi waarabu, mara utasikia wanabebwa, mara wanajiangusha...
  13. Mad Max

    JamiiForums Tanzania AFCON 2025 Group C kuingia Round ya 16 Watapita Nigeria na Tunisia

    Sidhani kama ili nalo linahitaji kubet, ila Nigeria na Tunisia wataingia round ya mtoano. Hao wengine wote mwaka mpya wanakula wakiwa kwao.
  14. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Eti huyu mwamba ana miaka 22 hapo AFCON😂😂

    secretarybird Mjusi Sharobalo Vincenzo Jr ila huyu jamaa HAYA LAND yupo kila mahala😂😂
  15. Foffana

    JamiiForums Tanzania Tanzania kuibuka mabingwa wa AFCON 2025

    Hello Kupitia analysis fupi niliyofanya nimekuja na majibu kwamba Tanzania tuna asilimia kubwa 99% kubeba kombe hili Timu nyingi za Taifa ambazo ni magiant round hii zinacheza mpira wa ovyo na hazina ubora ule tuliouzoea siku zote Viwango vya wachezaji havipishani sana baina ya yale mataifa...
  16. stakehigh

    JamiiForums Tanzania My personal opinion: South africa atashinda AFCON

  17. uran

    JamiiForums Tanzania Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

    AFCON 2025 – Analysis AFCON 2025 itafanyika nchini Morocco Mashindano yataanza 21 Desemba 2025 na yatamalizika 18 Januari 2026. Timu 24 zimepangwa kushindania. Kutakuwa na makundi 6 (Group A–F) na kila kundi litakuwa na timu 4. Group A Morocco, Mali, Zambia, Comoros Group B Egypt, South...
  18. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Afcon, Taifa Star 🌟 atakauwa ni mgawa utamu huko Morocco

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Timu ya taifa ya Tanzania itakuwa ina kazi ya kugawa utamu tu LONDON BOY
  19. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Afcon, Morocco ataishia robo fainal na kutolewa nje

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Atatoka mapema sana LONDON BOY
  20. Mchochezi

    JamiiForums Tanzania Tamasha la mkesha wa uzinduzi AFCON: Nimefurahi hakuna Msanii hata mmoja kutoka Tanzania

    AFCON Kick Off Concert, ni tamasha la kuelekea mkesha wa Ufunguzi wa AFCON ambapo limepangwa kufanyika Jumamosi hii kuanzia Saa 12:00 Jioni mpaka Saa 6:00 Usiku huko Morocco Wasanii rasmi ambao wamealikwa kupafomu tamasha hilo wapo, French Montana, Davido, Says Z, Douaa Lahyaoui na Lartiste...
Back
Top Bottom