Kinachoshindikana kwa guides kugoma ni nini ?
Tuna tozo umiza kupitiliza... Kumbukeni kazi yetu sio Biashara ni hiduma kutangaza vivutio vyetu Tanzania , na tunaitwa Mabalozi ... na ndivyo tulivyo ila unaambiwa ulipe vitu wasivyolipishwa Mabalozi wetu wengine woote unao wajua ..:
1 guide...
Nimewasikia viongozi wanaojiita wa kimila huko Meru kwamba, watamwadhibu yeyote atakaye vaa nguo yenye picha ama maandishi yanamuenzi marehemu na hawataki misafara ya magari kwenye misiba kwa sababu wanazozifahamu hao washili.
Wanaofahamu sheria watusaidie hili jambo la kuchapa wananchi fimbo...
Hawa Ghasia alileta ghasia kumshambulia Mbowe kwamba anadaiwa na LAPF. Ghasia fahamu kwamba ni seriali yako unayoitetea ambayo Mbowe anawadai
2bn kupitia Air Tanzania.
Wamlipe kwanza Mbowe fedha zake.
Sioni dalili kwamba mnahangaika na hizi chaguzi za Madiwani, ama bado mnajirejeza baada ya JK kuwapiga makofi?
Kinana uko wapi? CCM itakufia mikononi mwako na wewe hutabaki salama.
Wakuu,
Wananchi wanadai kitendo ambacha watumishi wa serikali walikuwa wanawafanyia wananchi bila hatua kuchukuliwa ndicho kilichowasababisha kuchukua maamuzi ya kumwua Mabina.
Tukumbuke tu kwamba JK aliwahi kutoa angalizo kwamba kama tukihangaika na kujaribu kumnyooshea mtu yeyote kidole kuhusu ufisadi EPA sijiu Kagoda etc etc nchi itayumba.
Hawa watu wana nguvu kuanzia ndani hadi nje. Sasa ndg Zito alipokuwa anajinadi atawataja kwani hakurejea maneno ya swahiba...
Nimepita mji/jiji la Arusha leo, hali niliyoikuta ni tofauti kabisa nikilinganiisha na kipindi kirefu kilichopita.
Mji ni safi, maeneo yale ambayo yalikuwa yamekidhiri kwa uchafu mfano masokoni ni pasafi, watu wanajituma kuhakikisha kila kitu kipo kimpangilio.
Asanteni!
Tukisema tukutane uwanja wa mpira ambao tuliujenga sote, maccm wameukwapua,
au tuende Ngarenaro tayari pamesiribwa, labda Soweto japo jina lake lina historia ya maangamizi tangu South Africa, napo AICC wamepewa red alarm kwamba wakikubaliana na CHADEMA kufanya mkutano pale basi wao na CDM lao ni...
JF
Baada ya CHADEMA kuibwaga ccm nini hatma ya Meya wa Arusha?
Baadhi ya watu wanahisi kwamba kutokana na fedha ambazo JK ameagiza
Lyatonga apewe kama mafao ya unaibu waziri mkuu je yaweza kuwa chambo kwa diwani wake Arusha kuipa suport
Ccm kwenye umeya?
Mtela fungua ubongo na uone kwamba siasa za ccm hutaziweza, hao ccm hawakutaki,
wewe si unaelewa kwamba ulipewa kibarua cha kuisaliti CHADEMA ngoma ikabuma? ccm wanakuona mzigo.
Mwigulu amekutega akakushindilia uongo kama alivyozoea na wewe kichwa kichwa ukauleta hadharani.
Sasa Mwigulu...
Deodatus Balile unaandaa vipindi vizuri na unapata wachangiaji wazuri ila
wanapokuwa wakitiririka unawakatiza na kuchomeka maswali yasiyoendana na anachoongea mchangiaji, tafadhali kaka!
Mfano ni hii mada ya Jicho letu ndani ya habari wk 21.
Deodatus Balile unaandaa vipindi vizuri na unapata wachangiaji wazuri ila
wanapokuwa wakitiririka unawakatiza na kuchomeka maswali yasiyoendana na anachoongea mchangiaji, tafadhali kaka!
Mfano ni hii mada ya Jicho letu ndani ya habari wk 21.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.