Ualimu ni kazi au ni wito?

Mizega

Senior Member
Feb 10, 2021
147
309
1. Kishikwambi cha msaada, vingi vimezimwa hamuna bando.

2. Hakuna safari wala posho.

3.Kusimamia mtihani posho ya elfu 40 wapo tayari kufanyiana figisu.

4. Kusahihisha mtihani posho haizidi laki 5 hapa sasa ni kizaizai nusu afe mtu.

5. Kwenye uchaguzi wanatumika kupinduapindua meza kwa ujira wa hela ya mboga siku 1.

6. Nyumba wanazokaa kwa waliobahatika hawajali hata nyufa zilizopo ili mradi wamo tu.

7. Mtaani ukimuona na maji ya Dasani ujue katoka kwenye kikao cha CWT.

8. Kadi ya benki miezi 9 iko kwa Tesha.

9. Anajenga kwa mkopo Platnum na ujenzi hauishi.

10. Akistaafu Tesha anachukua kwanza anabaki na kidogo atakazotumia kuinua mgongo ulioinama.

11. Kufa mapema sababu ya malalamiko kuanzia siku ameajiriwa hadi kustaafu

Swali, hii ni kazi ama wito wa kujitolea ? Hata mimi sielewi hata hivyo Walimu wanaridhika sana na hawataki mambo makubwa.
 
1. Kishikwambi cha msaada, vingi vimezimwa hamuna bando.

2. Hakuna safari wala posho.

3.Kusimamia mtihani posho ya elfu 40 wapo tayari kufanyiana figisu.

4. Kusahihisha mtihani posho haizidi laki 5 hapa sasa ni kizaizai nusu afe mtu.

5. Kwenye uchaguzi wanatumika kupinduapindua meza kwa ujira wa hela ya mboga siku 1.

6. Nyumba wanazokaa kwa waliobahatika hawajali hata nyufa zilizopo ili mradi wamo tu.

7. Mtaani ukimuona na maji ya Dasani ujue katoka kwenye kikao cha CWT.

8. Kadi ya benki miezi 9 iko kwa Tesha.

9. Anajenga kwa mkopo Platnum na ujenzi hauishi.

10. Akistaafu Tesha anachukua kwanza anabaki na kidogo atakazotumia kuinua mgongo ulioinama.

11. Kufa mapema sababu ya malalamiko kuanzia siku ameajiriwa hadi kustaafu

Swali, hii ni kazi ama wito wa kujitolea ? Hata mimi sielewi hata hivyo Walimu wanaridhika sana na hawataki mambo makubwa.
Ualimu nikazi ya kitume bila moyo huwezi ifanya
Mana ukisema ujilinganishe na school mate wako ambao wote mpo elimu sawa Kuna big Gap .

Jaman naombe ushauri wadau Mimi Nina bachelor of arts with education (Economics and Geography) ninataman kusoma masters ila nje ya education Ili ikiwezekana nibadilishe kazi kabsa
Ni masters gani inayofaa hususani open university mana kwenda chuoni Moja kwa Moja ni kazi kwa mazingira ya utumishi
 
Vishikwambi kama vishikwambi:
IMG-20230208-WA0007.jpg
 
1. Kishikwambi cha msaada, vingi vimezimwa hamuna bando.

2. Hakuna safari wala posho.

3.Kusimamia mtihani posho ya elfu 40 wapo tayari kufanyiana figisu.

4. Kusahihisha mtihani posho haizidi laki 5 hapa sasa ni kizaizai nusu afe mtu.

5. Kwenye uchaguzi wanatumika kupinduapindua meza kwa ujira wa hela ya mboga siku 1.

6. Nyumba wanazokaa kwa waliobahatika hawajali hata nyufa zilizopo ili mradi wamo tu.

7. Mtaani ukimuona na maji ya Dasani ujue katoka kwenye kikao cha CWT.

8. Kadi ya benki miezi 9 iko kwa Tesha.

9. Anajenga kwa mkopo Platnum na ujenzi hauishi.

10. Akistaafu Tesha anachukua kwanza anabaki na kidogo atakazotumia kuinua mgongo ulioinama.

11. Kufa mapema sababu ya malalamiko kuanzia siku ameajiriwa hadi kustaafu

Swali, hii ni kazi ama wito wa kujitolea ? Hata mimi sielewi hata hivyo Walimu wanaridhika sana na hawataki mambo makubwa.
Ukiona kwako kunaungua Kwa mwenzako kunateketea, unalalamika Hauna kiatu mwenzako Hana miguu
 
Ila ualimu unachokera unaposema ujitoe toka ndani ufundishe unachukiwa sio wazazi sio wanafunzi UALIMU KAZI TAMU ILA NGUMU Yani ili uwe mwalimu unaotaka kuwajengea future watoto Leo uchukiwe afu kesho waje waseme daah mwalimu safi sana yule mtoto wangu Yuko vizuri sahizi, ila jana "mwalimu ana roho ya kikatili sana yule sijui mchawi"
 
Ila ualimu unachokera unaposema ujitoe toka ndani ufundishe unachukiwa sio wazazi sio wanafunzi UALIMU KAZI TAMU ILA NGUMU Yani ili uwe mwalimu unaotaka kuwajengea future watoto Leo uchukiwe afu kesho waje waseme daah mwalimu safi sana yule mtoto wangu Yuko vizuri sahizi, ila jana "mwalimu ana roho ya kikatili sana yule sijui mchawi"
Ualimu ni sawa na Katekista
 
Back
Top Bottom