Jamani mnifumbue masikio jana nimesikia kwa mbali kuwa tanzania kuna shirika jingine la ndege litaanza safari zake kwa kutumia ndege kubwa za air bus nimekuta kipindi ndio kinaisha sikuelewa vizuri aliye na habari atujuze
Jamani mmesikia kuhusu hii teknolojia ya kupunguza gharama ya mafuta kwenye magari kwa kufunga kifaa maalum cha kupunguza gharama? Nimeona mtu akiuza ila naogopa kuingia mkenge, mwenye taarifa zaidi atujuze!
Jaribu kwa hawa jamaa wa farm friends tanzania ltd wako mkoa wa tanga wanashirikiana sana na kampuni ya maziwa tanga iitwayo tanga fresh ltd pamoja na tanga dairies cooperative union (tdcu) namba yao ya simu 027 2646919 ukimpata mtu anaitwa rashid mohamed nadhani utapata ushauri mzuri
Jimbo lilikuwa mikononi mwa CCM kupitia mbunge Mathayo, katika uchaguzi uliopita likachukuliwa na CHADEMA swali ni je CCM wafanyeje ili kulinusuru hili jimbo? Taratibu wanajamii
Hawa jamaa wa Tanga Fresh wako makini tena wako very open na mfumo wao wa kupokea na kusindika maziwa tumetembelea pale mara kadhaa na wanakaribisha watu kiwandani kuona na kutembelea mfumo mzima wa usindikaji.
Hili jamvi lina watu wenye akili timamu na ufahamu usidhani ni mahali unaweza kuleta issues zako za utapeli na watu wakakuvumilia! Ebu kuwa mstaarabu! Au isije kuwa wewe umeshatapeliwa tayari unatafuta wa kukusaidia! Sawa...
Jamani hawa watu kama wameanza kuharibu waambiwe tu, hili shirika lilkuwa la kutegemewa sana hapa Tz lakini kama mipango imeanza kuwa hivi inaogopesha sasa kama huyu ndugu yangu aliyekoseshwa International Flight si ni kipigo balaa! Ila mambo kama haya hata kwa wenzetu yanatokea japo wao wana...
Wana jamii naomba msaada kwa wale wanaofuga kuku wa kisasa (broilers) mie kumbukumbu zao zinanipa shida japo faida napata lakini nashindwa kutenganisha hesabu za kila batch kwa kuwa ukianza na vifaranga wiki ya kwanza baada ya wiki mbili nachukua wengine tena na baada ya hapo kuku wa batch ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.