Vinahitajika haraka

Vinahitajika haraka

akohi

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
787
Reaction score
527
Salama Wakuu,
Nahitaji haraka vifuatavyo:-

1. Mota ya mashine ya kusaga Hp kati ya 30, 40 au 50
2. Mizani Digital na wa mawe ya kilo 300
3. Mashine ya kushonea maguni/viroba

Vyaweza kwa vimetumika kidogo au vipya pia.

Nipo Dar.

SMS au Piga: 0784800989
 
Back
Top Bottom