Maisha ni magumu na yamejaa changamoto nyingi zisizotarajiwa
Hata hivyo, unapaswa kujiuliza mambo yafuatayo:
Kiasi gani cha mawazo na mvutano wa kifikra Unajisababisha bila sababu Kwa kujenga dhana Na kujikumbushia hofu na maumivu yaliyopita akilini mwako?
Ni mara ngapi unakataa kuachilia...
Mambo sita ambayo hufanya amani ya ndani ya moyo ( nafsi ) wako iwe rahisi:
Kutoogopa mabadiliko
Kuwa mwema kwa wengine
Kua mwaminifu na wewe mwenyewe /Honesty with yourself
Fanya vitendo kwa makusudio
Kujitambua
Shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.