Abiria (kutoka neno la Kiarabu عبر ˁabara kwa maana ya kuabiri, kuvuka eneo la maji) ni watu wanaosafiri kwa kupanda meli, ndege, gari, basi, pikipiki au treni.
Abiria hutumia vyombo hivyo vya usafiri kama njia ni mbali, au kama hawana usafiri wa binafsi au kama wanapendelea matumizi ya usafiri wa umma kuliko usafiri wao binafsi.
Kwa kawaida wakipanda wanalipia kiasi fulani kama nauli ili mwenye chombo hicho aweze kuwalipa dereva na wahudumu wengine pamoja na gharama za chombo chenyewe na matumizi yake.
Kwa mara ya kwanza leo nimepata kusikia kwamba kuna chama cha kutetea abiria pale ambapo mwenyekiti wake alipokuwa anahojiwa TBC1 katika kipindi cha usiku wa habari, alikuwa anahojiwa juu ya tukio la jana (1/5/11) madereva wa mabasi ya kwenda mkoani kugoma.
Swali langu ni kwamba chama hiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.