Uzi mzuri sana kwa wambanaji way back kuna jamaa yangu mmoja alifungua saloon mtaani nimemwambia ifanye iwe simple maan bado ramani ya mchezo hujaujua bado jamaa akawa mbishi akaipiga tyris fresh kuanzia ndani ukutani kote mpaka nnje kote kilicho mkuta ni balaa biashala akachemka akaondoka...
Ww choko jukwaa hili halikuusu kama code mtu akituma siyo lazima kufwata piga kimya nenda jukwaa lingine jukwaa hili la wanaume lijali siyo wanao kaa kwa shemeji
Some time wake za watu wanazingua unakutana na mwanamke unajua kabisa huyu mke wa mtu ukimuuliza anakataa anakwambia haja olewa kikinuka baadae ndo anakuomba msamaha kwamba umsamee kwa kudanganya ila pia angalizo kama kijana kama bado hujajipata usioe mapema maana ndo utakuja kuanzisha uzi kila...
Duh inasikitisha sana yan kanji atupige na pia cc kwa cc tupigane dah inasikitisha sana kwaushauli mkuu bakia kwenye kampuni unatuma pesa kwa kampuni direct siyo mambo ya kupitia kwa mtu huwa ni ujinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.