akohi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 787
- 527
Salama humu.
Anahitajika business partner mwenye uwezo wa ku supply tani 30 za mahindi kila baada ya wiki mbili. Yawe mahindi yanayofaa kwa kukobolewa/sembe
Kiwanda cha sembe kiko Kigamboni na kina uwezo wa kukoboa na kusaga tani 10 kwa siku.
Ongezeko la wateja limezidi uwezo wetu na inatulazimu kutafuta wabia.
Baadae tutahitaji supplier wa aina zote za nafaka kwa wingi.
Wasiliana na Alfred 0764800989 kwa maelezo zaidi
Ramadan njema.
Anahitajika business partner mwenye uwezo wa ku supply tani 30 za mahindi kila baada ya wiki mbili. Yawe mahindi yanayofaa kwa kukobolewa/sembe
Kiwanda cha sembe kiko Kigamboni na kina uwezo wa kukoboa na kusaga tani 10 kwa siku.
Ongezeko la wateja limezidi uwezo wetu na inatulazimu kutafuta wabia.
Baadae tutahitaji supplier wa aina zote za nafaka kwa wingi.
Wasiliana na Alfred 0764800989 kwa maelezo zaidi
Ramadan njema.