Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya ubonge na vyakula. Uhusiano uliopo ni kati ya ubonge na genesMbeya ni ndizi, kitimoto,viazi vya Mbeya, maharage, maziwa hapa lazima uwe bonge.
Ndo maana kina malafyale niangusage sambi zako wameshiba
Kalime wewe yafikie hiyo beiTunataka yafikie bei ya awali 45000
Bei ya reja reja ila sokoni hukuti hiyo bei na wanunuzi hawapo.Bei ya gunia Sokoni haizidi 90,000Mbona huku mwanza gulioni kitini 4000, maana yake gunia la debe sita laki na ishirini.
Ok.Bei ya reja reja ila sokoni hukuti hiyo bei na wanunuzi hawapo.Bei ya gunia Sokoni haizidi 90,000
Huo utakuwa mwisho wa ccmIlitakiwa gunia kila 100 lifike 1. M
Hadi MicheleBei ya mahindi Kwa gunia la kilo 100 imeshuka ghafla Mikoa ya Nyanda za Juu kutoka wastani wa sh. 80,000 Hadi sh.65,000.
Serikali nayo imesitisha kununua mahindi Kwa Sababu imenunua Tani za kutosha na pesa imeisha.
Sababu zikizotajwa za bei kushuka ni kukosekana Kwa wanunuzi kutoka Nje.
Mahindi Yataendelea kushuka zaidi maana Kenya ambayo ndio mteja mkubwa wa Tanzania wamepata mazao mengi mwaka huu ambapo na huko kwao Rift Valley bei zimeporomoka pia.
Na bei zitazidi kushuka miaka ijayo Kwa sababu Wazungu wa Zimbabwe wamerejea na Zimbabwe iliwahi kuongoza Afrika Kuzalisha mahindi.
---
Wakulima wapigwa butwaa bei ya mahindi kushuka ghafla
Songwe. Bei ya mahindi katika masoko mbalimbali katika Mkoa wa Songwe imeporomoka katika kipindi cha mwezi mmoja ikilinganisha na bei zilizokuwepo mwezi Juni na Julai mwaka huu.
Mmoja wa wakulima aliyehojiwa na Mwananchi ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Sumbaluwela, Kata ya Ihanda wilayani Mbozi, Irine Nahaonga amesema amekuja kuuza kiasi kidogo cha mahindi ili aweze kutatua shida ndogo za nyumbani mwake, lakini amekuta bei imeshuka ghafla kutoka Sh85000 hadi 66,000 kwa gunia la kilo 100.
"Wanunuzi wenye stoo ambao wananunua mazao wametaka wanunue mahindi yangu kwa bei ya Sh66,000 badala ya Sh85,000 niliyokuwa nimeitarajia awali," amesema Nahaonga.
Aidha katika kipindi cha miezi Juni na Julai mwaka huu mahindi yalikuwa yakiuzwa kwa bei ya kati ya Sh80,000 na Sh84,000 kwa gunia lenye ujazo wa kilogramu 100.
Kutoka katika soko la mazao Mlowo wilayani Mbozi Tumaini Enson amesema katika kipindi cha mwezi Agosti mwaka huu bei ya Mahindi ilishuka kufuatia wanunuzi kutofika hivyo kusababisha mahindi kurundikana.
"Kuanzia juzi walau bei imeanza kuongezeka kidogo kutoka Sh66,000 hadi Sh72,000 siku ya leo hivyo kuna nafuu kidogo,” amesema Tumaini.
Meneja wa Soko la kimataifa la mazao katika Halmashauri ya mji wa Tunduma, Edward Silwimba amesema katika soko hilo bei ya Mahindi kwa siku ya leo ni kati ya Sh72,000 na Sh78,000 kwa gunia lenye uzito wa kilogramu 100.
Kuhusu sababu za kushuka bei katika soko hilo kipindi hiki tofauti na miezi ya Juni na Julai, mwaka huu amesema hali hiyo inafuatia kukosekana kwa wanunuzi wanaoingia hata hivyo kwa sasa amesema wameanza kuja mmoja mmoja.
My Take
Njia pekee ya kuwa na uhakika wa soko la mahindi ni kukuza ufugaji wa Kisasa Ili mahindi yatumike kama chakula Cha mifugo badala ya kutumia kama chakula Cha binadamu pekee.
Wadau kwajinsi mnaovyoona Mahindi yatapanda Bei tena kwel?Bei ya mahindi Kwa gunia la kilo 100 imeshuka ghafla Mikoa ya Nyanda za Juu kutoka wastani wa sh. 80,000 Hadi sh.65,000.
