TANESCO MBAGALA hongeleni sana kwa kazi nzuri, kwa sisi wenye uhitaji wa kufungiwa umeme,zaidi ya watu 50 tumeunganishiwa huduma siku ya jana 15/9/2021 maeneo ya chamazi kwa muda usiozidi miezi 2
Wakubwa! Hivi mmeangalia ratiba ya kampeni? Mpaka mnakuja ajenda, kila mgombea ana muda wa kupumzika hata TL alipumzika siku 2 tarehe 8&9 hii ni kutokana na muongozo wa ratiba ya NEC.
Mwenyekiti katoa ufafanuzi kuwa huyo ke huwa anakunywa akiwa na mtoto mdogo mgongoni hivyo anahatarisha maisha ya mtoto mdogo ndio maana kapigwa pini na huyo me anahatarisha maisha ya wazazi wake mpaka imefikia hatua ya kuvunja mlango akitaka kuwadhuru. Source TK Fm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.