JOHN KITABI
Member
- Nov 10, 2007
- 26
- 3
Hellow great thinkers,
Juzi, na jana kumekuwa kukivurumishwa baruti na wahindi
kwa kiwango kisicho cha kawaida.
Enzi za Kamanda Tibaigana hawa jamaa walipewa saa moja tu kuvurumisha hayo mafataki yao. Cha ajabu mwaka huu sijui wamempa nini Kamanda Kova! Juzi kwa mfano walianza mida ya saa kumi hadi saa sita naenda kulala ilikuwa ni Bp kwa kwenda mbele. Jana walifanya mchezo kama huo pia.
Jamani Viongozi wetu hasa wa Usalama mko wapi?
Waungwana hivi tunaenda wapi kwa style hii?
Juzi, na jana kumekuwa kukivurumishwa baruti na wahindi
kwa kiwango kisicho cha kawaida.
Enzi za Kamanda Tibaigana hawa jamaa walipewa saa moja tu kuvurumisha hayo mafataki yao. Cha ajabu mwaka huu sijui wamempa nini Kamanda Kova! Juzi kwa mfano walianza mida ya saa kumi hadi saa sita naenda kulala ilikuwa ni Bp kwa kwenda mbele. Jana walifanya mchezo kama huo pia.
Jamani Viongozi wetu hasa wa Usalama mko wapi?
Waungwana hivi tunaenda wapi kwa style hii?