Rafiki yangu Porokondo wikiendi hii amenihadithia kisa kilichomkumba miaka mitatu iliyopita nami nikaona ni vyema niwawekee hapa.
Porokondo ni kijana mtanashati na japo sasa umri umesogea kidogo lakini bado uchekibobu wake wa miaka ile ya balehe haujamtoka kabisa. Sikuwahi kumuona tangu...
Hapo Novemba mwaka jana Higher Education Students Loans Board Act ilirekebishwa katika Section 20 na ikawa inasomeka hivi "Deduct 8% of the basic salary for employee who is a loan beneficiary and remit the same to the Board in the manner as the Board shall describe".
Natumaini marekebisho haya...
Hapo Novemba mwaka jana Higher Education Students Loans Board Act ilirekebishwa katika Section 20 na ikawa inasomeka hivi "Deduct 8% of the basic salary for employee who is a loan beneficiary and remit the same to the Board in the manner as the Board shall describe".
Natumaini marekebisho haya...
Malenga nawasalimu, Kwa jina lake Rabuka
Nimeona nijihimu, japokua kushakucha
Kwa hili jambo adimu,linalotusuka suka
Kikombe, kikombe gani, Malenga nielezeni
Kikombe, kikombe gani, atoacho Mwasapile
Ni nini kilicho ndani, naombeni nifunzile
Nambieni kwa undani,nende zangu na dumule
Kikombe...
When there's only one other person in the elvator, tap them on the shoulder and then pretend it wasn't you.
Push the buttons and pretend they give you a shock. Smile, and go back for more.
Ask if you can push the button for other people, but push the wrong ones.
Call the Psychic Hotline...
Karatasi nakamata,kueleza yalosibu
Nna kipande cha kashata,nlichonunua Bububu
Kashata yenye utata,utamuwe wasulubu
Nimeziona kashata,ya bububu ni pekee
Kitaka kula najing'ata,kwa utamu so kifani
Nikimung'unya nadata,Sijui sababu gani
Tamu zaidi ya bata,Alopakwa Asumini
Nimemung'unya...
Just be sure your chest is okay before you go over this. I almost broke my ribs!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
I guarantee you that u will read it twice or thrice ...
HOWEVER INTELLIGENT YOU COULD BE, YOU WILL READ THE ARTICLE MORE THAN ONCE TO GET THE HANG OF IT
NO SPEAKAH DE ENGLISH
A bus...
Wadau poleni sana na "Joto la Balali" linaloendelea humu ndani.
Kwa wadau wa muziki wa kizazi kipya hebu nitoeni tongo tongo kuhusu Hili suala la Bongo flava na Hip Hop
Wazee ya! wa Hip hop kama Nako 2 Nako,Geez Mabovu,Mapacha,Adili,BLac na wengine wengi wamekua wakisimamia kuwa Hip Hop ni Hip...
Members hasa kwenye masuala ya Enternteinment nina swali?
Hivi Bakari Kitwana aliyeandika "Why white Kids Love Hip Hop" ni wa kwetu?
Kama kuna mwenye details zake animwagie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.