Nimefurahishwa kwa aina utanganzaji ulio fanya ,mm mwenyewe Nina gunia 100 Nipo HANDENI Tanga ,kwaambao wanachukua yote ninaweza kuwalea kwa kg sh 100
Mawasiliano 0620747396
Ualimu nikazi ya kitume bila moyo huwezi ifanya
Mana ukisema ujilinganishe na school mate wako ambao wote mpo elimu sawa Kuna big Gap .
Jaman naombe ushauri wadau Mimi Nina bachelor of arts with education (Economics and Geography) ninataman kusoma masters ila nje ya education Ili ikiwezekana...
Sijapata ,sema nipo kwenye ajira ya ualimu nikiwa na TGTS D,sasa nilipoona tangazo TPA nineomba sasa nataka kujua hapa nilipo na nilipo omba wap panaunafu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.