Pierre Derivery (4 November 1925 โ 24 November 2013) was a French sprint canoer who competed from the early 1950s to the early 1960s. Competing in two Summer Olympics, he earned his best finish of tenth in the K-1 10000 m event at Helsinki in 1952.
Hivi utajisikiaje ukiwa umepanda Ndege halafu unasimama kama kwenye mwendokasi freshi sio!!
Shirika moja nchini Ireland linaitwa Rynair limeleta safari za ndege za gharama nafuu kwa kuweza kupunguza nauli za ndege na kuondoa viti kwenye baadhi ya safari zake.
Mpango huu ni kuwezesha abiria...
Baada ya Kampuni ya Lenovo kuwa ya kwanza kutoa laptop Yenye uwezo wa kujikunja kunja (Foldable), Huawei nao wameleta Laptop yenye kujikunja halafu ni nyembamba kuzidi simu unayomiliki.
Najua wengi tumeshazoea kuona Teknolojia hii kwenye simu kupitia Samsung Z flip , Fold na simu zinginezo...
Baada ya vuguvugu la mitandao mbalimbali ya kijamii kuvambiwa na wadukuzi (wahalifu wa mitandao), ambao waliweza kudukua mitandao ya kijamii ya taasisi za serikali na ambazo zisizo za kiserikali.
Serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia katibu mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni...
Kampuni ya rockstargames imetoa Tarehe Rasmi ya kuachiwa kwa game mpya aina ya grand theft auto GTA 6 ambapo itaachiwa 26 Mei 2026 Mwakani. Wengi walitegemea itaachiwa mwaka huu lakini kampuni hiyo imesogeza mbele.
Game hii kwa upande wa graphics wametisha sana Iko poa balaa, GTA 6 franchise...
๐ก Whatsapp imefanikiwa kuweka rekodi kwa kuwa mtandao wa kwanza wa kijamii kuwa na watumiaji wengi kila mwezi zaidi ya watumiaji bilioni 3.
๐ก Siku ya jumatano mkurugenzi mkuu mtendaji wa meta Tajiri Mark Zuckerberg Aliweza kutangaza kupitia mkutano wa matokeo ya kifedha ya robo kwanza Q1, kwa...
Si tulikua tunajua TU ni movie ndo inatuonyesha baiskeli zikiwa zinapaa, Sasa Rasmi baiskeli ya kwanza yenye uwezo wa kupaa imeachiwa Rasmi.
Inaitwa Volonaut ni baiskeli yenye uwezo wa kupaa Angani ambayo imeonyeshwa kwenye video kupitia slide inayofuata, inafanya kazi kama ilivyo gari la...
Tahadhari ya utapeli kupitia mtandao wa Whatsapp kupitia picha, watumiaji wa mtandao wa Whatsapp wanapaswa kuwa makini Kuna ulaghai mpya umeibuka kupitia Whatsapp.
Wahalifu wa Mitandao sasa wanatumia Whatsapp kuiba na kuchukua taarifa zako kupitia picha ambapo anakutumia Picha ambayo Ina kirusi...
KAMA HAIKUHUSU ACHANA NAYO
โKwa maana Kristo alitufungua ili tuwe huru. Simameni basi msiweke tena shingo zenu chini ya nira ya utumwa.โ โ Wagalatia 5:1
๐ง๐๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐๐๐ก๐๐๐ฆ๐ โ ๐๐๐๐ ๐ฌ๐๐๐ข ๐๐๐ข
Ndugu yangu mpendwa, kabla hatujapokea ushindi wetu leo, tafakari hali yako kwa uaminifu mbele za Mungu...
๐ก๐ฎ๐ป๐ถ ๐๐น๐ถ๐๐ฒ๐ฝ๐ถ๐ด๐๐ฎ? ๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐ช๐ฎ๐ฐ๐ต๐ฎ๐ป๐ด๐ฎ๐ป๐๐ถ๐ธ๐ถ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ฎ๐ฑ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ถ๐๐๐ ๐๐๐ด๐ผ๐บ๐ฒ๐ฎ ๐ ๐ฎ๐ต๐ฎ๐ธ๐ฎ๐บ๐ฎ, ๐ช๐ฎ๐ฏ๐๐ป๐ถ ๐ฃ๐ฟ๐ผ๐ฝ๐ฎ๐ด๐ฎ๐ป๐ฑ๐ฎ ๐ ๐ฝ๐๐ฎ!
Dar es Salaam, Aprili 24, 2025
Katika kile kinachoonekana kuwa ni juhudi za makusudi za kupindisha ukweli na kulazimisha huruma ya kisiasa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeibuka...
๐ง๐พ Kutana na Mwanaume mmoja toka Ufilipino alianzisha Teknolojia ya kipekee yenye kupelekea kuleta vuguvugu la kimataifa baada ya kuleta Mwanga kwenye nyumba yake bila kutumia umeme.
๐พ Kupitia chupa ya plastiki, maji na bleach, chupa hizi muundo wake ziko kama balbu za jua zenye kutoa Mwanga...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Emmanuel Nchimbi amesema hakuna mtu anayeweza kuzuia Uchaguzi Mkuu bila kujali nafasi yake, na kuongeza kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kina haki ya kutoshiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa kuwa suala hilo ni hiyari kwao na hakuna haja ya...
chadema
chadema kushiriki uchaguzi
chama
chama cha siasa
emmanuel nchimbi
kosa
kubwa
kuelekea 2025
kuingia
nchimbi
sana
siasa
uchaguzi
uchaguzi mkuu
๐ฑ๐ฒ๐ฟ๐ถ๐๐ฒ๐ฟ๐
Wanabodi
Mimi mwanabodi mwenze ambaye ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, pia ni mhariri na mwanachama wa Jukwaa la Wahariri, TEF, niko hapa ukumbi wa Bombambili Songea, mkoani Ruvuma, kuwaletea live ya Mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF...
Teknolojia ya AI kiboko sasa wifi inaweza kuwaona watu mpaka waliojificha kwenye Kuta
Teknolojia ya Akili bandia (Mnemba) inazidi kushika Kasi na kuwa Tishio Duniani, Baada ya Watafiti kutoka Carnegie Mellon wamefanikiwa kuunda mfumo unaotegemea wifi ambayo unaweza kuona kitu kwenye ukuta...
JAPAN KIBOKO AISEEE ๐ฏ๐ต
Japan ni moja ya Nchi ambayo Iko vizuri sana kwenye masuala ya Teknolojia Ulimwenguni baada ya China sema Wazungu ๐wanajifanya wanakaza mafuvu.
Japan katika kupambana na Majanga ya Asilia Imeamua kuunda Nyumba zinazoweza kuelea Angani baada ya kutokea kwa Tetemeko la...
TAARIFA HII IMEKANUSHWA NA TEF. Zaidi soma Jukwaa la Wahariri Tanzania lakanusha kutoa tamko dhidi ya CHADEMA
----
Katika hatua isiyo ya kawaida, wahariri na waandishi wa habari wamesusia shughuli zote za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya kauli tata ya Mwenyekiti wa chama...
๐ NITATETEA TENA NAFASI YANGU YA UBUNGE JIMBO LA NKASI 2025
NILISHINDA UBUNGE 2020 LICHA YA CHAMA KUSUSIA UCHAGUZI, KAULIMBIU YA 'NO REFORMS, NO ELECTION' HAINIHUSU - NITATETEA TENA NAFASI YANGU MWAKA (2025) HUU - AIDA KHENAN, MBUNGE WA CHADEMA NKASI KASKAZINI
====
JamiiCheck imefuatilia...