Anna pita
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 227
- 430
natumain mko wazima
Mi Anna pita leo nimewamic nimeamua ni share na nyie jambo moja la msingi kwenye ndoa
Ewe mme usitumie nguvu nyingi Sana kumuazibu au kumgombeza mkeo anapokosea njia nzuri kaa kimya
Mfano mkeo kachit hakikisha amejua kua umefaham ikibidi Kama unakifua mfumanie kabisa alafu usimuazibu Yan usimuulize wala kumgombeza jifanye haujui wala hujaona kitu alafu kua mchangamfu kupita kawaida
Nakuhakikishia mkeo atajiadhibu mwenyewe na hatarudia kufanya huo ujinga
Yan hakuna adhabu kubwa Kama kunyamaza kimya hata Kama unaumia kiac gan usimuonyenye ...muonyeshe furaha
Nakumbuka juzi kat hapa nilipata tatizo nikamuomba shemeji yenu Kama lak 2 akaninyima
Na anatabia hiyo mimi nikiwa na tatizo hanipi yan yeye hela zake kwa ajir ya ndugu zake tu
Mi nilikua nimebanwa kweli Kodi ya shop ikabidi nichukue kwenye ac yake kimya kimya bila yeye kujua
Mungu hata siku 3 hazikupita jamaa kajua akaniuliza nikakosa jibu nikaomba msamaha
Jamaa hakujibu kitu zaidi yakua kawaida tu dah!! nilikosa Aman siku 3 sina Aman sili vizuri nikaamua kuondoka home
kwenda kwa sister
Sister sikumwambia chochote nae alivyonifata akaniambia pesa zinatafutwa rudi nyumban na hakumwambia chochote dada
Tangu nirudi Sina Aman hapa natafuta mteja wa kununua duka Zima nisepe mbali sana
So haina haja ya kutumia nguvu nyingi muache mtu ajihukum mwenyewe
Hata kwa mwanaume anaechepuka haina haha ya kutukanana na michepuko ya Mume mwambie najua unatembea na fulan alafu kaa kimya timiza majukum yako ikibidi ongeza manjonjo kwa bed
Mi Anna pita leo nimewamic nimeamua ni share na nyie jambo moja la msingi kwenye ndoa
Ewe mme usitumie nguvu nyingi Sana kumuazibu au kumgombeza mkeo anapokosea njia nzuri kaa kimya
Mfano mkeo kachit hakikisha amejua kua umefaham ikibidi Kama unakifua mfumanie kabisa alafu usimuazibu Yan usimuulize wala kumgombeza jifanye haujui wala hujaona kitu alafu kua mchangamfu kupita kawaida
Nakuhakikishia mkeo atajiadhibu mwenyewe na hatarudia kufanya huo ujinga
Yan hakuna adhabu kubwa Kama kunyamaza kimya hata Kama unaumia kiac gan usimuonyenye ...muonyeshe furaha
Nakumbuka juzi kat hapa nilipata tatizo nikamuomba shemeji yenu Kama lak 2 akaninyima
Na anatabia hiyo mimi nikiwa na tatizo hanipi yan yeye hela zake kwa ajir ya ndugu zake tu
Mi nilikua nimebanwa kweli Kodi ya shop ikabidi nichukue kwenye ac yake kimya kimya bila yeye kujua
Mungu hata siku 3 hazikupita jamaa kajua akaniuliza nikakosa jibu nikaomba msamaha
Jamaa hakujibu kitu zaidi yakua kawaida tu dah!! nilikosa Aman siku 3 sina Aman sili vizuri nikaamua kuondoka home
kwenda kwa sister
Sister sikumwambia chochote nae alivyonifata akaniambia pesa zinatafutwa rudi nyumban na hakumwambia chochote dada
Tangu nirudi Sina Aman hapa natafuta mteja wa kununua duka Zima nisepe mbali sana
So haina haja ya kutumia nguvu nyingi muache mtu ajihukum mwenyewe
Hata kwa mwanaume anaechepuka haina haha ya kutukanana na michepuko ya Mume mwambie najua unatembea na fulan alafu kaa kimya timiza majukum yako ikibidi ongeza manjonjo kwa bed