mabwana
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 307
- 316
mpwa wangu alikuwa na mkewe , dada yangu akamwambia lazima amuache vinginevyo ana lazi ya ya mama yake, tukamuliza kwanini akasema mkewe anamloga mwanawe, wewe umejuwaje mganga kanambia , ikabidii nishangae sana , ikabidii mjomba amuache mkewe ni mshirikina
niisikitika sana mzazi kuingia ndoa za watoto uchawi kwangu ni imani yako
niisikitika sana mzazi kuingia ndoa za watoto uchawi kwangu ni imani yako