FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,128
- 13,388
Kukuza mapato wakati wanalaumu serikali kukusanya kodi na kukuza wio wa kodi. Hawa watu wanajua kulaumu tu ila solutions hawana!mm namuona ni mlalamikaji zaidi sio problems solver
Maani huwezi kuja laumu watumishi kulipwa pesa ndogo wakati vyanzo vyetu vya mapato vipo very limited.
Angekuja na experience ya huko alipotoka na kushauri tufanye 1, 2, 3 ili kukuza mapato yetu ili years to come tulipe maslai mazuri kwa watumishi wetu.
Tofauti na hapo lema ni mtafuta attention zisizo na maana.
Wanasema bodaboda ni laana, viwanda tuliua ambavyo vingeajiri hao bodaboda. Sasa waulize tunafufua vipi hivyo viwanda hawana majibu. Angesema tu kila kiwanda pale Arusha (General Tyre) yeye kama Mbunge alifanya jitihada gani kushauri au kwenda na mpango kazi bungeni/au hata Mkoani kufufua kiwanda unakuta hakuna alichofanya.