Habari ndugu.
Natumaini u mzma kwa uweza wa Mungu, leo nimeona nikupe kisa hiki
Nakumbuka siku moja nikiwa na jamaa yangu. Sasa jamaa yeye alikua hawafatilii wanawake lakini wanawake walikua wakitafuta sana lakini jamaa anawawaona kama wa kawaida tuu na alidai kwamba hajawahi kufanya kabisa mapenzi eti mpaka aje aoe na ukitathimini umri wake kama miaka 21 au 22, na ukimwangalia utamkuta bize na mambo mengine kama ya shule,Dini nk Lakini mnaweza kuongozana naye pamoja unakuta jamaa kaitwa kapewa vitu vingi.
Mimi mpaka niwaite lakini sipewi kitu kama yeye nahisi kingine kilichokua kikimsaidia jamaa alikua mcheshi,anaongea vizuri na wenzake unaweza kosana na mtu lakini yeye akaongea naye ama kuwapatanisha .
Je wewe mwenzangu umeshawahi kutana na mtu/watu kama Huyo/hao?
Natumaini u mzma kwa uweza wa Mungu, leo nimeona nikupe kisa hiki
Nakumbuka siku moja nikiwa na jamaa yangu. Sasa jamaa yeye alikua hawafatilii wanawake lakini wanawake walikua wakitafuta sana lakini jamaa anawawaona kama wa kawaida tuu na alidai kwamba hajawahi kufanya kabisa mapenzi eti mpaka aje aoe na ukitathimini umri wake kama miaka 21 au 22, na ukimwangalia utamkuta bize na mambo mengine kama ya shule,Dini nk Lakini mnaweza kuongozana naye pamoja unakuta jamaa kaitwa kapewa vitu vingi.
Mimi mpaka niwaite lakini sipewi kitu kama yeye nahisi kingine kilichokua kikimsaidia jamaa alikua mcheshi,anaongea vizuri na wenzake unaweza kosana na mtu lakini yeye akaongea naye ama kuwapatanisha .
Je wewe mwenzangu umeshawahi kutana na mtu/watu kama Huyo/hao?