Wasiliana nasi, tuweze kukuhudumia.
Njoo na mahindi yako, tutakukobolea na kukusagia kwa gharama nafuu.
Huduma hii ni kuanzia tani 1 maana mashine zetu zina uwezo mkubwa wa kukoboa zaidi ya tani 30 kwa siku.
Unaweza kuja na mifuko yako yenye ujazo tofauti tofauti kulingana na mahitaji yako...
Salama humu.
Anahitajika business partner mwenye uwezo wa ku supply tani 30 za mahindi kila baada ya wiki mbili. Yawe mahindi yanayofaa kwa kukobolewa/sembe
Kiwanda cha sembe kiko Kigamboni na kina uwezo wa kukoboa na kusaga tani 10 kwa siku.
Ongezeko la wateja limezidi uwezo wetu na...
Hii ni muhimu sana hasa kwa zama hizi za risit ya EFD maana kwa sisi wa Dar utajikuta umenyanganywa leseni yako sababu ya makosa kama haya.
Lakin pia inasaidia sana kwa wale tunaosafir miendo mirefu.
Mi natumia Radars France – Applications Android sur Google Play
Unachofanya ni kudownload...
Wadau salama?
Naona sasa imekuwa kawaida kukuta either mtu ana kidumu cha mafuta au ghafla gari imeishiwa mafuta Barbarani.
Kimsingi kila aina ya gari au chombo cha moto kina reserve kiasi cha mafuta kama taarifa kwa anae tumia hicho chombo ili achukue tahadhari.
Pikipi zote zina reserve ya...
Kwanza nitoe pongezi kwa ujenzi wa banda la kukatia ticket kule upande wa Magogoni maana kimsingi ilikuwa changamoto sana na ili ukate ticket lazima awepo mtu wa kukusaidia kupokea hela na kumpa cashier then ndo Cashier akate ticket ampe askari ili askari akupe hiyo ticket.
Nashauri banda au...
Engine yake ilipata matatizo so kimsingi haina engine.
Inaweza kufaa kwa:-
1. Kutumia vitu vyake kama spare parts kwa aliye na aina ya gari kama hii
2. Kam unayo aina kama hii na body au baadhi ya vifaa vyake vimechoka basi unaitumia vifaa vya hii kufufua hiyo mbovu.
3. Kuuza spare zake
4...
Salama Wakuu,
Nahitaji haraka vifuatavyo:-
1. Mota ya mashine ya kusaga Hp kati ya 30, 40 au 50
2. Mizani Digital na wa mawe ya kilo 300
3. Mashine ya kushonea maguni/viroba
Vyaweza kwa vimetumika kidogo au vipya pia.
Nipo Dar.
SMS au Piga: 0784800989
Salama wakuu, nauza kiwanja kwa 15m, Kiko kigamboni Geza ulole kimepakana na mradi wa viwanja, ni takriban au zaidi ya robo heka, hakijapimwa. 0784800989 sms, piga au whatsapp
Salama wakuu?
Tumi hii
Uptodown Software Downloads - Download, discover, share
Inakupa option mbili:
- kuinstall hiyo app
- kudownload direct kutoka kwenye browser bila kuinstall
Kazi kwako
.Awe tayari kutumia pikipiki.
.Awe anajua Ku drive na mwenye leseni.
.Awe amehitimu diploma ya biashara au inayofanana na hiyo.
.Ajue kutumia komputa.
.Umri usizidi 30yrs old
Mwenye uzoefu wa kumanage sales reps zaidi ya 10 na van zao.
.Awe na uzoefu na maduka ya reja raja na hasa CFMG/FMCG...
sifa zifuatazo:
.aweze kuendesha Gari na bike na leseni
.awe anajua soko lote la DSM kwa FMCG
.awe anaweza kujieleza kwa kimombo
.awe anauwezo wa kuongozi watu zaidi ya 20, magari zaidi ya 10 na petty cash
.ajue kutumia computer
.budget 1.1m plus
.mwepesi kujifunza na Ku addapt changamoto
.awe...
Wadau salaams.
Naomba.msaada maana kwenye media tunaambiwa ni kampeni ya wakubwa kuangamiza third world countries.
Kupitia chakula, madawa ikiwezekana na vita pia.
Juzi pia nilikuwa naangalia Press TV nikaogopa kusikia hata ukimwi na ebora ni man made viruses
Asanteni,
Alfred Kohi
FOUNDER...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.