wanawake wengi wa kitanzania hawana ahsante sisemi wote lakini wengi unampa pesa bure 30 to 50 thousand bure akwambia hata ahsante nini hii, stupid thing in my life sema ahsante. wanataka ziada jamani kuweni na ahsante
tanzania kupeleka wanyama nje kimataifa ni sawa kabisa kuna zoo kote duniani wanyamama wanatoka wapi ?afrika kuwapa wanyama nchi awana wanyama sidhani ni kama ni makosa , nakumbuka mwalimu nyerere alipelaka wanyama cuba na sweden norway denmark. hawana mbuga za wanyama wana zoo . kwa hiyo twiga...
Nakumbuka miaka ya themanini hakuna sabuni, hakuna mafuta ya taa, hakuna petrol kwa mgao, hakuna dawa ya meno , hakuna beer bar? Ukikamatwa na usd kesi kubwa sana , au sabuni ya kenya au dawa ya meno au sigara paket 3
Kipindi kimepata sasa hivi kila kitu kipo ni pesa yako tulikuwa nyuma sana...
mpwa wangu alikuwa na mkewe , dada yangu akamwambia lazima amuache vinginevyo ana lazi ya ya mama yake, tukamuliza kwanini akasema mkewe anamloga mwanawe, wewe umejuwaje mganga kanambia , ikabidii nishangae sana , ikabidii mjomba amuache mkewe ni mshirikina
niisikitika sana mzazi kuingia ndoa...
Nilkuwa nataka kujenga kiwanja ninacho
Nilliuza jf watu wakanisema sana 50m uwezi kujenga hiyo ni banda, lakini si kweli nimejenga na nyumba imekwisha vyumba 4 na master 2 kwa 30m
Ukitaka kujenga wacha kusikiliza watu awana cha kufanya zaidi ya kuvunja watu nguvu tafuteni kitu cha kufanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.