Anna pita
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 227
- 425
Nimelikoroga nisaidieni jinsi ya kulinywa ninampenzi wangu alipata uhamisho alipokua anafanya kazi gafla kuna dada alikua anafanya nae kazi yakaibuka mazoea mawasiliano ya mara kwa mara si asubuhi, mchana , jioni mpaka usiku.
Nilipohoji nikaambiwa hii nikutokana tulikua tumezoeana kukaa wote sasa tunamisiana sawa nikaelewa ila mazoea yakazidi ikafikia hatua jamaa akiamka asubuhi cha kwanza amjulie hali yule bibie.
Anaweza mpigia hata mara 10 simu wanachart mpaka saa 6 usiku sasa kwa akili ya binadamu nikaingia wasiwasi nikawa nimeinstall app kwenye simu yake ya kupata mawasiliano take.
Hapa ndipo nilipokosea maana niliweza kujua kila kitu walikua wanawasiliana sometimes ananipigia ananiambia kachoka ananiaga kulala anakaa dakika 10 anampigia yule dada wanaongea mpaka saa 8 usiku nikihoji naambiwa just friend japo nilochogundua walikua hawajaanza kudate ila walikua na interest nilimwambia sipendi ukaribu wao akaomba msamaha atajirekebisha alichofanya wakabadilisha namba nayo nikaifahamu.
Kuna siku jamaa akanipa hela nimpikie chakula flan walikua anakipenda na alikua katoka safari ajabu jioni akaenda kula kwa yule dada kaja saa 5 usiku na kudai kashiba ilinikwaza sana ikabidi nimwambie matendo yake yote ila nikamwambia kuna mtu kachukua simu ya yule dada ndio inanipa taarifa.
Jamaa kwamwambia mdada kua nimehack simu yake hint tangu jana anataka kunipeleka police mimi nimemuelewesha kua sijashika simu yake kakataa kachukia kampigia jamaa anamtukana jamaa kachukia kwanini nimesababisha rafiki ake kachukia.
Nimemuomba msamaha mpaka nimechoka jamani anakubali kanisamehe ila ndio hapigi simu wala meseji nikimpigia anajibu kwa ukali sana naombe ushauri nafanyaje juu ya hili
maana nitajibu nini wakati anawiki 2 tangu ametoka kujitambulisha nyumbani tena mbele ya baba nikiwaza natetemeka mwil mzima
Nilipohoji nikaambiwa hii nikutokana tulikua tumezoeana kukaa wote sasa tunamisiana sawa nikaelewa ila mazoea yakazidi ikafikia hatua jamaa akiamka asubuhi cha kwanza amjulie hali yule bibie.
Anaweza mpigia hata mara 10 simu wanachart mpaka saa 6 usiku sasa kwa akili ya binadamu nikaingia wasiwasi nikawa nimeinstall app kwenye simu yake ya kupata mawasiliano take.
Hapa ndipo nilipokosea maana niliweza kujua kila kitu walikua wanawasiliana sometimes ananipigia ananiambia kachoka ananiaga kulala anakaa dakika 10 anampigia yule dada wanaongea mpaka saa 8 usiku nikihoji naambiwa just friend japo nilochogundua walikua hawajaanza kudate ila walikua na interest nilimwambia sipendi ukaribu wao akaomba msamaha atajirekebisha alichofanya wakabadilisha namba nayo nikaifahamu.
Kuna siku jamaa akanipa hela nimpikie chakula flan walikua anakipenda na alikua katoka safari ajabu jioni akaenda kula kwa yule dada kaja saa 5 usiku na kudai kashiba ilinikwaza sana ikabidi nimwambie matendo yake yote ila nikamwambia kuna mtu kachukua simu ya yule dada ndio inanipa taarifa.
Jamaa kwamwambia mdada kua nimehack simu yake hint tangu jana anataka kunipeleka police mimi nimemuelewesha kua sijashika simu yake kakataa kachukia kampigia jamaa anamtukana jamaa kachukia kwanini nimesababisha rafiki ake kachukia.
Nimemuomba msamaha mpaka nimechoka jamani anakubali kanisamehe ila ndio hapigi simu wala meseji nikimpigia anajibu kwa ukali sana naombe ushauri nafanyaje juu ya hili
maana nitajibu nini wakati anawiki 2 tangu ametoka kujitambulisha nyumbani tena mbele ya baba nikiwaza natetemeka mwil mzima