Nimekosa usafiri wa Dar kwenda Cape town

Nimekosa usafiri wa Dar kwenda Cape town

mabwana

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
307
Reaction score
316
habari zenu nimejaribu kutafuta usafiri wa ndega Dar to Cape town
presionair hakuna na air Tanzania hakuna yoyote mwenye mawazo ?
 
Kweli tukonyuma san DAR to Cape town ni $545 , wakati Stockholm Dar ni $400
tutapanda ndege kweli jamani
 
Back
Top Bottom