Hii imekuaje japo mapenzi hayana ratiba maalum. Je hii ni Sawa?
Inakuaje inapofika usiku mmesambaa kwenda kulala mwanaume anabaki seblen aidha kuchati na simu au kuangalia zake tv.
Mwanamke kutokana na pilika za kazi + za nyumbani, watoto unaingia kulala dakika 10 tu usingizi ushakupitia tena...
Ewe mwanandoa ulichukua au utachukua hatua gani endapo.
Wewe na mwenzio mtafikia hatua ya kutoelewana ndani mmejaribu kuongea lakini hamna suluhu mwingine msaliti mwingine kusamehe nashindwa.
Mmefika hatua hata mnagawana vitanda, mmoja akisafir hata WK 3 bila kupigiana cm,
Tendo la ndoa...
Hivi nyie binadamu mmekuaje siku hizi? Mnaboa ujue agriiii!! Wanawake wengi sasa hivi wanalalamika hamuwagusi kabisa ndani ya nyumba, hapa nawaongelea mliooa.
Mimi nina mwezi sasa tangu tarehe 3 mpaka leo hollaaa, mpaka nimuanze mimi nikijikausha ndio kama hivi mwezi umeisha. Nipo group la...
Nina wiki 2 naumwa homa kali sana nimeenda hospitali 3 tofauti naambiwa sina maralia Wala uti wala typhoid, nilipewa tu pcm na amox sababu ya kikohozi.
Leo siku 11 homa ikishuka kidogo inapanda tena natetemeka, nguvu Sina. Nikivuta hewa kwa ndani kifua kinauma na amox nimemaliza. Ni mjamzito...
Watalaam nisaidieni hapa hivi huwa kinatokea nini mwanamme mkuchukia mkewe kipindi cha ujauzito?
Yaani hii imekaaje kitalaam. Unakuta walikua wanaishi vizuri tu before ila baada kupata ujauzito tu mume hana shida na mke yani
Kuna kesi hapa mume kasafiri kikazi wiki nzima hata kupiga simu...
Hi kitu imekaaje?
Mwanaume miaka 37 ameoa na anafamilia kua na urafiki na kijana wa miaka 25. Tena urafiki ule wa close kabisa kila sehem wako wote ikifika jion jamaa akitoka kazini kijana anaenda nae kwake wanakaa mpaka saa 4 usiku kijana anaondoka. Kama jamaa haendi kazini basi rafiki kijana...
Nina kama wiki hivi tulitofautiana kidogo na mume wangu. Tuligombana sana ila sio ngumi in short alinikwaza.
Sasa kwa hasira nikahamia kulala chumba cha wageni nikidhani baada ya muda atakuja kunibembeleza na kuniomba msamaha yaishe nirudi chumbani.
Du! Sasa wiki imekatika jamaa hata muda hana...
natumain mko wazima
Mi Anna pita leo nimewamic nimeamua ni share na nyie jambo moja la msingi kwenye ndoa
Ewe mme usitumie nguvu nyingi Sana kumuazibu au kumgombeza mkeo anapokosea njia nzuri kaa kimya
Mfano mkeo kachit hakikisha amejua kua umefaham ikibidi Kama unakifua mfumanie kabisa alafu...
Kwanza kabisa nawapongeza Sana kwa kuamua kuzaa wala hamkushawishika kutoa au kutupa watoto choon
Nina ushaur kidogo kwa wewe single mama ambae unataka uje uolewe uwe na mume
Single mama tukijiweka vizuri tunanafasi kubwa Sana ya kuolewa siku hizi....wanaume wengi Sasa hv wamekua wavivu na...
Masiku yamepita Sasa tangu niishi kihalali na huyu baba Kama mke na mume.
Nimekuja kugundua inawezekana kafungwa na mama yake mzazi.
Iko hivi huyu jamaa angu/ mume ana cheo kikubwa tu kazini na mishahara mikubwa anafanya kazi TANESCO anapokea M na kitu uko Bado nyumba wanalipiwa Bado over time...
KAMATI YA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA UBINGWA WA SSC
MC -Mwinyi Zahera
DJ-Masau Bwire
VINYWAJI-Azam
KUNI-Mbao fc
KUOSHA VYOMBO NA KUPIKA CHAKULA-Yanga
MUZIKI-Mtibwa na Mbeya city
ULINZI - Prisons na JKT Tanzania
MAPOKEZI YA WAGENI RASMI- Ruvu shooting na African Lyon
KUFANYA USAFI WA UKUMBI-...
Natumai mko POA
Leo acha niwe mshauri kwa mabinti ambao hamjaolewa
1) nawashauri msikae kibachelor mda mrefu Ni mbaya Sana mfano bint anatoka kwao anapanga chumba chake anakua na kazi yake kwa muda mrefu kuanzia miaka 4,5... Nimbaya sababu ukija kuolewa unaona kuishi na kua chini ya mtu unaona...
Jaman huyu baba/ mme ananipa mawazo Sana
Mungu sijui kampa roho ya huruma kupitiliza
Anakipato kikubwa lkn akipata hela anagawa tu
...Kila mwisho wa mwez nikugawa hela tu
Mwanzo nilitumia akil nikafungua ac ya familia nikamwambia tuwe tunasave hela na kadi nikampa kabisa akae nayo...
Lkn kuweka...
Jaman huyu baba/ mme ananipa mawazo Sana
Mungu sijui kampa roho ya huruma kupitiliza
Anakipato kikubwa lkn akipata hela anagawa tu
...Kila mwisho wa mwez nikugawa hela tu
Mwanzo nilitumia akil nikafungua ac ya familia nikamwambia tuwe tunasave hela na kadi nikampa kabisa akae nayo...
Lkn kuweka...
Kwa wanaume mlio oa,
Nina kaswali kadogo tu
Mfano ukiwa senti 50 ikatokea ...Dada ako au ndugu yako yoyote tu akawa na shida na hiyo 50 at the same time mke wako nae akapata shida inayoitaji iyo 50 utampa nani?
Au
Ikatokea ndugu yako mgonjwa na mkeo mgonjwa we upo mbali nao utenda...
Naomben mawazo yenu
naona mume kidogo akili zimeanza kumkaaa sawa maana yeye alikua hawazi chochote juu ya maendeleo yangu na yeye zaidi ya kuwaza kwao tu...
Juz kaja na wazo kwamba achukue mkopo 20m tujenge nyumba ya kuishi na aniongezee mtaji katika biashara yangu kama itabaki kidogo basi...
Juz nilileta Uzi wangu wa nimelikoroga ...nimeamua nifanye maamuzi magum kuna vitu kadhaa najiuliza sana
Naomba nitoe historian yangu fupi ili kidogo mjue tunaanzia wapi kulimaliza hili
Naomben watu kidogo wenye uelewa mpana na hapa naeleza ukweli wa maisha yangu acha hizo story/ nyuzi za nyuma...
Nimelikoroga nisaidieni jinsi ya kulinywa ninampenzi wangu alipata uhamisho alipokua anafanya kazi gafla kuna dada alikua anafanya nae kazi yakaibuka mazoea mawasiliano ya mara kwa mara si asubuhi, mchana , jioni mpaka usiku.
Nilipohoji nikaambiwa hii nikutokana tulikua tumezoeana kukaa wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.