Wana jamvi,
Wafanyakazi wa muda walokuwa wakiingiza data kwenye kituo cha data processing (Kilichopo Tanita - Kibaha) kwa ajili ya data za sensa ya watu na makazi ilofanyika Mwezi Agosti mwaka huu wamekusudia kuandamana kesho kwenda makao makuu ya ofisi ya taifa ya takwimu -NBS zilizopo kivukoni...
Hatimae Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imetoa ripoti ya Sensa ya kilimo na mifugo (gonga hapa),
Kwa muda mrefu sasa ofisi hii imekuwa katika malumbano makubwa na vyombo vya habari kuhusiana na sensa ya kilimo na mifugo kwa kile ambacho kimekuwa kikionekana kama ufujaji wa fedha ambao ulifanywa...
Katika hali ya kuonyesha kuwa Afisa Habari wake amekuwa mwiba, Ofisi ya Taifa ya Taifa ya Takwimu ambayo inategemea Agosti 26 mwaka huu kufanya zoezi la Sensa ya watu na makazi nchi nzima limemuhamisha mara moja (WITH IMMEDIATE EFFECT) Afisa Habari wake Bi. Dorina Makaya na kumuhamishia Hazina...
Jamani kwa skendo ile hata kama ni mimi ndiye JM nisingekaa kimya. Ukweli Kova na vijana wake wamechemsha. na wanaenda kuyakanyaga matapishi ya Zombe muda si mrefu. Jamaa anamisifa sana Kova. Na Kova asijidanganye kuwa hatumjui. Tunajua sana skendo zake za kuwachomekea watu kesi hasa waandishi...
Pape,
Ndugu yangu kwanza pole sana.
Pili nakusihi sana usitumie madawa wala kilevi cha aina yoyote kama ulikuwa hutumii.
Kitaalamu hilo la kuwahi 'kumwaga' na kama baada ya hapo utaendelea hata kama utapumzika dakika 40 basi hilo si tatizo sana.
Nakupa ushauri huu, kwani binafsi ilishanitokea...
M-bongo,
Naamini Meya ameimarisha huduma ya chakula zaidi kwa sasa hasa akizingatia kuwa anakaribia kuingia kwenye muongo mwingine na hata biashara zake zinahitaji kuwa za kisasa zaidi.
Bwana Rage sina ukaribu nae sana. Nilishawahi kufanya kazi nae hapo Tabora akiwa kama Mwenyekiti wangu...
Mr. Zero hizi taarifa umezisikia wapi?
Binafsi tangu mwaka jana nimewaandikia hawa jamaa nilipe mkopo hadi leo hawajawahi kuniletea statement niliyowaomba.
Kiekweli data hawajazioganaizi vema.
Tatizo ni LUGHA YA BIASHARA!
Katika miaka ya hivi karibuni tangu watanzania wajifunze lugha za 'kibishara' kila kitu kimeharibika! Sio kwenye mashirika ya umma wala binafsi! Hebu angalia kwa ufupi magazeti yetu yanavyotumia lugha za biashara! Unakuta bonge la kichwa cha habari kwa lugha ya...
Masaki,
Ili chuo au Taasisi za elimu aidha ya juu au vinginevyo kuwa accredited na chombo husika huwa kuna taratibu za kupitia hadi hicho chuo au Taasisi iwe accredited. Kuna mambo mengi yanaangaliwa. Kwa mfano idadi ya wafanyakazi nikimaanisha waalimu pamoja na sifa zao kielimu. Majengo...
Kati ya habari ambazo zimenifungia wiki hii vibaya ni hizi za mparaganyiko ndani ya CHADEMA. Sikuwahi kuzifikiria. Niko kwenye maombi yasifikie pabaya zaidi ya hapa walipo. Kama naiona NCCR Mageuzi ya 1997 ilivoanza kumeguka! Naikumbuka vizuri timu nzima ya NCCR Mageuzi ilipotua Magu - Mwanza...
Sio kweli Ferguson analalamika pale tu man utd inapokuwa imeshindwa. Wenzetu wanautaratibu wa ku-evaluate match ilivyokuwa kila baada ya match. Kocha anakila sababu ya kusema kile alichokiona. Kwenye carling cup Manchester Utd walishinda, lakini Ferguson alimshukia vibaya refaree kwa kumuonyesha...
Watanzania lazima tukubali kuwa sera ya kukosolewa imo ndani ya chama cha Mapinduzi. Kwa kumbukumbu zangu Mwl alisema kitu kama hicho ndani ya sera za chama cha mapinduzi na mara zote nafikiri chama cha mapinduzi kimekuwa kikifuata sera hii. Lazima tukubali Rais wetu amefuata sera hii. Zitto ni...
BRAVO BROTHER ZITTO
Si mara zote binadamu wanakubali ukweli wa mambo. Brother nakupa bravo kwa ushauri wako wa last week kuhusu mgao wa umeme.
Kila la heri ktk masomo. Watanzania naamini wanahitaji mawazo yako kwa nyakati zote.
Hellow great thinkers,
Juzi, na jana kumekuwa kukivurumishwa baruti na wahindi
kwa kiwango kisicho cha kawaida.
Enzi za Kamanda Tibaigana hawa jamaa walipewa saa moja tu kuvurumisha hayo mafataki yao. Cha ajabu mwaka huu sijui wamempa nini Kamanda Kova! Juzi kwa mfano walianza mida ya saa kumi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.