Habari wapendwa, Poleni na majukumu
Kuna mwenzangu alifanya maombi ya uwakala wa M-pesa, na hatua zote alishazifanya ikawa katika harakati za kupatiwa till number yule alokuwa anahusika kuunganisha swala Hilo akafariki(wakala mkuu wa eneo Hilo) na meneger hapatikani Kwa simu. je kunaweza kuwa...
Habar natumaini mu wazima
Nguruwe wangu anatoa ute mweupe sehemu yake ya Uke
Kiumri ana miezi 8.
Naomba kujua hiki kinaashiria nini?
NB:hajawahi kupandwa wala kubeba mimba
Habari ndugu mwana JF, kuna mambo ambayo inatakiwa kuyafahamu katika maisha
Unapofikiri kwenda kufanya mapenzi na mtu asiye mke wako wakati huo unamke, jua ya kwamba yupo mwingine ambaye anafikiria kwenda kushusha voko kwa mke wako ili wakafanye matombano
Unapofikilia kwenda baa au guesthouse...
Je ulipo kua huko shuleni ama hapo ulipo umeshawahi kuwa na cheo gani?
Na ulikua unapata faida gani?
Maana wengine walikuaga viongozi lakini walikua hawajui nini chakufanya
Embu sema ulikua na cheo gani pia na faida ulokua ukiipata
Kuna siku jamaa mmoja katika pitapita zake alimwona mdada mzuri kwa mtazamo wake(siwezi sema kwa mtazamo wangu kwasababu kila mtu anatamani kile anachotamani/penda) alikua na shepu nzuri,sura ya kwawaida na bod kwa mbali basi yeye akamtamani
Basi siku nyingine alipomwona akapata shauku ya...
Habari ndugu mwana JamiiForums,
Leo nimeona nikuletee jambo hili kuna baadhi ya watu wanashindwa kuelewana katika mahusiano au mapenzi au ndoa sababu hawana pesa hususani wanawake wengi wa sasa hawawaelewi maboyfriend wao ati kisa hana pesa
Na asipokua na pesa na mapenzi yao hayawi motomoto...
Habari ndugu.
Natumaini u mzma kwa uweza wa Mungu, leo nimeona nikupe kisa hiki
Nakumbuka siku moja nikiwa na jamaa yangu. Sasa jamaa yeye alikua hawafatilii wanawake lakini wanawake walikua wakitafuta sana lakini jamaa anawawaona kama wa kawaida tuu na alidai kwamba hajawahi kufanya kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.