Serikali nayo imesitisha kununua mahindi Kwa Sababu imenunua Tani za kutosha na pesa imeisha.
Sababu zikizotajwa za bei kushuka ni kukosekana Kwa wanunuzi kutoka Nje.
Mahindi Yataendelea kushuka zaidi maana Kenya ambayo ndio mteja mkubwa wa Tanzania wamepata mazao mengi mwaka huu ambapo na huko kwao Rift Valley bei zimeporomoka pia.
Na bei zitazidi kushuka miaka ijayo Kwa sababu Wazungu wa Zimbabwe wamerejea na Zimbabwe iliwahi kuongoza Afrika Kuzalisha mahindi.
---
Wakulima wapigwa butwaa bei ya mahindi kushuka ghafla
Songwe. Bei ya mahindi katika masoko mbalimbali katika Mkoa wa Songwe imeporomoka katika kipindi cha mwezi mmoja ikilinganisha na bei zilizokuwepo mwezi Juni na Julai mwaka huu.
Mmoja wa wakulima aliyehojiwa na Mwananchi ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Sumbaluwela, Kata ya Ihanda wilayani Mbozi, Irine Nahaonga amesema amekuja kuuza kiasi kidogo cha mahindi ili aweze kutatua shida ndogo za nyumbani mwake, lakini amekuta bei imeshuka ghafla kutoka Sh85000 hadi 66,000 kwa gunia la kilo 100.
"Wanunuzi wenye stoo ambao wananunua mazao wametaka wanunue mahindi yangu kwa bei ya Sh66,000 badala ya Sh85,000 niliyokuwa nimeitarajia awali," amesema Nahaonga.
Aidha katika kipindi cha miezi Juni na Julai mwaka huu mahindi yalikuwa yakiuzwa kwa bei ya kati ya Sh80,000 na Sh84,000 kwa gunia lenye ujazo wa kilogramu 100.
Kutoka katika soko la mazao Mlowo wilayani Mbozi Tumaini Enson amesema katika kipindi cha mwezi Agosti mwaka huu bei ya Mahindi ilishuka kufuatia wanunuzi kutofika hivyo kusababisha mahindi kurundikana.
"Kuanzia juzi walau bei imeanza kuongezeka kidogo kutoka Sh66,000 hadi Sh72,000 siku ya leo hivyo kuna nafuu kidogo,” amesema Tumaini.
Meneja wa Soko la kimataifa la mazao katika Halmashauri ya mji wa Tunduma, Edward Silwimba amesema katika soko hilo bei ya Mahindi kwa siku ya leo ni kati ya Sh72,000 na Sh78,000 kwa gunia lenye uzito wa kilogramu 100.
Kuhusu sababu za kushuka bei katika soko hilo kipindi hiki tofauti na miezi ya Juni na Julai, mwaka huu amesema hali hiyo inafuatia kukosekana kwa wanunuzi wanaoingia hata hivyo kwa sasa amesema wameanza kuja mmoja mmoja.
My Take
Njia pekee ya kuwa na uhakika wa soko la mahindi ni kukuza ufugaji wa Kisasa Ili mahindi yatumike kama chakula Cha mifugo badala ya kutumia kama chakula Cha binadamu pekee.
HapanaWadau kwajinsi mnaovyoona Mahindi yatapanda Bei tena kwel?
Hv nikihifadhi Hadi December au January hayawez panda kabsaHapana
Maybe wafungulie mipaka
Niangusage vijitu vidogo kama wandengereko wa Pwani.Mbeya ni ndizi, kitimoto,viazi vya Mbeya, maharage, maziwa hapa lazima uwe bonge.
Ndo maana kina malafyale niangusage sambi zako wameshiba
now debe ni 16000/=Wadau kwajinsi mnaovyoona Mahindi yatapanda Bei tena kwel?
Huku debe 11000now debe ni 16000/=
wapiHuku debe 11000
Biashara kichaaHv nikihifadhi Hadi December au January hayawez panda kabsa
Kwa lugha ya vijana wa sasa wanasema kizazi sana.My Take
Njia pekee ya kuwa na uhakika wa soko la mahindi ni kukuza ufugaji wa Kisasa Ili mahindi yatumike kama chakula Cha mifugo badala ya kutumia kama chakula Cha binadamu pekee.
Kenya wakifungua mpaka tu bei italipuka sanaaaHapana
Maybe wafungulie mipaka