Willard Jonnes
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 361
- 750
Anazuia watu wasilipe kodi aisee huyo anahujumu uchumi wetu
Hahaha mfuko sumenti kuna vitu vinachekesha sana
Hahaha mfuko sumenti kuna vitu vinachekesha sana
Nimewaza kama wewe, halafu nahisi ni wapenzi
Iwawa ni mji mzee ndio makao makuu ya makete DC,ila ukifika ni kama kijiji tuJamaa wataishi maisha magumu sana hapo kijijini....no msabe no ulanzi dah
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa stationary ndugu mwenyekiti yeye kaweka tu muhuri bila kusomaFaini ni mufuko wa sumenti mwenyekiti kavurugwa haswaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
MALUFUKU
SUMENTI
Hao ndo waliopita bila kupingwa nchi nzima!
Au Modds mnasemaje?